Kichwani mweupe kabisaNi kero kubwa iliyotengenezwa na latra mabasi kuanza safari saa 9 usiku.
Mfano mtu anakaa mbali na stendi hapo lazima aondoke kwake saa 6 usiku km usafiri upo au aondoke mapema akalale lodge ya karibu na stendi. Unakuta sehemu ya kusafiri na 60k unatumia mpaka 150k.
Kwanini isiwe kama majirani Kenya yawepo mabasi yanayoanza safari asubuhi na route hiyo hiyo yapo yanayoanza safari jioni.
Tumpunguzie mtanzania gharama
Ni kero kubwa iliyotengenezwa na latra mabasi kuanza safari saa 9 usiku.
Mfano mtu anakaa mbali na stendi hapo lazima aondoke kwake saa 6 usiku km usafiri upo au aondoke mapema akalale lodge ya karibu na stendi. Unakuta sehemu ya kusafiri na 60k unatumia mpaka 150k.
Kwanini isiwe kama majirani Kenya yawepo mabasi yanayoanza safari asubuhi na route hiyo hiyo yapo yanayoanza safari jioni.
Tumpunguzie mtanzania gharama
Hatujui muheshimiwaSasa wananchi mnataka nini?
Acha kulialia kama mtoto mdogo huoni aibu..wenzako mbona tunaenjoy na huo mdaNi kero kubwa iliyotengenezwa na latra mabasi kuanza safari saa 9 usiku.
Mfano mtu anakaa mbali na stendi hapo lazima aondoke kwake saa 6 usiku km usafiri upo au aondoke mapema akalale lodge ya karibu na stendi. Unakuta sehemu ya kusafiri na 60k unatumia mpaka 150k.
Kwanini isiwe kama majirani Kenya yawepo mabasi yanayoanza safari asubuhi na route hiyo hiyo yapo yanayoanza safari jioni.
Tumpunguzie mtanzania gharama
Yani serikali ikisema isikilize kero za kila mtu itapata sroke...hahahaa
Ndo maana Mungu amekaa zake mbali maana aliwajua hawa binadamu wake bora awasaidie akiwa hamumuoni...
Kapimwe akiliNi kero kubwa iliyotengenezwa na latra mabasi kuanza safari saa 9 usiku.
Mfano mtu anakaa mbali na stendi hapo lazima aondoke kwake saa 6 usiku km usafiri upo au aondoke mapema akalale lodge ya karibu na stendi. Unakuta sehemu ya kusafiri na 60k unatumia mpaka 150k.
Kwanini isiwe kama majirani Kenya yawepo mabasi yanayoanza safari asubuhi na route hiyo hiyo yapo yanayoanza safari jioni.
Tumpunguzie mtanzania gharama
Kwani si yapo ya mapema unaweza ukachukua hayo au la alfajiri .. wanaweza ya saa tisa watapanga hayo ..na pia sio yote yale yenye vibali tuNi kero kubwa iliyotengenezwa na latra mabasi kuanza safari saa 9 usiku.
Mfano mtu anakaa mbali na stendi hapo lazima aondoke kwake saa 6 usiku km usafiri upo au aondoke mapema akalale lodge ya karibu na stendi. Unakuta sehemu ya kusafiri na 60k unatumia mpaka 150k.
Kwanini isiwe kama majirani Kenya yawepo mabasi yanayoanza safari asubuhi na route hiyo hiyo yapo yanayoanza safari jioni.
Tumpunguzie mtanzania gharama
Mabasi yapo mengi, tafuta la muda unaotakaNi kero kubwa iliyotengenezwa na latra mabasi kuanza safari saa 9 usiku.
Mfano mtu anakaa mbali na stendi hapo lazima aondoke kwake saa 6 usiku km usafiri upo au aondoke mapema akalale lodge ya karibu na stendi. Unakuta sehemu ya kusafiri na 60k unatumia mpaka 150k.
Kwanini isiwe kama majirani Kenya yawepo mabasi yanayoanza safari asubuhi na route hiyo hiyo yapo yanayoanza safari jioni.
Tumpunguzie mtanzania gharama
Mabasi yapo mengi tafuta la muda unaotakaNi kero kubwa iliyotengenezwa na latra mabasi kuanza safari saa 9 usiku.
Mfano mtu anakaa mbali na stendi hapo lazima aondoke kwake saa 6 usiku km usafiri upo au aondoke mapema akalale lodge ya karibu na stendi. Unakuta sehemu ya kusafiri na 60k unatumia mpaka 150k.
Kwanini isiwe kama majirani Kenya yawepo mabasi yanayoanza safari asubuhi na route hiyo hiyo yapo yanayoanza safari jioni.
Tumpunguzie mtanzania gharama