LATRA yavunja rekodi ongezeko la nauli, wananchi wataharuki, patashika kwenye madaladala, Viongozi wakaa kimya

LATRA yavunja rekodi ongezeko la nauli, wananchi wataharuki, patashika kwenye madaladala, Viongozi wakaa kimya

Hao latra sijui serikali wanajuwa
Wabongo wataishia kulalamika tu
Watazoea maisha yataendelea
Huko mbele watapandisha tena itakuwa yale yale
Hawa jamaa they don't care kabisa

Ova
Unahisi ni kubwa sana?
 
Tatzo kubw hakun UHUSIANO kat ya uchumi wa mwananchi na hali za kimaisha
Patashk
Nauli ipande mwak jan na mwak huu
(Au n mwak huuu imepand mara 2#)[emoji4]

Pia serikali ya latra itazame na kujali pato na mwanamchi na kubalance kote
 
Siyo kweli. Taarifa za ongezeko la nauli zilitolewa na kuandikwa kila mahali lkn watanzania kama kawaida yao walikuwa bize na habari za ngono, umbea na Simba na Yanga.

Pambaafu kabisa!!
We jamaa umeongea kweli tupu watz ni viumbe special sana wana react kwa pet issues mfano juzi hapo simba ilikuwa na mwenendo usioridhisha kila mshabiki akawa mchambuzi na kelele zikapigwa Mpaka mzee wa watu akarudi kwao na sasa timu imeanza kucheza vizuri.Lakini ajabu ndani ya nchi hata kuwe na mfumuko wa bei vipi hakuna anayejali bora kama ligi kuu inaendelea .

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Mamlaka ya udhibiti wa usafiri ardhini(LATRA), imefanya mabadiliko ya nauli kwa mabasi na daradara siku chache zilizopita,huku ikiwa ni miezi kazaa tangu wafanye hivyo,kitendo kinacho onesha ni kuvunja rekodi kwa kubadilisha viwango vya nauli mara mbili ndani ya mwaka mmoja,kitu ambacho pengine hakijawahi kutokea hapo nyuma.

WANANCHI WATAHARUKI kwasababu wamepata na mshangao,taarifa za ongezeko la nauli hazikutolewa kwa uwazi na wala hazikufafanuliwa mbele ya jamii husika,wananchi wanahisi makondakta au wamiliki wamejiamulia na sio tamko la serikali.

imefikia wakati hadi ugomvi unazuka kwenye vyombo vya usafiri na kufikishana hadi kwenye vituo vya polisi,wanaumia kuona hali yao ya maisha inazidi kuwa mbaya kwa kukandamizwa na kuendelea kubebeshwa mizigo mizito.sasa wanafikiria sehemu ambayo walikuwa wakienda kwa 500,sasa ni 600,ukiwa na 1000,huwezi kwenda kazini na kurudi.

Wananchi wanauliza maswali,kwamba LATRA wanapandisha nauli kwa kigezo cha kupanda kwa gharama za uendeshaji pamoja na mafuta,je vipato vya wananchi vimekuwa?,je siku siku mafuta yakishuka na nauli zitashuka?

wafanyabiashara wanaonekana wananguvu sana kuliko wananchi wakawaida,ni kwamba wakisema tunapata hasara,wananchi wanyonge wanapandishiwa gharama za maisha,hana subra wafanyabiashara kama walivyo na uvumilivu wananchi wanyonge.

walipa kodi wanaumia ndani kwa ndani kwakuwa hawawezi kupaza sauti zao zikasikika,lakini ukiwauliza wanasema wamechoka sana na sasa wanasubiri muda tu,wanasubiri kile kipindi cha wabukinafaso,waniger,wamali,au hata wakenya na wanaamini kama mambo yataendelea hivi ipo siku yatatokea yale ya Singapore.

