LATRA mabasi kuondoka saa 9 usiku ni usumbufu na mzigo wa wananchi

LATRA mabasi kuondoka saa 9 usiku ni usumbufu na mzigo wa wananchi

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,657
Reaction score
3,679
Ni kero kubwa iliyotengenezwa na latra mabasi kuanza safari saa 9 usiku.

Mfano mtu anakaa mbali na stendi hapo lazima aondoke kwake saa 6 usiku km usafiri upo au aondoke mapema akalale lodge ya karibu na stendi. Unakuta sehemu ya kusafiri na 60k unatumia mpaka 150k.

Kwanini isiwe kama majirani Kenya yawepo mabasi yanayoanza safari asubuhi na route hiyo hiyo yapo yanayoanza safari jioni.

Tumpunguzie mtanzania gharama
 
Kwani mabasi yoote umeambiwa yanaondoka saa 9 usiku? Kuna Binadamu akilli zao ni kama Umbile la minyoo au funza hawaeleweki mbele ni wapi wala nyuma ni wapi na hawajulikani wanataka nini?

Wewe Endelea kulala wengine waache wasafiri Mkuu. Usiturudishe miaka 60 nyuma
 
Mkuu mbona kuna magari mengi sana umelazimishwa upande ya saa 9?
 
Kama hausafiri mara kwa mara sioni tatizo la Siku Moja tu Kuteseka kwa Usafiri. Pia hizo Changamoto ni sehemu ya Zoezi la Kuuchangamsha Mwili wako ili ukiwa Safarini muda wote uwe Umechangamka, uko Active na uweze Kulinda vyema Mizigo yako isipotee kwa Kuibiwa au Kushushwa kwa bahati mbaya mkiwa Safarini.
 
Hii ndio brother Bernard sasa.

Sema nini hapo kwenye safari za asubuhi saa 12 zianze saa 11 ila ziwepo route za jioni (hakuna kulala) hii ndio maana halisi ya 24hrs.
 
Kwani analazimishwa?

Si aondoke na la saa 12?
Kwanini waweke la saa 9 na wanajua mtanzania anakasumba ya kutaka kufika mapema?
Wewe sio msafiri
Tangu lini msafiri akalala
Msafiri huwa anakesha? Nyie ndio wenye imani safari adhabu mateso
Kama hausafiri mara kwa mara sioni tatizo la Siku Moja tu Kuteseka kwa Usafiri. Pia hizo Changamoto ni sehemu ya Zoezi la Kuuchangamsha Mwili wako ili ukiwa Safarini muda wote uwe Umechangamka, uko Active na uweze Kulinda vyema Mizigo yako isipotee kwa Kuibiwa au Kushushwa kwa bahati mbaya mkiwa Safarini.
Mateso ni mateso haijishi wingi wa siku marwa
 
Hana hoja na hajasafiri inawezekanankwenda mbali
 
Ni kero kubwa iliyotengenezwa na latra mabasi kuanza safari saa 9 usiku.

Mfano mtu anakaa mbali na stendi hapo lazima aondoke kwake saa 6 usiku km usafiri upo au aondoke mapema akalale lodge ya karibu na stendi. Unakuta sehemu ya kusafiri na 60k unatumia mpaka 150k.

Kwanini isiwe kama majirani Kenya yawepo mabasi yanayoanza safari asubuhi na route hiyo hiyo yapo yanayoanza safari jioni.

Tumpunguzie mtanzania gharama
wewe poyoyo ubongoli wazi hakilin haunazong happy nation inayoondoka saa tisa ina mabasi mengne ya saa 12 bado kuna mabasi kibao ya saa 12 umelazimishwa uondoke saa tisa
 
Back
Top Bottom