Lavalava umeshakuwa msanii mkubwa, hebu acha kuendesha Uber

Lavalava umeshakuwa msanii mkubwa, hebu acha kuendesha Uber

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Hata kama ni utafutaji sio kihivyo,haya mambo mengine tuachieni sisi tusiokuwa na majina mjini,vijana wa Madale mkipiga shoo moja mnavuta milioni kadhaa sasa hizi njaa za elfu 7 mara elfu 4 waachieni wakina Abdu Kiba.
Juzi nilikuwa natoka Posta naelekea external nikaita UBER laulah nikashituka kuja dereva ni mtu ambaye namfahamu,alikuwa Lavalava wa WCB.
Diamond sijui hili unalijua au ni njia fulani ya kuongezea mapato hapo lebo.
Mwanaume kujituma lkn wakuu ni sawa kwa msanii mkubwa kama huyu wa WCB kupiga side hustle ?
 
Kwani c ni kazi kama zengine muhimu hela ww alf7 Adi jioni kapat ngapi
 
Ushafikiria kwanini hamna wasanii makondakta?,kuna brand lazima ilindwe sio kila siku msanii inaonekana onrkana mtaani
Suala la msanii kuwa konda/kutokuwa konda ni utashi wake kila mtu na kile akipendacho.Mbona Kalapina yupo katika movement za madawa ya kulevya? Je ina maana wasanii ambao hawapo katika movement hizo za madawa hawana msaada?
 
Wasanii bongo?

Mkuu hujui tu maisha ya hawa wasanii wetu wa bongo bora ata umpongeze lavalava kama kweli kaendesha hilo Uber kuliko ungesikia kaanza kutumia madawa
Sanaa ya Bongo msidhani ni rahisi na ndio maana watu wapo multitasking. Hemedi PHD alianza kuimba leo Bongo Movie.
 
Back
Top Bottom