Land cruiser VX V8 ni ndege ya chini aisee! Ndiyo maana viongozi hawataki kuyaachia

Acha uongo wewe, kila gari inauwezo wake, huwezi kuweka ligi na gari za maana ukiwa na ist yako, labda ukute yupo mmama anaendesha tena hataki ligi na mtu. tunao tembea barabarani tunajua hali za gari zote ,iwe milori au hizi za kawaida,
 
Sasa kwanini prado j120 nyingi zinakuja na Air suspension, ila nyingi ukizikuta kwa mswahili zina coils?
 
2021 kuendelea Toyota wametoa tolea jipya la 300 series ambayo sio V8 ni V6

Edit bango lako ufafanue ni Aina gani ya land cruiser uliopanda pamoja na model ya engine yake

Hiyo picha ni ya landcruiser 300 series , ambayo technically ni v6 na si v8
Kibongobongo lc kuanzia 2015 kuja juu zote zinaitwa v8 😃 ni kama vituo vya mafuta vinavyoitwa shell
 
Hiyo naijua na nishawekaga Uzi wake humu, lakini haina mwrndo kama land cruiser vx v8! Dar Dom 5:30hrs
VX V8 Dar Dom km 460 massa 5:30 dereva mzembe. Moro Mbeya km 650 chuma inatembea massa 4:00 tu mnaondoka saa 12 asubuhi mnawahi kikao saa 4 mpaka saa 7 mchana baada ya Lunch chuma inarudi by saa 12 jioni mpo Moro
 
Mwamba uyu apa kama umepewa lift ya mkoa unaweza kulilia usishuke[emoji1787][emoji1787] kuna ndege ya ardhini alafu kuna hii Jet fighter LEXUS L570View attachment 2373572
Hii niliwahi panda na boss tunawahi kikao, ilikua akikanyaga ni sawa na ndege iko kwenye runway inataka iachane na ardhi, afu huhisichochote, nikamwambia boss usikimbie sana. mana dizaini unahisi bandama na figo vinataka vitokee mgongoni.
 
Ni LC200 V8 au LC300 V6.
 
Mkuu hizi gari zisikie tu.
Zina power mpaka 300HP na turbocharger mbili.
Hivyo ziki overtake power gain ni kali sana.
Ninayo moja LC200 nami naelekea Dom.
Kuna Brevis akaona nakuja nyuma yake, akakanyaga mafuta.
Hakujua LC200 ukikanyaga mafuta turbochargers zote zinafunguka, nilimpita akiwa 180km/r.
 
Wacha weee!

Kwahiyo ukajisikia raha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…