Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini hata Kenya yanasafiri usikuNi kero kubwa iliyotengenezwa na latra mabasi kuanza safari saa 9 usiku.
Mfano mtu anakaa mbali na stendi hapo lazima aondoke kwake saa 6 usiku km usafiri upo au aondoke mapema akalale lodge ya karibu na stendi. Unakuta sehemu ya kusafiri na 60k unatumia mpaka 150k.
Kwanini isiwe kama majirani Kenya yawepo mabasi yanayoanza safari asubuhi na route hiyo hiyo yapo yanayoanza safari jioni.
Tumpunguzie mtanzania gharama
Yeye anataka mabasi ya saa tisa lukwili tu.Wabongo ni watu wa ajabu ajabu tu.
Kutwa nzima usafiri upo kwani lazima uondoke saa 9?
Kumbuka, Kulala Lodge badala ya home kunaongeza akili, maarifa na kipato kwa mwenye na nchi
Ni kero kubwa iliyotengenezwa na latra mabasi kuanza safari saa 9 usiku.
Mfano mtu anakaa mbali na stendi hapo lazima aondoke kwake saa 6 usiku km usafiri upo au aondoke mapema akalale lodge ya karibu na stendi. Unakuta sehemu ya kusafiri na 60k unatumia mpaka 150k.
Kwanini isiwe kama majirani Kenya yawepo mabasi yanayoanza safari asubuhi na route hiyo hiyo yapo yanayoanza safari jioni.
Tumpunguzie mtanzania gharama
Hata ndege zipo za usiku mbona wanafika on time.Ni kero kubwa iliyotengenezwa na latra mabasi kuanza safari saa 9 usiku.
Mfano mtu anakaa mbali na stendi hapo lazima aondoke kwake saa 6 usiku km usafiri upo au aondoke mapema akalale lodge ya karibu na stendi. Unakuta sehemu ya kusafiri na 60k unatumia mpaka 150k.
Kwanini isiwe kama majirani Kenya yawepo mabasi yanayoanza safari asubuhi na route hiyo hiyo yapo yanayoanza safari jioni.
Tumpunguzie mtanzania gharama
Utaratibu ungekuwa kuwe na mabasi yanayo safiri usiku, safari inaanza saa 11 jioni au saa moja usikuSasa wananchi mnataka nini?
Wanadai wanataka BANDARISasa wananchi mnataka nini?
Kwani mtu analazimishwa saa9, gari zipo kuanzia saa 9 na kuendelea..Ni kero kubwa iliyotengenezwa na latra mabasi kuanza safari saa 9 usiku.
Mfano mtu anakaa mbali na stendi hapo lazima aondoke kwake saa 6 usiku km usafiri upo au aondoke mapema akalale lodge ya karibu na stendi. Unakuta sehemu ya kusafiri na 60k unatumia mpaka 150k.
Kwanini isiwe kama majirani Kenya yawepo mabasi yanayoanza safari asubuhi na route hiyo hiyo yapo yanayoanza safari jioni.
Tumpunguzie mtanzania gharama
Sahihi.Ni nzuri kwa safari za mbali mnawahi kufika..!!
Kweli Kabisa jirani si lazima apande ya saa 9 !Kwani mtu analazimishwa saa9, gari zipo kuanzia saa 9 na kuendelea..
Kusafiri usiku raha sana afu uwe na pisi kwenye siti apo unamshawishi konda azime taa tuNi kero kubwa iliyotengenezwa na latra mabasi kuanza safari saa 9 usiku.
Mfano mtu anakaa mbali na stendi hapo lazima aondoke kwake saa 6 usiku km usafiri upo au aondoke mapema akalale lodge ya karibu na stendi. Unakuta sehemu ya kusafiri na 60k unatumia mpaka 150k.
Kwanini isiwe kama majirani Kenya yawepo mabasi yanayoanza safari asubuhi na route hiyo hiyo yapo yanayoanza safari jioni.
Tumpunguzie mtanzania gharama
NAKAZIA HAPO MKUU!.Kwani mabasi yoote umeambiwa yanaondoka saa 9 usiku? Kuna Binadamu akilli zao ni kama Umbile la minyoo au funza hawaeleweki mbele ni wapi wala nyuma ni wapi na hawajulikani wanataka nini?
Wewe Endelea kulala wengine waache wasafiri Mkuu. Usiturudishe miaka 60 nyuma
Msafiri halazimishwi, kuna magari ya saa 9, saa 11, na saa 12 asubuhi . Kuna mabus yanatoka mbali mfano Bukoba , Mwanza, Sirari, Tunduma na kshlk, kuondoka mda huo abiria anafika mapema aendako.Ni kero kubwa iliyotengenezwa na latra mabasi kuanza safari saa 9 usiku.
Mfano mtu anakaa mbali na stendi hapo lazima aondoke kwake saa 6 usiku km usafiri upo au aondoke mapema akalale lodge ya karibu na stendi. Unakuta sehemu ya kusafiri na 60k unatumia mpaka 150k.
Kwanini isiwe kama majirani Kenya yawepo mabasi yanayoanza safari asubuhi na route hiyo hiyo yapo yanayoanza safari jioni.
Tumpunguzie mtanzania gharama