Hayajamkuta ndo maana. Kuna wakati ilikuwa inaonekana waziwazi kama ni mradi maana kama king'amuzi kina utata wa kuingiliwa basi hata mzabuni alikuwa akitupiga faini mpaka laki 5. bosi wetu ameshalipa hiyo mara mbili na gari bado ikafungiwa na Sumatra pia