ilore
JF-Expert Member
- Aug 5, 2022
- 963
- 1,248
La nn hili tractor kaa nalo mwenyeweChukua vitu vya kiume kama hii chuma hapaView attachment 2373433
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
La nn hili tractor kaa nalo mwenyeweChukua vitu vya kiume kama hii chuma hapaView attachment 2373433
LC200 na LC300 siyo gari za field...Hizi ambazo warranty ikiisha Inabidi ufanye mpango kuchukua nyingine,hizo Ni za kupigia picha sio Gari za kwenda field.
Uzuri busta zikitaga unapaki ndani,Uzuri wa v8 ukipita kwenye matuta na machimo huyasikii
Gari ya kufukia matuta ni 70 series. Hiyo V8 kama hela ya mawazo ukifukia matuta utakufa kwa stroke ukiletewa mkeka.
Ukiwa ndani Kitu kiko spidi 200 kama hakiendi kumbe walioko nje wanashika vichwa sio mchezo hiyi LC300Kuna siku nilipata lift kwa hiyo machine nilitmani nisifike 😂😂
😄😄 Wakandarasi wasingekua nazo huku field,sionagi Range rover hukuLC200 na LC300 siyo gari za field...
Labda LC100 kurudi nyuma.
😄😄 Kumbe Ni zile za round 1 batanj round inayofuata Ni garage 😄😄Sasa ulitaka apeleke gari gani wakati chuma zote ni Luxury?
Wanakaza tu shingo ila baadae wakikaa chumbani wanalia machozi.😄😄 Wakandarasi wasingekua nazo huku field,sionagi Range rover huku
Mjerumani hajataka tu kutengeneza vyuma ambavyo miaka 20 unaweka tu wese na kuendesha, mjapani biashara itakufa.😄😄 Kumbe Ni zile za round 1 batanj round inayofuata Ni garage 😄😄
Mbona msafara wa Putin una Mercedes Benz?Vxr v8 ni habari nyingine.
Hua najiuliza kwa nini serikali nyingi za kiafrika viongozi wanapenda hiki chuma, ni habari nyingine.
Hata viongozi wa ulaya wanatamani wangekua wanatumia Toyota sema kwa unafiki wa kuonyesha uzalendo unakuta wanalazimika kupanda magari ya kampuni zao.
Hayo magari yanakimbia mno,na ajari zake ni nadra sana,ila speed zenu hizo Mkuu ni hatari kuna crown juzi nimeikuta sehemu imepata ajali,kitu pekee cha kutambulisha ujue ni crown ni taa moja ya nyuma ilibaki, ila sehemu zingine zote gari ipo flat kma mkeka,jamaa lazima alifarikiMwezi wa sita nilikuwa Babati... Katika shughuli zangu nikawa naelekea Arusha... Mimi nina gari ya kawaida sana... Lakini sehemu kama imenyooka naweza jikuta 160 au zaidi kidogo.. Ila sio muda mrefu...
Kuna sehemu imenyooka kama rula maeneo ya Magugu kabla ya Minjingu... nilipitwa na machine hiyo v8 sijui series L300 ... Yaani niko 160 ...nikaongeza mpaka 170 ...sikuiona hiyo gari...
Hiyo machine v8 L300 series akikupita.. Usishindane nae unaweza ukakata timing belt.. Nilijaribu nikaogopa
Una gari ya kawaida sana probably horsepower chini ya 150. Sasa dude lina horsepower 300 utaliweza wapi?Mwezi wa sita nilikuwa Babati... Katika shughuli zangu nikawa naelekea Arusha... Mimi nina gari ya kawaida sana... Lakini sehemu kama imenyooka naweza jikuta 160 au zaidi kidogo.. Ila sio muda mrefu...
Kuna sehemu imenyooka kama rula maeneo ya Magugu kabla ya Minjingu... nilipitwa na machine hiyo v8 sijui series L300 ... Yaani niko 160 ...nikaongeza mpaka 170 ...sikuiona hiyo gari...
Hiyo machine v8 L300 series akikupita.. Usishindane nae unaweza ukakata timing belt.. Nilijaribu nikaogopa
Muundo wake kwanza unazungumza jambo moja tu "acha kunipaki hapa unanichelewesha kanyaga mafuta twende"Mwamba uyu apa kama umepewa lift ya mkoa unaweza kulilia usishuke[emoji1787][emoji1787] kuna ndege ya ardhini alafu kuna hii Jet fighter LEXUS L570View attachment 2373572
Ni suala la kipato tu hata hiyo v8 wapo wanapelekea watoto ku-skul.Hicho kiberenge IST unaomba ligi la V8 kweli? Au unatafta kupasuka bure msambwanda!
IST inachanganya 0 to 100km baada hapo inastaki na kupepesuka!
IST ni baby walker za mjini kuna rafiki yangu kamnunulia house girl apeleke watoto shule!
Hidek tojo vs Adolf hitler[emoji1][emoji1] Kumbe Ni zile za round 1 batanj round inayofuata Ni garage [emoji1][emoji1]