if cap fits
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 1,461
- 2,062
Acha uongo wewe, kila gari inauwezo wake, huwezi kuweka ligi na gari za maana ukiwa na ist yako, labda ukute yupo mmama anaendesha tena hataki ligi na mtu. tunao tembea barabarani tunajua hali za gari zote ,iwe milori au hizi za kawaida,Mimi na IST huwa natembea hadi 150 usiku. Nikwa nasafiri napenda kutembea usiku kwa vile hakuna 50.
Kwa jinsi mziki wa IST ulivyo mtamu, sioni haja ya gari nyingine ya gharama kubwa.
Wengi wana magari mazuri but driving skills ni ndogo. Ni mwendo wa kuwatesa na magari yao huko bara barani. Wengine wanaojichanganya kuleta ligi, huwa wanaishia kuaibika.
Sasa kwanini prado j120 nyingi zinakuja na Air suspension, ila nyingi ukizikuta kwa mswahili zina coils?Haha! airbags za japan ni simple sana kutengeneza kuliko za mzungu , discovery, range ,bmw, benz busta zikizingua kweli unaweza kupaki gari,
Japan ametumia tech rahisi sana kwenye air bags ndo maana hata watu wa costa zikizingua siku hizi wanatengeneza za local .
Unahitaji air supply, na kitu kinaitwa mzani , baas!!! Gari inarudi kwenye mneso wa busta !!! You ll loose abs support ,,na vikolombwezo kadhaa lakini sio mneso
Inatakiwa uwe na 150m cash ndoto yako inakuwa sawa. Kama hilo salio huna nenda kaimbe mapambio tuGari ya ndoto yangu aisee, naami kabisa sitaingia uzee kabla ya kuwa na kitu, na mchakato ushaanza muda na unaenda vizuri.
Mchane huyo......Tukutajie ndege halisi za chini au tukuache uamini unachoamini?
2021 kuendelea Toyota wametoa tolea jipya la 300 series ambayo sio V8 ni V6
Edit bango lako ufafanue ni Aina gani ya land cruiser uliopanda pamoja na model ya engine yake
Kibongobongo lc kuanzia 2015 kuja juu zote zinaitwa v8 😃 ni kama vituo vya mafuta vinavyoitwa shellHiyo picha ni ya landcruiser 300 series , ambayo technically ni v6 na si v8
VX V8 Dar Dom km 460 massa 5:30 dereva mzembe. Moro Mbeya km 650 chuma inatembea massa 4:00 tu mnaondoka saa 12 asubuhi mnawahi kikao saa 4 mpaka saa 7 mchana baada ya Lunch chuma inarudi by saa 12 jioni mpo MoroHiyo naijua na nishawekaga Uzi wake humu, lakini haina mwrndo kama land cruiser vx v8! Dar Dom 5:30hrs
Hii niliwahi panda na boss tunawahi kikao, ilikua akikanyaga ni sawa na ndege iko kwenye runway inataka iachane na ardhi, afu huhisichochote, nikamwambia boss usikimbie sana. mana dizaini unahisi bandama na figo vinataka vitokee mgongoni.Mwamba uyu apa kama umepewa lift ya mkoa unaweza kulilia usishuke[emoji1787][emoji1787] kuna ndege ya ardhini alafu kuna hii Jet fighter LEXUS L570View attachment 2373572
Hv nyie Mmezion BMW X7 Audi Q7, Porsche na benzi gl300
Hii 300 series iko kama box yani ile 200 iko vizuri sanaHichi ndio kitu sijui kwanini hakisemwi
Hasa mwonekano kwa nyuma
New model wamechemka
Old model mayai sana
Ipo kama boxHii LC300 haina uzuri woeote ule kama VXR LC200
Nunue magari, achaneni na midoli ya IST yenye magurudumu.Ok sawa huu uzi unatupa tu magonjwa ya moyo, ngoja tukale mbususu kimasihara huko huku tuwaachie akina Kidukulilo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndugu yangu mfano kama hiyo LC 300 AU LC 200 nitalilisha nini ili litembee na huku kazi zenyewe yule kichaa aliondoka nazo? Tupo huku Ibindi Katavi tunasarura vifusi mtu unaweza kuokota hata robo gram🤣🤣🤣🤣Nunue magari, achaneni na midoli ya IST yenye magurudumu.
Ni LC200 V8 au LC300 V6.Mwezi wa sita nilikuwa Babati... Katika shughuli zangu nikawa naelekea Arusha... Mimi nina gari ya kawaida sana... Lakini sehemu kama imenyooka naweza jikuta 160 au zaidi kidogo.. Ila sio muda mrefu...
Kuna sehemu imenyooka kama rula maeneo ya Magugu kabla ya Minjingu... nilipitwa na machine hiyo v8 sijui series L300 ... Yaani niko 160 ...nikaongeza mpaka 170 ...sikuiona hiyo gari...
Hiyo machine v8 L300 series akikupita.. Usishindane nae unaweza ukakata timing belt.. Nilijaribu nikaogopa
Mkuu hizi gari zisikie tu.Mwezi wa sita nilikuwa Babati... Katika shughuli zangu nikawa naelekea Arusha... Mimi nina gari ya kawaida sana... Lakini sehemu kama imenyooka naweza jikuta 160 au zaidi kidogo.. Ila sio muda mrefu...
Kuna sehemu imenyooka kama rula maeneo ya Magugu kabla ya Minjingu... nilipitwa na machine hiyo v8 sijui series L300 ... Yaani niko 160 ...nikaongeza mpaka 170 ...sikuiona hiyo gari...
Hiyo machine v8 L300 series akikupita.. Usishindane nae unaweza ukakata timing belt.. Nilijaribu nikaogopa
Wacha weee!Mkuu hixi gari zisikie tu.
Zina power mpaja 300HP na turbocharger mbili.
Hivyo zikiovertake power gain ni kali sana.
Ninayo moja LC200 nami naelekea Dom.
Kuna Brevis akaona nakuja akakanyaga.
Hakujua LC200 ukikanya turbichargers zote zinafunuka, nilimpita akiwa 180km/r