LATRA mabasi kuondoka saa 9 usiku ni usumbufu na mzigo wa wananchi

LATRA mabasi kuondoka saa 9 usiku ni usumbufu na mzigo wa wananchi

Wabongo ni watu wa ajabu ajabu tu.
Kutwa nzima usafiri upo kwani lazima uondoke saa 9?
Kumbuka, Kulala Lodge badala ya home kunaongeza akili, maarifa na kipato kwa mwenye na nchi
 
Ni kero kubwa iliyotengenezwa na latra mabasi kuanza safari saa 9 usiku.

Mfano mtu anakaa mbali na stendi hapo lazima aondoke kwake saa 6 usiku km usafiri upo au aondoke mapema akalale lodge ya karibu na stendi. Unakuta sehemu ya kusafiri na 60k unatumia mpaka 150k.

Kwanini isiwe kama majirani Kenya yawepo mabasi yanayoanza safari asubuhi na route hiyo hiyo yapo yanayoanza safari jioni.

Tumpunguzie mtanzania gharama
Lakini hata Kenya yanasafiri usiku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wabongo ni watu wa ajabu ajabu tu.
Kutwa nzima usafiri upo kwani lazima uondoke saa 9?
Kumbuka, Kulala Lodge badala ya home kunaongeza akili, maarifa na kipato kwa mwenye na nchi
Yeye anataka mabasi ya saa tisa lukwili tu.
 
Ni kero kubwa iliyotengenezwa na latra mabasi kuanza safari saa 9 usiku.

Mfano mtu anakaa mbali na stendi hapo lazima aondoke kwake saa 6 usiku km usafiri upo au aondoke mapema akalale lodge ya karibu na stendi. Unakuta sehemu ya kusafiri na 60k unatumia mpaka 150k.

Kwanini isiwe kama majirani Kenya yawepo mabasi yanayoanza safari asubuhi na route hiyo hiyo yapo yanayoanza safari jioni.

Tumpunguzie mtanzania gharama

Kwani hakuna mabasi ya muda unaotaka wewe?
 
Ni kero kubwa iliyotengenezwa na latra mabasi kuanza safari saa 9 usiku.

Mfano mtu anakaa mbali na stendi hapo lazima aondoke kwake saa 6 usiku km usafiri upo au aondoke mapema akalale lodge ya karibu na stendi. Unakuta sehemu ya kusafiri na 60k unatumia mpaka 150k.

Kwanini isiwe kama majirani Kenya yawepo mabasi yanayoanza safari asubuhi na route hiyo hiyo yapo yanayoanza safari jioni.

Tumpunguzie mtanzania gharama
Hata ndege zipo za usiku mbona wanafika on time.
 
Jamani kwani kuna shida gani kusafiri hiyo saa? Wale wanaopanda ndege za saa 9, 10 na nane usiku huwa wanafanyaje?
Umeandikiwa reporting time ni saa nane basi tafuta pa kujibana mpaka hiyo saa nane usiku unareport unaingia kwenye basi, unaanza kusinzia basi. Wakati unasubiria unaweza kupata kahawa au chai na chapati kwa mama/baba lishe.
Huo ni ushauri wangu. Watu tubadilike. Siku hazigandi.
 
Mbona iko sawa tu. Fikiria hata ukitoka saa kumi na mbili itakulazimu uamke saa kumi za usiku.
 
Ni kero kubwa iliyotengenezwa na latra mabasi kuanza safari saa 9 usiku.

Mfano mtu anakaa mbali na stendi hapo lazima aondoke kwake saa 6 usiku km usafiri upo au aondoke mapema akalale lodge ya karibu na stendi. Unakuta sehemu ya kusafiri na 60k unatumia mpaka 150k.

Kwanini isiwe kama majirani Kenya yawepo mabasi yanayoanza safari asubuhi na route hiyo hiyo yapo yanayoanza safari jioni.

Tumpunguzie mtanzania gharama
Kwani mtu analazimishwa saa9, gari zipo kuanzia saa 9 na kuendelea..
 
Ni kero kubwa iliyotengenezwa na latra mabasi kuanza safari saa 9 usiku.

Mfano mtu anakaa mbali na stendi hapo lazima aondoke kwake saa 6 usiku km usafiri upo au aondoke mapema akalale lodge ya karibu na stendi. Unakuta sehemu ya kusafiri na 60k unatumia mpaka 150k.

Kwanini isiwe kama majirani Kenya yawepo mabasi yanayoanza safari asubuhi na route hiyo hiyo yapo yanayoanza safari jioni.

Tumpunguzie mtanzania gharama
Kusafiri usiku raha sana afu uwe na pisi kwenye siti apo unamshawishi konda azime taa tu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kwani mabasi yoote umeambiwa yanaondoka saa 9 usiku? Kuna Binadamu akilli zao ni kama Umbile la minyoo au funza hawaeleweki mbele ni wapi wala nyuma ni wapi na hawajulikani wanataka nini?

Wewe Endelea kulala wengine waache wasafiri Mkuu. Usiturudishe miaka 60 nyuma
NAKAZIA HAPO MKUU!.
 
Ni kero kubwa iliyotengenezwa na latra mabasi kuanza safari saa 9 usiku.

Mfano mtu anakaa mbali na stendi hapo lazima aondoke kwake saa 6 usiku km usafiri upo au aondoke mapema akalale lodge ya karibu na stendi. Unakuta sehemu ya kusafiri na 60k unatumia mpaka 150k.

Kwanini isiwe kama majirani Kenya yawepo mabasi yanayoanza safari asubuhi na route hiyo hiyo yapo yanayoanza safari jioni.

Tumpunguzie mtanzania gharama
Msafiri halazimishwi, kuna magari ya saa 9, saa 11, na saa 12 asubuhi . Kuna mabus yanatoka mbali mfano Bukoba , Mwanza, Sirari, Tunduma na kshlk, kuondoka mda huo abiria anafika mapema aendako.
 
Back
Top Bottom