Law School kufumbia macho tuhuma zinazowakabili haikubaliki

WASOMI NI VILAZA HUO NDIO UKWELI PIA MMEZOEA KUTOA RUSHWA NA NGONO NA KUNUNUA MITIHANI
LUGHA PIA NI TATIZO KWENU ACHENI KUICHAFUA SHULE
 
Wasomi wetu ni VILAZA
LUGHA ni Tatizo kubwa
 
Mbowe alisingiziwa Ugaudi mbona mliwaachia chadema wenyewe?
Kura mmewapigia CCM ila Chadema wawasemee WASOMI VILAZA NYIE
 
Mmeliwa vichwa mnaanza kulia lia,

Kasapueni, matokeo hayatabadilika.

Hongera LST kwa kuwafyeka hao mavilaza.

Si kila uzi yeyote anaweza ku comment na hasa akiwa hana ufahamu, uelewa au hoja.
 
Mkuu hata cohort ya 31 walifaulu 28 tu kati ya wote kama hivyo hivyo.

Muda wa kuchukua hatua ni sasa.

Penye nia Pana njia.

Yanayotokea LST na kwingine kote yafansnayo na haya hayakubaliki.
-Unataka watunge paper rahisi?
-unataka Roll number za mawakili ziwe nyingi sana?
-tatizo pia vyuo vikuu mnavyosoma elimu kiwango cha chini
 
Wangeifuta tuu wameiga CPA ila kwa kuwa hawajui hesabu masomo ya miandiko mara nyingi ni kuchomekea tu na kujidai ndio wanaweza watu wanatoa CPA kwa kufanya mitihani mara mbili tuu na masomo magumu sembuse huko mnaferishana ili muonekane ni vitu vya maana kweli..
 

Erythrocyte ni bahati mbaya sana vyama vya siasa vimeshindwa kutambua ni wajibu wao kuwatia shime wananchi kudai haki zao bila kujali ni zipi wala maslahi ya moja kwa moja kwao.

Kwenye hili vyama hivi vinapaswa kutambua tatizo hili ndilo lililo kikwazo kikubwa linalopelekea agenda zingine zenye maslahi makubwa ya taifa kukwama pia.
 
-"mnaferishana" au sio?
-kwa hiyo mkuu sheria sio kitu cha maana?
-kwa hiyo masomo ya miandiko ni rahisi?
 
-tatizo linaanzia TCU hawakagui hivi vyuo kikuu vinavyofundisha sheria, na kuhakikisha wanadhibiti Ubora wa elimu, ndio maana Mi-Gpa mikubwa isiyo na tija.
 
-Unataka watunge paper rahisi?
-unataka Roll number za mawakili ziwe nyingi sana?
-tatizo pia vyuo vikuu mnavyosoma elimu kiwango cha chini

  • Unayasoma wapi yenye kutaka paper nyepesi?
  • Nini tatizo la number za mawakili kuwa nyingi kama utahini ni WA haki?
  • elimu vyuo vikuu elimu Iko chini isipokuwa LST?

Hivi ndugu, mada umeisoma? Umetambua kuwa kuna tuhuma ambazo haziwezi kufunikwa tu? Kwamba ingependeza kupata majibu?

Kwamba kutokutoa majibu hakuwezi kuwa option?

Kwanini blah blah? Kwanini hamtoi majibu? Kwani mnataka kuficha nini?
 
-tatizo linaanzia TCU hawakagui hivi vyuo kikuu vinavyofundisha sheria, na kuhakikisha wanadhibiti Ubora wa elimu, ndio maana Mi-Gpa mikubwa isiyo na tija.

Hukusikia mbaazi ikikosa maua husingizia jua? Tuhuma ya rushwa ya ngono IST, uwajibikaji alaumiwe TCU?
 
-"mnaferishana" au sio?
-kwa hiyo mkuu sheria sio kitu cha maana?
-kwa hiyo masomo ya miandiko ni rahisi?
Huko kuna tuhuma za ngono nje nje kwa wadada...mnasoma nini watu wengine washindwe kufanya kwa kiwango hicho mnachoferishana...
 
Hukusikia mbaazi ikikosa jua husingizia jua? Tuhuma ya rushwa ya ngono IST, uwajibikaji alaumiwe TCU?
-kama hizo tuhuma zipo basi ni hatari
-kuna rushwa ya ngono halafu bado wanafeli, au unatoa rushwa ya ngono halafu hufaulishwi i.e hupasishwi?
 
Huko kuna tuhuma za ngono nje nje kwa wadada...mnasoma nini watu wengine washindwe kufanya kwa kiwango hicho mnachoferishana...
-kiswahili chenyewe hujui kuferishana eti
-hapo ni Law School sehemu ambayo wanawaandaa Mawakili Wasomi sio undergraduate kwenye kupeana First Class
 
-kiswahili chenyewe hujui kuferishana eti
-hapo ni Law School sehemu ambayo wanawaandaa Mawakili Wasomi sio undergraduate kwenye kupeana First Class

Tofautisha typo mistakes na hoja ndugu.

Kwanini hamjibu hoja? Yako wapi majibu ya tuhuma zinazowakabili?
 
-tatizo lipo ndio kwenye roll number kwa sababu sio kila mtu ni lazima awe Wakili pengine Law School wame set standard za kutunga mitihani migumu ili kuwapunguza
-ni kweli elimu ya Vyuo vikuu vingi vya sheria iko chini except Udsm,Mzumbe main campus hivyo vyuo vina LLB za maana siyo kama KIU,and the like wakifika Law school pale ni mkazo paper ngumu.
 
Tofautisha typo mistakes na hoja ndugu.

Kwanini hamjibu hoja? Yako wapi majibu ya tuhuma zinazowakabili?
-huyo jamaa hajui tofauti ya L na R
-miongoni mwa majibu mlishapewa na pasco kuwa baadhi ya vyuo vikuu vya sheria vinatoa chini ya kiwango hizo LL.B
 
-kiswahili chenyewe hujui kuferishana eti
-hapo ni Law School sehemu ambayo wanawaandaa Mawakili Wasomi sio undergraduate kwenye kupeana First Class
Mkuu kiswahili kweli sijui ila hoja kuu ni rushwa ya ngono kwa wanawake mimi ni mtaalamu wa hesabu kiswahili sijui kweli ila hizo hesabu watu wanafanya vizuri kwa level zote iweje hayo masomo yenu ya kawaida tuu...ina maana wewe uliefanya vizuri umewazidi nini hao wengine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…