Land cruiser VX V8 ni ndege ya chini aisee! Ndiyo maana viongozi hawataki kuyaachia

Bei zinafanana? Hiyo LC 70 na Ford, GM?
 

2021 kuendelea Toyota wametoa tolea jipya la 300 series ambayo sio V8 ni V6

Edit bango lako ufafanue ni Aina gani ya land cruiser uliopanda pamoja na model ya engine yake
 
Uzuri busta zikitaga unapaki ndani,
Haha! airbags za japan ni simple sana kutengeneza kuliko za mzungu , discovery, range ,bmw, benz busta zikizingua kweli unaweza kupaki gari,
Japan ametumia tech rahisi sana kwenye air bags ndo maana hata watu wa costa zikizingua siku hizi wanatengeneza za local .
Unahitaji air supply, na kitu kinaitwa mzani , baas!!! Gari inarudi kwenye mneso wa busta !!! You ll loose abs support ,,na vikolombwezo kadhaa lakini sio mneso
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…