Land cruiser VX V8 ni ndege ya chini aisee! Ndiyo maana viongozi hawataki kuyaachia

 
Unajua utamu wa gari ni engine perfomance,sasa kwa hizi Vx V8 sio kwamba inazidi zile za europe,ila kwa kweli wamejitahidi kiasi chao,maana kwa wazungu nao ukichukulia machine kama Range Rover sport 2022,kwakweli inabidi Toyota aende shule kwanza...
 
Unajua utamu wa gari ni engine perfomance,sasa kwa hizi Vx V8 sio kwamba inazidi zile za europe,ila kwa kweli wamejitahidi kiasi chao,maana kwa wazungu nao ukichukulia machine kama Range Rover sport 2022,kwakweli inabidi Toyota aende shule kwanza...
Landrover Range Rove ni gari nzuri sana .
Lakini ukikaa nayo miaka 2-3 una bahati, LC200 unakaanayo miaka 10 haisumbui.
Na parts zote zipo.
 
Hakuna luxury car ya seat nane 😳
Tofautisha kati ya luxury and expensive car mark x mpya ipo pia kundi la luxury cars
Gari ya dollar laki moja plus unasema ni expensive car....ebu google bei ya Lamborghini Aventador halafu urudi
 
Nilipewa lifti na mshikaji wangu ni Waziri toka Katavi mpaka Dodoma mzee comfortability,standard & speed ya yale magari ni balaa na nusu. Ndio maana wabongo wanalewa uongozi aisee. Hakuna raisi atakuja kupiga stop V8 hawatakubali wajuba wa nchi hii.
 
Ndugu yangu mfano kama hiyo LC 300 AU LC 200 nitalilisha nini ili litembee na huku kazi zenyewe yule kichaa aliondoka nazo? Tupo huku Ibindi Katavi tunasarura vifusi mtu unaweza kuokota hata robo gram[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Upo ibindi mkuu mm nipo kakese
 
Upo ibindi mkuu mm nipo kakese
Karibu sana mkuu na wanapouzia miwa hapa mashine za karasha za mwanzo utanikuta nimetoa macho tu na miwa yangu sina namna huku najianda kwenda Burundi kufuatia agizo la ndugu yangu mmoja hivi kutoka kiomboi🤣🤣🤣🤣
 
Hao waangalia magari ya kina Cr 7 nimeshangaa sana kuona akitetea kitu kwa nguvu kweli..
Hao ndo wanamiliki laxury car...sisi wengine tunamiliki vyombo vya usafiri cha kututoa sahemu moja kutupeleka sehemu nyingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…