Subaru: Dom-Dar 4:30hrs ila roho ilikua mkononi siku hiyo. Kuhusu vx v8 ni mnyama haswa, ila nasubiria ya mwaka 2030[emoji3]Hiyo naijua na nishawekaga Uzi wake humu, lakini haina mwrndo kama land cruiser vx v8! Dar Dom 5:30hrs
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1][emoji1] Wakandarasi wasingekua nazo huku field,sionagi Range rover huku
Walamba asali wao wametaja V8 wewe mzalendo unataja BMWWatakuja wazee wa magari ya magharibi ei k ei ant-japanese
Lakini nikuulize utamu huu ni kwamba umesoma tu au umeipanda na kama umeipamda, ushapanda ma BMW x6, vipi g wagon za bwana benz? Je hata nissan patrol ushapanda?
Umelipa mpaka Sasa Bei gani wakurudishie? Punguza husdaKodi zetu hizo
Tatizo hela huna umebaki kusifia pichaKwangu mim GXR ndio funga kazi kuliko VX au VXR
Wazungu wasingekuwa wananunuaHizi ambazo warranty ikiisha Inabidi ufanye mpango kuchukua nyingine,hizo Ni za kupigia picha sio Gari za kwenda field.
😀😀😀😀GLS 600 Maybach anaijua huyuuu?Tukutajie ndege halisi za chini au tukuache uamini unachoamini?
Bei zinafanana? Hiyo LC 70 na Ford, GM?Nilishangaa sana Wkt wa hii Vita ya Ukraine Boris(PM wa UK by then) alinunua landcruiser za kutosha na kuzipeleka Ukraine kusaidia Vita,sijui kwanini hakununua Gari yoyote Ile kutoka Landrover(UK) na kuzipeleka field. 😄😄.
USA nao wakapeleka LC 70 series huko Ukraine sijui kwanini hawakupeleka Ford,GM etc
Mbona hata baadhi ya mabasi kabla ya vithibiti mwendo yaliweza kutumia muda huo?Hiyo naijua na nishawekaga Uzi wake humu, lakini haina mwrndo kama land cruiser vx v8! Dar Dom 5:30hrs
Kweli ndugu! Hata rafiki mwenye hii GXR sina zaidi ya lift ya mkurugenziTatizo hela huna umebaki kusifia picha
Sidhani kama ni mazingira maana engine output ya hiyo v6 ni zaidi ya ile v8. Wanapo improve engine technology kama gearbox tech haojabadilika huwa wanapunguza idadi ya cylinder.Hyo sio v8 ni v6
Wamehairisha v8 sababu za kimazingira
Mtaani tu kuziona vigumu itakuwa field,hizo LC ndizo zinanunuliwa na serikali[emoji1][emoji1] Wakandarasi wasingekua nazo huku field,sionagi Range rover huku
Miundombinu mkuu.Mbona msafara wa Putin una Mercedes Benz?
Land cruiser vx v8 hii gari isikie tu!
Hii ni ndege ya chini!
Ukionja hii gari unaweza ishauri Serikali kuwe na leseni maalum kwa madereva wa hizi gari maana ni ndege ya chini wallah!
Nahisi ndiyo maana ilibatizwa Ushangingi maana ni kweli VXV8 ni shangingi la njia siyo uwongo!
Na ukitaka kuielewa vizuri panda kwenda safari ndefu ndiyo utajua TOYOTA HAPA ALITULIZA KICHWA.
Uraibu wa hii gari ni viongozi wachache sana wakiafrika wanaweza kukubali kuushinda ili waachane kununua magari Haya ya gharama kubwa!
Zote zipo fiti ila hii land cruiser vx v8 2022 ni kiboko yao!
Ni gari bomba sana, very comfort, stable, luxury, High speed tolerance, sensor of crush, music system, massaging seat, sleeping sensor and much more!
Napata ugumu kukuelewesheni hii ya 2022 ilivyo bora na bomba ila kama kuna mtu yuko karibu na mwigulu nchemba anayo moja bado mbichi kabisa unaweza kuitizama ni mashine!
Land cruiser vx v8 inasifa moja kuu! INAOMBA NJIA MUDA WOTE!
Tunawalaumu bure viongozi wanavyopita pyuupyuupyuu huko barabarani siyo wao! Bali ni land cruiser vx v8 ndivyo inataka mambo hayo!
Naomba Mungu anijalie na mimi siku nimiliki yangu!
View attachment 2373415
Matuta ni muhimu. Vichwa vya watu weusi vina hitilafu.Barabara zenyewe ziko wapi, matuta kila baada ya 1Km
Haha! airbags za japan ni simple sana kutengeneza kuliko za mzungu , discovery, range ,bmw, benz busta zikizingua kweli unaweza kupaki gari,Uzuri busta zikitaga unapaki ndani,