TAREHE 6 MAY 2024
KATAVI RUKWA
BARABARA YAFUNGULIWA / DARAJA LILIJAA MAJI SIKU 18 / GARI ZAANZA KUPITA KATAVI -RUKWA
View: https://m.youtube.com/watch?v=dYQ92KKd69I
Barabara ya Sitalike kuelekea Rukwa imefunguliwa baada ya kufanyiwa ukaguzi na kukarabatiwa.
Meneja wa wakala wa barabara TANROADS mkoa wa Katavi mhandisi Martin Mwakabende amesema daraja lililokua limefungwa kwa takribani wiki mbili sasa imefunguliwa ikiwa ni tayari kuendelea na matumizi yake.
Barabara hiyo ilifungwa na mkuu wa mkoa wa Katavi Bi. Mwanamvua Mrindoko baada ya daraja la Sitalike lililoko halimashauri ya Nsimbo mkoani humo ambayo inaelekea mkoani Rukwa kujaa maji ambayo yalisababishwa na mvua nyingi zinazoendelea kunyesha.
Aidha Mhandisi Mwakabende amesema serikali kupitia rais wa jamhuri ya muungano Dr Samia Suluhu Hassan imetoa zaidi ya bilioni moja kukarabati barabara zote zilizoharibiwa na mafuriko
KATAVI RUKWA
BARABARA YAFUNGULIWA / DARAJA LILIJAA MAJI SIKU 18 / GARI ZAANZA KUPITA KATAVI -RUKWA
View: https://m.youtube.com/watch?v=dYQ92KKd69I
Barabara ya Sitalike kuelekea Rukwa imefunguliwa baada ya kufanyiwa ukaguzi na kukarabatiwa.
Meneja wa wakala wa barabara TANROADS mkoa wa Katavi mhandisi Martin Mwakabende amesema daraja lililokua limefungwa kwa takribani wiki mbili sasa imefunguliwa ikiwa ni tayari kuendelea na matumizi yake.
Barabara hiyo ilifungwa na mkuu wa mkoa wa Katavi Bi. Mwanamvua Mrindoko baada ya daraja la Sitalike lililoko halimashauri ya Nsimbo mkoani humo ambayo inaelekea mkoani Rukwa kujaa maji ambayo yalisababishwa na mvua nyingi zinazoendelea kunyesha.
Aidha Mhandisi Mwakabende amesema serikali kupitia rais wa jamhuri ya muungano Dr Samia Suluhu Hassan imetoa zaidi ya bilioni moja kukarabati barabara zote zilizoharibiwa na mafuriko