Uchaguzi 2020 Lamadi: Wananchi wafunga barabara na kumtaka Tundu Lissu asipite bila kuzungumza chochote

Uchaguzi 2020 Lamadi: Wananchi wafunga barabara na kumtaka Tundu Lissu asipite bila kuzungumza chochote

Lamad
20201015_102559.jpg
 
Dictator is drunk in power but guess what time is now lissu is our next president ✊✊✊✊✊
 
we kwa akili zako unadhani ndio unaweza kumshinda maghufuli uchaguzi huu?? Jitekenye na ucheke mwenyewe, watu walimpigia deki Lowasa, wana ccm waliogopa kuvaa sare 2015 nini kilitokea? tafuta pesa acha kudhani Lissu atakuwekea hela mfukoni jombaa!
Hapa tu mnanishangaza.... Utaskia kma mafuriko hata lowassa alikua nayo, kama kudekiwa hata lowassa. Hivi nikuulize, wewe una amini kabisa lowassa aliangushwa na JPM tena kwa gap ya kura million 2?
Funny and weird
 
Back
Top Bottom