Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Mkeka huo hapoView attachment 2206032
Mabadiliko sio makubwa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkeka huo hapoView attachment 2206032
Acheni kuzunguka mmbuyu
Mnaelezea kisiasa siasa
Semeni mfano,kutoka kko mpk makumbusho nauli kiasi gani?
Msasani kwenda kimara nauli bei gn?
Etccc
Watu wajue
Ova
Ongeza sh 100Acheni kuzunguka mmbuyu
Mnaelezea kisiasa siasa
Semeni mfano,kutoka kko mpk makumbusho nauli kiasi gani?
Msasani kwenda kimara nauli bei gn?
Etccc
Watu wajue
Ova
Inflation inawezaje kufanya biashara kuendelea vizuri? Zimbabwe ingekua dubaiAfadhali, walichelewa sana kutangaza bei mpya, angalau biashara inaweza kuendelea vizuri [emoji4]
Ndiyo hivyo, msababishi wa yote haya ni JiweTutakoma mbona mpaka maji tutaita mmma kudadeki
Mkuu “Kigli” jina lako lina maana gani? Nataka nimpe mwanangu mtarajiwa(samahani naomba maelezo kama hutajali) QUIGLEYHizi bei hasa daraja la kati ndozo tunalipia diku zote.
Mfano mdogo.
Ar to Dar ni 650km
Bei za mabasi huwa 33k to 36k
Hivyo tulianza kuzitumia mwaka wa 3 sasa.
Sio makubwa ila hayaendani.. Mafuta yamepanda kwa sh 300 daladala inachukua watu zaidi ya 20,sasa hilo ongezeko la 100 kwa kila kichwa haliendi sawa na hiyo nauli.Mabadiliko sio makubwa sana
Mimi nasema a rest in hell muuaji yule na mwizi achilia mbali uongo wakeRest In Peace Hayati Rais Dk. Magufuli.
Ushauri huu hapa.Mmmh Baba Jesca umetuacha wakiwa. R.I.P JPM
#postikikuumamezawembe
Maana yake hayatashuka hata duniani huko yakishuka bongo itabaki pale pale cha juu gavooo wanakulaMafuta yakishuka bei watashusha?
Tukiweka siasa pembeni nauli ya daladala ilikuwa ndogo, wanaishi nchi mbalimbali wanaweza kutowa ushuhuda wa hili.Nauli uliyokuwa unalipa zamani + sh.100
Chap chap hapo inaonesha ongezeko ni sh.100 kwenye ile bei ya mwanzo
Nyie sukuma gang ndiyo wakiwa. Watanzania wengine mpaka walichinja ng'ombe na mbuziMmmh Baba Jesca umetuacha wakiwa. R.I.P JPM
#postikikuumamezawembe
Nyie sukuma gang ndiyo wakiwa. Watanzania wengine mpaka walichinja ng'ombe na mbuziMmmh Baba Jesca umetuacha wakiwa. R.I.P JPM
#postikikuumamezawembe
Hiyo mimba itoeNdiyo hivyo, msababishi wa yote haya ni Jiwe
Sio makubwa ila hayaendani.. Mafuta yamepanda kwa sh 300 daladala inachukua watu zaidi ya 20,sasa hilo ongezeko la 100 kwa kila kichwa haliendi sawa na hiyo nauli.
Hakuna nauli ya 400 nauli zaanzia 500Acheni kuzunguka mmbuyu
Mnaelezea kisiasa siasa
Semeni mfano,kutoka kko mpk makumbusho nauli kiasi gani?
Msasani kwenda kimara nauli bei gn?
Etccc
Watu wajue
Ova
kafanyaje lakini wakati yeye hayupoNdiyo hivyo, msababishi wa yote haya ni Jiwe