if cap fits
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 1,461
- 2,062
Acha uongo wewe, kila gari inauwezo wake, huwezi kuweka ligi na gari za maana ukiwa na ist yako, labda ukute yupo mmama anaendesha tena hataki ligi na mtu. tunao tembea barabarani tunajua hali za gari zote ,iwe milori au hizi za kawaida,Mimi na IST huwa natembea hadi 150 usiku. Nikwa nasafiri napenda kutembea usiku kwa vile hakuna 50.
Kwa jinsi mziki wa IST ulivyo mtamu, sioni haja ya gari nyingine ya gharama kubwa.
Wengi wana magari mazuri but driving skills ni ndogo. Ni mwendo wa kuwatesa na magari yao huko bara barani. Wengine wanaojichanganya kuleta ligi, huwa wanaishia kuaibika.