All that bile, toxicity and aggressive mendacity, kumbe nyuma ya pazia unanikubali kiaina na kunifanyia hadi nukuu. I must admit I'm really flattered.
Bile, toxicity, aggressiveness level ya nyati aliyejeruwa naiona kwako ndugu.
Ushahidi kamili kuwa nyani uoneje kund* lako?
Kwamba kumbe umerejea huku Kwa sababu ya uzi huu tu?
Kujaribu kuwazodoa kina Mandela, Nyerere, Lissu, nk ni kujidhalilisha!
Ninazo nyuzi nyingi ungeenda na za kwa wapalestina huko. Hatujawahi kupoa!
Mimi hadi nilisahau huu uzi, ila kwasaabu umeonesha kunifuatilia sana, ikabidi nitafute walau nyuzi zako mbili-tatu. Pole sana kijana.
Nisiache kukuwekea hata niliyowahi kukuandikia kwenye uzi huo, kwa mara nyingine ikikupendeza:
"Ukimaliza kupambana vilivyo na ikikupendeza tuwekee saaa hiyo CV tuone ilichonacho.
Ikituvutia hatuja wahi kuacha kumpa kila mja maua yake hata kama waliojidhania majogoo wangenuna au kukasiirika hadi wakapasuka!
Fanya mavitu ndugu. Hayo hayajifichi mbona tutayaona tu? Huko ndiko wengine huita magomani.
Tuonane kwenye magoma ndugu. Chuki za nini?"
Kwamba makasiriko haya ni kuwa Lissu katajwa mule, ama kweli umekereka!
Pole sana ndugu.
Vipi mitihani yako ya LST umeshafaulu ???
Nilipoandika kuhusu LST wapumbavu waliniita na wengine wao waliniuliza kama nimefeli.
Nilipoandika kuhusu panya road wapumbavu waliniita na wengine wao waliniuliza kama ni panya road.
Nilipoandika kuhusu chadema wapumbavu waliniita na wengine wao waliniulizak ama ni bavicha.
Nilipoandika kuhusu machinga wapumbavu waliniita na wengine wao waliniuliza kama ni machinga.
wapumbavu waliniita na wengine wao waliniuliza kama ni mwislam nilipoandika kuhusu Palestina.
Nina ka list ka wapumbavu wa namna hiyo ambao Kila wanapokereka na nilichoandika hunihusisha kipumbavu na nilichoandika.
Hapa umeongezeka humo na wewe.
Kimsingi kwenye ka list hako huwa hatuendelei Tena kujibizana nao. Baada ya kuwapa vidonge vyao.
Kwani kumbe tofauti yetu nao itakuwa ipi.
Zaidi sana haka ka kupapasa kuulizia taarifa binafsi za watu:
Kwani wewe ni katika wale malaika wasaka watu mitandaoni ndugu.
Tunaambiwa kwa malaika hao kila input kwenye saka saka zao zina umuhimu
Hadi hapa sina haja kweli ya kuendelea kuhangaika nawe.
Message sent, and delivered.
Kama Lissu, Nyerere au Mandela kwako ni vidampa, kwa uzi huo.
Kwetu ni majembe!
Ninakazia:
Utake, usitake ila habari ndiyo hiyo