LATRA ichunguzwe na mamlaka katika mfumo mzima wa tenda za kufunga Ving'amuzi (VTS), Kuna shida mahali

n00b

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2008
Posts
1,015
Reaction score
2,680
KUNA MENGI YA HOVYO YANAENDELEA KWENYE HII TAASISI, TUNAJIULIZA KAMA MH. WAZIRI MKUU AMEWAWAJIBISHA MENEJA WA TANESCO NA WATU WAKE KWA TATIZO LA KUPATIKANA KWA LUKU. JE HAWA WATU WA TEHAMA WA LATRA WANAAACHWAJE KWA UBABAISHAJI WA KWENYE MFUMO WA ONLINE TICKETING NA KUTUSABABISHIA WENGINE HASARA NA MENGINE YA HUDUMA KUTOPATIKANA AU KWA UBABAISHAJI KWENYE MFUMO HUU?


Ni sisis Wadau wa Usafirishaji wa abiria Arusha kwa niaba ya wadau wengine Tanzania

Nakala ya Malalamiko haya kwa TABOA kwa ufuatiliaji zaidi.
 
"Mkurugenzi mkuu wa LATRA anapaswa kuwa Lockup kueleza inakuwaje Mtoa huduma yuleyule na ving'amuzi ni vilevile, lakini kwenye mabasi ambapo msimamizi ni LATRA gharama anaifanya kuwa ghali mara mbili zaidi ya kwenye Malori bila sababu za msingi kuwekwa wazi ilhali Malori yanakwenda mpaka nje ya nchi ambako gharama za king'amuzi zinaongezeka" .

Ni nani anaechukua hiki kilichozidi ?

Tumepigwa kweupe hapa!
 
Mama keshasema watu wasisumbuliwe, baaaasi!

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Pamoja na magumashi katika ununuzi wa hivi vifaa bado kuna rushwa katika ufatiliaji wake. Bus nyingi zina hivi vifaa na bado wanatembea zaidi ya speed 120.
Yaani ni mambo ya hovyo sana chini ya hii Mamlaka. Nadhani wakati wa hii LATRA kuja na maono mapya
 
Hivyo ving’amuzi ndio zile tunaita GPS ya kutrackcmwenendocwa gari hasa speed ili ukizidisha speed ujulikane? Au ni ving’amuzi vyabina gani hivyo na vinazuiaje ajali?
 
Tatizo ni mambo ya Tenda na kulea monopoly. Kama kungekuwa na soko huria ambalo viwango pekee ndio viko regulated, usingesikia hii mambo.

Taboa bado mko karne ya 19. Mkihitaji system mnaitisha tenda. Hii mambo za kizamani sana. Unataka system weka vigezo, ruhusu watu wapige kazi wakikidhi vigezo. Hii ingewasaidia kuongeza ushindani na kupata huduma bora.

Same advice ningeshauri kwa LATRA. Wasipende kulea monopoly. Encourage watu wote wenye uwezo wa kukidhi viwango wafanye kazi. Itaongeza ushindani na wala wao hawatalazimisha watu kushusha bei, soko litawalazimisha kwa sababu ya ushindani..
 

Hii nchi imechezewa sana. Kama TAKUKURU, kama TRA, nk, LATRA nao dhulumati mwingine wa wazi kwa mwamvuli wa serikali pendwa ya awamu ya tano.
 
Kwanza hii LATRA hivi imetokea wapi...

Maana zamani ilikua una deal na Sumatra na TRA tuu...
 
Ukiona mfanya biashara analalamikia vitu vidogo vidogo, hiyo ni dalili kuwa biashara imeanza kumshinda.
 
tu
hata sisi tumeshajiuliza sana kwani hata hao wanaoshinda hizo tenda kuna wengine inasemekana kuwa hata vigezo hawakuwa navyo kabla ya tenda kutangazwa. yaani hata hiyo biashara walikuwa hawafanyi
 
Hizo pesa mnazolipa mlikuwa mwatoa kwa pesa taslimu au mnapewa control number? Hapo panaweza toa hisia halisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…