Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado sijashinda mpaka hiyo mimba uitoeAisee, haya tufanye umeshinda tu. Ukimfukuza kichaa ukiwa uchi kisa tu kaiba nguo zako nadhani jibu unalijua
Tajiri feki
Nchi ya kisenge saana hii na sisi watz ni mang'ombe kabisa.Tayari
Naomba uwe unanipa nipa lifti tu.Ngoja ninunue [emoji2204]
Ulisema tutakukumbuka ,,Rest In Peace Hayati Rais Dk. Magufuli.
Ulikua unaibiwa na wapiga debe mkuu.[emoji16][emoji16][emoji16]Wa mabasi ya mikoani watagoma. Hizo bei mpya kwao ndiyo za zamani.
Nyie sukuma gang ndiyo wakiwa. Watanzania wengine mpaka walichinja ng'ombe na mbuzi
Sidhani kama treni ya sgr itakuwa "bure" kiasi hicho..Bei zinaenda mpaka elfu 80k si bora nikapande ndege kuliko kukesha barabarani alafu Treni ya SGR inaanza lini asee labda itakua nafuu [emoji23]
Una shi ngapi mkuu?Naomba uwe unanipa nipa lifti tu.
Wazo zuri, wangetengeneza mfumo unao calculate nauli with respect to fuel price changeWakumbuke pia siku mafuta yakishuka washushe na bei
MaajabuHivi kwenye ndege ni shirika lipi la umma linapanga bei za ndege? kwa maana nauli ya kwenda dubai ni nafuu zaidi kuliko nauli ya kwenda Bukoba
Nadhani Rambo hatumii mabasi.[emoji276]