data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
🤣🤣😂🤣😂🤣🤣Nadhani Rambo hatumii mabasi.[emoji276]
Rambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣😂🤣😂🤣🤣Nadhani Rambo hatumii mabasi.[emoji276]
Mkuu kwani nimekukosea nini kwa kutoa maoni yangu? Kuna watu wanamwona yule shetani kama shujaa wao nami nachukulia kuwa ni maoni yao. Siyo lazima tuwe na maoni sawaKafie mbereeeee jinga tu kama wengine
Hiyo ndiyo akili, piga hesabu zako then fanya maamuziSisi wakazi wa Musoma tumekubaliana,Shopping zote tutazifanya Nairobi maana nauli kwenda na kurudi ni 40K kuliko kwenda Dar ambapo tutatimia 150K
Utakuwa umevurugwa wewe,Nenda chato mkuu ukazikwe pembeni yake
Sijui kutumia kabisa PM Ndugu yangu.Nakuomba PM mkuu
Utakuwa umevurugwa wewe,
Hujui kuwa wanaotakiwa kwenda kuzikwa pale ni Sukuma gang na wale wanajiita wanyonge?
Uko sahihi niliangalia vibaya.Wee!! Kwanini? Pale si wameandika 36,700 sijui
linatamkwajeHili jina limetumika sehemu nyingi na maana yake hutegemea na jamii..
Limetumika sana Irish..wanasema asili yake ni uzao wa Coigleach...kwa wanaume na wanawake ni uzao wa Choighigh.
Kwa kiebrania maana yake...ni Yehova anaishi
No. Inasemekana nauli hizi za daladala hazijawshi kupandishwa tangu 2013 wakati vipuri vimepanda. Issue sio mafuta. So yakishuka bei pale pale.Mafuta yakishuka bei watashusha?
Happy washenzi watapandisha zaidi kivyao, ngoja nikopi hii chati Ili wasiniingize mkenge nikisafiriHizi bei hasa daraja la kati ndozo tunalipia diku zote.
Mfano mdogo.
Ar to Dar ni 650km
Bei za mabasi huwa 33k to 36k
Hivyo tulianza kuzitumia mwaka wa 3 sasa.
Zile basi zao. Ni semi luxury japo wanatudanganya ni luxury. Basi ya luxury kama Ina choo ndani nkHuwa kuna range ya price katika madaraja yao
UtafulahiSijui kutumia kabisa PM Ndugu yangu.
Mafuta yakishuka watasema vipuri vimepanda beiMafuta yakishuka bei watashusha?
Zile basi zao. Ni semi luxury japo wanatudanganya ni luxury. Basi ya luxury kama Ina choo ndani nk
Kwenye huo mkeka naona semi luxury Dar to Arusha ni 36,700/=Na ndio vya latra vigezo vya luxury ni lazima basi iwe na huduma ya maliwato. Iwe na city mpangilio usioumiza miguu, tv zisizo pungua sita. Ac.
Zamani walikua wakishakagua wanaweka sticker mlango, ordinary, semi luxury au luxury ila siku hizi sioni.
Ukatazwi kuita basi yako luxury katika tiketi yako ila utatoza nauli ndani ya daraja lako