LATRA mabasi kuondoka saa 9 usiku ni usumbufu na mzigo wa wananchi

LATRA mabasi kuondoka saa 9 usiku ni usumbufu na mzigo wa wananchi

Ni kero kubwa iliyotengenezwa na latra mabasi kuanza safari saa 9 usiku.

Mfano mtu anakaa mbali na stendi hapo lazima aondoke kwake saa 6 usiku km usafiri upo au aondoke mapema akalale lodge ya karibu na stendi. Unakuta sehemu ya kusafiri na 60k unatumia mpaka 150k.

Kwanini isiwe kama majirani Kenya yawepo mabasi yanayoanza safari asubuhi na route hiyo hiyo yapo yanayoanza safari jioni.

Tumpunguzie mtanzania gharama
Kichwani mweupe kabisa
 
Ni kero kubwa iliyotengenezwa na latra mabasi kuanza safari saa 9 usiku.

Mfano mtu anakaa mbali na stendi hapo lazima aondoke kwake saa 6 usiku km usafiri upo au aondoke mapema akalale lodge ya karibu na stendi. Unakuta sehemu ya kusafiri na 60k unatumia mpaka 150k.

Kwanini isiwe kama majirani Kenya yawepo mabasi yanayoanza safari asubuhi na route hiyo hiyo yapo yanayoanza safari jioni.

Tumpunguzie mtanzania gharama

Angalia ratiba inakufaa bro!! Kuna yanayoondoka saa kumi jioni, saa moja usiku, mbili usiku, saa nne usiku na hata hiyo saa tisa usiku. Pia kuna ratiba ya kawaida ya saa kumi na moja alfajiri na saa kumi na mbili hata saa moja, saa mbili na saa nne asbuhi!!

Mie kwangu naona ina manufaa badala ya kusafiri siku nzima mambo yanalala natoka saa moja usiku hapa DSM naingia Arusha asubuhi naendelea na michakato!!

Noliwahi toka Dodoma saa tisa usiku nikaingia Singida saa moja na maisha yanaendelea!! Kuna raha yake, angalia ratiba inayosuit mazingira yako!!
 
Kuna watu wamezaliwa kwa ajili ya kulalamika tu. Kwahiyo Latra walikulazimisha upande gari la saa tisa usiku? Kichwa chako unafugia nywele tu😂😂
 
Majitu kama haya ndio yanataka kuturudisha enzi za ujima
 
Yani serikali ikisema isikilize kero za kila mtu itapata sroke...hahahaa
Ndo maana Mungu amekaa zake mbali maana aliwajua hawa binadamu wake bora awasaidie akiwa hamumuoni...
 
Ni kero kubwa iliyotengenezwa na latra mabasi kuanza safari saa 9 usiku.

Mfano mtu anakaa mbali na stendi hapo lazima aondoke kwake saa 6 usiku km usafiri upo au aondoke mapema akalale lodge ya karibu na stendi. Unakuta sehemu ya kusafiri na 60k unatumia mpaka 150k.

Kwanini isiwe kama majirani Kenya yawepo mabasi yanayoanza safari asubuhi na route hiyo hiyo yapo yanayoanza safari jioni.

Tumpunguzie mtanzania gharama
Acha kulialia kama mtoto mdogo huoni aibu..wenzako mbona tunaenjoy na huo mda
 
Nimecheka peke yangu.🐵
Yani serikali ikisema isikilize kero za kila mtu itapata sroke...hahahaa
Ndo maana Mungu amekaa zake mbali maana aliwajua hawa binadamu wake bora awasaidie akiwa hamumuoni...
 
Ni kero kubwa iliyotengenezwa na latra mabasi kuanza safari saa 9 usiku.

Mfano mtu anakaa mbali na stendi hapo lazima aondoke kwake saa 6 usiku km usafiri upo au aondoke mapema akalale lodge ya karibu na stendi. Unakuta sehemu ya kusafiri na 60k unatumia mpaka 150k.

Kwanini isiwe kama majirani Kenya yawepo mabasi yanayoanza safari asubuhi na route hiyo hiyo yapo yanayoanza safari jioni.

Tumpunguzie mtanzania gharama
Kapimwe akili
 
Ni kero kubwa iliyotengenezwa na latra mabasi kuanza safari saa 9 usiku.

Mfano mtu anakaa mbali na stendi hapo lazima aondoke kwake saa 6 usiku km usafiri upo au aondoke mapema akalale lodge ya karibu na stendi. Unakuta sehemu ya kusafiri na 60k unatumia mpaka 150k.

Kwanini isiwe kama majirani Kenya yawepo mabasi yanayoanza safari asubuhi na route hiyo hiyo yapo yanayoanza safari jioni.

Tumpunguzie mtanzania gharama
Kwani si yapo ya mapema unaweza ukachukua hayo au la alfajiri .. wanaweza ya saa tisa watapanga hayo ..na pia sio yote yale yenye vibali tu
 
Ni kero kubwa iliyotengenezwa na latra mabasi kuanza safari saa 9 usiku.

Mfano mtu anakaa mbali na stendi hapo lazima aondoke kwake saa 6 usiku km usafiri upo au aondoke mapema akalale lodge ya karibu na stendi. Unakuta sehemu ya kusafiri na 60k unatumia mpaka 150k.

Kwanini isiwe kama majirani Kenya yawepo mabasi yanayoanza safari asubuhi na route hiyo hiyo yapo yanayoanza safari jioni.

Tumpunguzie mtanzania gharama
Mabasi yapo mengi, tafuta la muda unaotaka
Ni kero kubwa iliyotengenezwa na latra mabasi kuanza safari saa 9 usiku.

Mfano mtu anakaa mbali na stendi hapo lazima aondoke kwake saa 6 usiku km usafiri upo au aondoke mapema akalale lodge ya karibu na stendi. Unakuta sehemu ya kusafiri na 60k unatumia mpaka 150k.

Kwanini isiwe kama majirani Kenya yawepo mabasi yanayoanza safari asubuhi na route hiyo hiyo yapo yanayoanza safari jioni.

Tumpunguzie mtanzania gharama
Mabasi yapo mengi tafuta la muda unaotaka
 
Back
Top Bottom