Huna hoja mkuu. Sasa mim na Sukuma gang nani bado anaomboleza?Mjane bado tu unaomboleza. Pole
Kubalini tu kuwa mungu wenu kashauliwa na Mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna hoja mkuu. Sasa mim na Sukuma gang nani bado anaomboleza?Mjane bado tu unaomboleza. Pole
Mama siyo mnafiki kama yule shetaniMakofi mengi kwa mama. Ana huruma na ni mzalendo tumpongeze.[emoji23]
Uko sahihi mkuu!Hizi bei hasa daraja la kati ndozo tunalipia diku zote.
Mfano mdogo.
Ar to Dar ni 650km
Bei za mabasi huwa 33k to 36k
Hivyo tulianza kuzitumia mwaka wa 3 sasa.
Huna hoja mkuu. Sasa mim na Sukuma gang nani bado anaomboleza?
Kubalini tu kuwa mungu wenu kashauliwa na Mungu
MwafaaAisee!!
Kwenye Salary Kuna Kigugumizi MnoKesho wapandishe na mishahara
Sasa hivi si 36700? Tutailipia kwa 38KHizi bei hasa daraja la kati ndozo tunalipia diku zote.
Mfano mdogo.
Ar to Dar ni 650km
Bei za mabasi huwa 33k to 36k
Hivyo tulianza kuzitumia mwaka wa 3 sasa.
Nimeshangaa sana kuona hata mimi watu wanalipa mpaka alfu 40 leo wanaleta bei za mwaka 2016.Hizi bei hata hawasimamii, hizi bei za awali watu walikuwa wanalipa zaidi ya hapo, dar to dom basi ilikuwa elfu 20 huko, 22 na hilo ndio basi la kawaida, wakati nauli halisi ilikuwa ni 16 hiv.. Sasa imepanda 18 tutegemee mtu kutozwa 25 elfu
Kafie mbereeeee jinga tu kama wengineMama siyo mnafiki kama yule shetani
Tuna serikali mbovu kuliko maelezo.Nimeshangaa sana kuona hata mimi watu wanalipa mpaka alfu 40 leo wanaleta bei za mwaka 2016.
41k mkuuSasa hivi si 36700? Tutailipia kwa 38K
Lakini wewe kaka/dada ni muongooooo sana...jana tu nimepanda boda kutoka kale ka stand kadogo kutoka Runzewe nimeenda mpaka mazambarauni na nimelipa 1000/= ilaaa wewe ni kaongooooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Uku Geita Masumbwe bodaboda kwa safari moja wamepandisha kutoka 1000 kabla ya mafuta kupanda sasa hivi ni 2000 na asiyelipisha wanamfungia mnyororo na faini ya keti tatu za soda Serikali mngelitolea ufafanuzi na hili wananchi wanateseka kwa kutembea na miguu kilometa 10
Nakuomba PM mkuuRest In Peace Hayati Rais Dk. Magufuli.
Hata Mbazi ulikuwa unalipa bei hiyo?Hizi bei hasa daraja la kati ndozo tunalipia diku zote.
Mfano mdogo.
Ar to Dar ni 650km
Bei za mabasi huwa 33k to 36k
Hivyo tulianza kuzitumia mwaka wa 3 sasa.
CCM au wengine?Mafuta yakishuka bei watashusha?
Wee!! Kwanini? Pale si wameandika 36,700 sijui41k mkuu