VIONGOZI WAKO KIMYA,licha ya yote hayo lakini hakuna kiongozi anaejitokeza na kuwapa faraja wananchi,sio wa upinzani wala aliopo madarakani,watawa hawajali,watu wanasema hawajali kwasababu hayawahusu,wao hawana bajeti ya 1000, dagaa, robo ya unga,mkaa wa mia tatu, wala hawapandi sogea huko, geukia mbele,shikilia bomba, hawaumii kwasbabu hayawagusi haya yanayowagusa wananchi.

viongozi wanautumia upole na uvumilivu wa wananchi kuendelea kuwaumiza,hawafikirii maisha yao,wala ustawi wa vizazi vyao,bali maslahi binafsi,

Raia wanawakumbusha watawa kama hawawezi kuwasaidia basi wasiendelee kuwaumiza kwasababu wamechoka.
Kwako Lucas mwashambwa
 
Mimi naamini kabisa CCM haipo tena nchi hii,ila Kuna Lindi linajiita CCM.
 
Mamlaka ya udhibiti wa usafiri ardhini(LATRA), imefanya mabadiliko ya nauli kwa mabasi na daradara siku chache zilizopita,huku ikiwa ni miezi kazaa tangu wafanye hivyo,kitendo kinacho onesha ni kuvunja rekodi kwa kubadilisha viwango vya nauli mara mbili ndani ya mwaka mmoja,kitu ambacho pengine hakijawahi kutokea hapo nyuma.

WANANCHI WATAHARUKI kwasababu wamepata na mshangao,taarifa za ongezeko la nauli hazikutolewa kwa uwazi na wala hazikufafanuliwa mbele ya jamii husika,wananchi wanahisi makondakta au wamiliki wamejiamulia na sio tamko la serikali.

imefikia wakati hadi ugomvi unazuka kwenye vyombo vya usafiri na kufikishana hadi kwenye vituo vya polisi,wanaumia kuona hali yao ya maisha inazidi kuwa mbaya kwa kukandamizwa na kuendelea kubebeshwa mizigo mizito.sasa wanafikiria sehemu ambayo walikuwa wakienda kwa 500,sasa ni 600,ukiwa na 1000,huwezi kwenda kazini na kurudi.

Wananchi wanauliza maswali,kwamba LATRA wanapandisha nauli kwa kigezo cha kupanda kwa gharama za uendeshaji pamoja na mafuta,je vipato vya wananchi vimekuwa?,je siku siku mafuta yakishuka na nauli zitashuka?

wafanyabiashara wanaonekana wananguvu sana kuliko wananchi wakawaida,ni kwamba wakisema tunapata hasara,wananchi wanyonge wanapandishiwa gharama za maisha,hana subra wafanyabiashara kama walivyo na uvumilivu wananchi wanyonge.

walipa kodi wanaumia ndani kwa ndani kwakuwa hawawezi kupaza sauti zao zikasikika,lakini ukiwauliza wanasema wamechoka sana na sasa wanasubiri muda tu,wanasubiri kile kipindi cha wabukinafaso,waniger,wamali,au hata wakenya na wanaamini kama mambo yataendelea hivi ipo siku yatatokea yale ya Singapore.

VIONGOZI WAKO KIMYA,licha ya yote hayo lakini hakuna kiongozi anaejitokeza na kuwapa faraja wananchi,sio wa upinzani wala aliopo madarakani,watawa hawajali,watu wanasema hawajali kwasababu hayawahusu,wao hawana bajeti ya 1000, dagaa, robo ya unga,mkaa wa mia tatu, wala hawapandi sogea huko, geukia mbele,shikilia bomba, hawaumii kwasbabu hayawagusi haya yanayowagusa wananchi.

viongozi wanautumia upole na uvumilivu wa wananchi kuendelea kuwaumiza,hawafikirii maisha yao,wala ustawi wa vizazi vyao,bali maslahi binafsi,

Raia wanawakumbusha watawa kama hawawezi kuwasaidia basi wasiendelee kuwaumiza kwasababu wamechoka.
Tunaongozwa na vibaka a.k.a panyaroad.
 

