t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Sumatra ilivunjwa ikazaliwa latra , latra ina deal na control ya usafiri wa ardhini tu.Kwanza hii LATRA hivi imetokea wapi...
Maana zamani ilikua una deal na Sumatra na TRA tuu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sumatra ilivunjwa ikazaliwa latra , latra ina deal na control ya usafiri wa ardhini tu.Kwanza hii LATRA hivi imetokea wapi...
Maana zamani ilikua una deal na Sumatra na TRA tuu...
Faini za latra ni kitu kidogo? Unafahamu kuwa basi moja laweza pigwa faini hadi milioni moja kwa siku moja ?, tu kwa sababu ya ubovu wa king'amuzi!Ukiona mfanya biashara analalamikia vitu vidogo vidogo, hiyo ni dalili kuwa biashara imeanza kumshinda.
Hakuna control number mkuu. tunamlipa mzabuni kwa kurusha kwa simu au benki au cash. tena wengine kutoa risiti za serikali ni kwa shida sanaHizo pesa mnazolipa mlikuwa mwatoa kwa pesa taslimu au mnapewa control number? Hapo panaweza toa hisia halisi.
Hayajamkuta ndo maana. Kuna wakati ilikuwa inaonekana waziwazi kama ni mradi maana kama king'amuzi kina utata wa kuingiliwa basi hata mzabuni alikuwa akitupiga faini mpaka laki 5. bosi wetu ameshalipa hiyo mara mbili na gari bado ikafungiwa na Sumatra piaFaini za latra ni kitu kidogo? Unafahamu kuwa basi moja laweza pigwa faini hadi milioni moja kwa siku moja ?, tu kwa sababu ya ubovu wa king'amuzi!