Attachments

  • +255 620 815 740 20231008_082620.jpg
    +255 620 815 740 20231008_082620.jpg
    25.1 KB · Views: 3
VIONGOZI WAKO KIMYA,licha ya yote hayo lakini hakuna kiongozi anaejitokeza na kuwapa faraja wananchi,sio wa upinzani wala aliopo madarakani,watawa hawajali,watu wanasema hawajali kwasababu hayawahusu,wao hawana bajeti ya 1000, dagaa, robo ya unga,mkaa wa mia tatu, wala hawapandi sogea huko, geukia mbele,shikilia bomba, hawaumii kwasbabu hayawagusi haya yanayowagusa wananchi.
HAwawezi kusema kitu kwakuwa hawapati maumivu wao wanaatumia usafiri wa bure
 
Mamlaka ya udhibiti wa usafiri ardhini(LATRA), imefanya mabadiliko ya nauli kwa mabasi na daradara siku chache zilizopita,huku ikiwa ni miezi kazaa tangu wafanye hivyo,kitendo kinacho onesha ni kuvunja rekodi kwa kubadilisha viwango vya nauli mara mbili ndani ya mwaka mmoja,kitu ambacho pengine hakijawahi kutokea hapo nyuma.

WANANCHI WATAHARUKI kwasababu wamepata na mshangao,taarifa za ongezeko la nauli hazikutolewa kwa uwazi na wala hazikufafanuliwa mbele ya jamii husika,wananchi wanahisi makondakta au wamiliki wamejiamulia na sio tamko la serikali.

imefikia wakati hadi ugomvi unazuka kwenye vyombo vya usafiri na kufikishana hadi kwenye vituo vya polisi,wanaumia kuona hali yao ya maisha inazidi kuwa mbaya kwa kukandamizwa na kuendelea kubebeshwa mizigo mizito.sasa wanafikiria sehemu ambayo walikuwa wakienda kwa 500,sasa ni 600,ukiwa na 1000,huwezi kwenda kazini na kurudi.

Wananchi wanauliza maswali,kwamba LATRA wanapandisha nauli kwa kigezo cha kupanda kwa gharama za uendeshaji pamoja na mafuta,je vipato vya wananchi vimekuwa?,je siku siku mafuta yakishuka na nauli zitashuka?

wafanyabiashara wanaonekana wananguvu sana kuliko wananchi wakawaida,ni kwamba wakisema tunapata hasara,wananchi wanyonge wanapandishiwa gharama za maisha,hana subra wafanyabiashara kama walivyo na uvumilivu wananchi wanyonge.

walipa kodi wanaumia ndani kwa ndani kwakuwa hawawezi kupaza sauti zao zikasikika,lakini ukiwauliza wanasema wamechoka sana na sasa wanasubiri muda tu,wanasubiri kile kipindi cha wabukinafaso,waniger,wamali,au hata wakenya na wanaamini kama mambo yataendelea hivi ipo siku yatatokea yale ya Singapore.

VIONGOZI WAKO KIMYA,licha ya yote hayo lakini hakuna kiongozi anaejitokeza na kuwapa faraja wananchi,sio wa upinzani wala aliopo madarakani,watawa hawajali,watu wanasema hawajali kwasababu hayawahusu,wao hawana bajeti ya 1000, dagaa, robo ya unga,mkaa wa mia tatu, wala hawapandi sogea huko, geukia mbele,shikilia bomba, hawaumii kwasbabu hayawagusi haya yanayowagusa wananchi.

viongozi wanautumia upole na uvumilivu wa wananchi kuendelea kuwaumiza,hawafikirii maisha yao,wala ustawi wa vizazi vyao,bali maslahi binafsi,
R
Raia wanawakumbusha watawa kama hawawezi kuwasaidia basi wasiendelee kuwaumiza kwasababu wamechoka.
Tegeta /kariakoo kutoka Tsh 700 hadi 900
 
Back
Top Bottom