Law School kufumbia macho tuhuma zinazowakabili haikubaliki

Law School kufumbia macho tuhuma zinazowakabili haikubaliki

-hapa umeonyesha ww ndiye mwenye ufinyu wa akili, nimekuuliza swali badala ya kutoa majibu, unaandika maelezo marefu yasiyo na maana, na kwa style hiyo ya ujibuji maswali unadhani kama mimi ningekuwa Mwalimu ni supp supp supp
Unanishangaa sababu nimeenda mbele ya upeo wako.
 
Unanishangaa sababu nimeenda mbele ya upeo wako.
Wengine ni wa kuachwa hivyo hivyo walivyo na kujiendea zako. Si ajabu ukirudi unawakuta pale pale, hawasogei hadi wasukumwe...afadhali hata kiwete anatambua uwepo wa mikono pale miguu inapokufa ganzi.

Hawa ndio chanzo cha uongozi mbovu nchini, wanaogopa mabadiliko kama mbwa anavyomuogopa chatu hadi kusahau akitoka mbio, chatu hamkuti. Timu yako inafungwa kila siku umemng'ang'ania kocha yule yule.
 
Unapoteza muda wako...
Ulianza na Panyaroad ukapuuzwa sasa umekuja na LST kisa wajinga wenzako wamefeli
99.9999999999999999999999999999999% ya watanzania ni wajinga, you might be one of them! Hii ni crisis, haiwezekani kati ya 600, 26 ndio wana akili, never! There is something wrong somewhere within the teaching staff! If it were me nawaondoa the so-called lecturer naweka wengine....!
 
-nakijikita kwenye hoja hiyo ya 5M inakuwaje nahitaji detailed explanation
-

In brief kuelekea matokeo kuwa hadharani ni kawaida kwa website ya matokeo chuoni hapo kuwa inaccessible.

Hapo ndipo matokeo ya awaye yote aliyefaulu yanaweza kufanywa kuwa ya yeyote aliye feli, vigezo na masharti kuzingatiwa (yaani rushwa).

Hata hivyo wewe unahitaji detailed explanations, wakati sisi tunahitaji majibu ya tuhuma toka kwa wahusika?

Kwani kuna ulipoona wenyewe wakihitaji detailed explanations? Au wewe ni mhusika pale na hapa ndipo upo rasmi ukiulizia?

Hivi mnatuona je ndugu?
 
-inategemea na maandalizi, Jibu ni inategemea unasoma Level gani, kwa Law School pale ni shule shule haswa!
Mkuu uko huru kuchangia mada ila sio vyema kujibu mambo usiyoyafahamu. Umesema hujasoma LST bali aliesoma ni mdogo wako, sasa unajuaje kuwa pale ni shule haswa? Kama ni mwalimu au mnufaika wa ukandamizaji wa hapo LST, just declare your interest.
 
Mkuu uko huru kuchangia mada ila sio vyema kujibu mambo usiyoyafahamu. Umesema hujasoma LST bali aliesoma ni mdogo wako, sasa unajuaje kuwa pale ni shule haswa? Kama ni mwalimu au mnufaika wa ukandamizaji wa hapo LST, just declare your interest.

Huyo ndugu inaonekana ni mnufaika wa status quo LST. Ya mdogo wake msoma pale ni manjonjo tu.
 
Unafeli mtihani unakuja kutafuta huruma jamiiforum?

Siku hizi kumekuwa na wanasheria vilaza sana acha lipite chujio
 
99.9999999999999999999999999999999% ya watanzania ni wajinga, you might be one of them! Hii ni crisis, haiwezekani kati ya 600, 26 ndio wana akili, never! There is something wrong somewhere within the teaching staff! If it were me nawaondoa the so-called lecturer naweka wengine....!

Wasiokuwa na capacity ya kujadili hoja zaidi ya hoja za kina Mandonga, they belong to the ignore list. Haipo hata sababu ya kupoteza nao muda.
 
All that bile, toxicity and aggressive mendacity, kumbe nyuma ya pazia unanikubali kiaina na kunifanyia hadi nukuu. I must admit I'm really flattered.

Bile, toxicity, aggressiveness level ya nyati aliyejeruwa naiona kwako ndugu.

Ushahidi kamili kuwa nyani uoneje kund* lako?

Kwamba kumbe umerejea huku Kwa sababu ya uzi huu tu?

Kujaribu kuwazodoa kina Mandela, Nyerere, Lissu, nk ni kujidhalilisha!

Ninazo nyuzi nyingi ungeenda na za kwa wapalestina huko. Hatujawahi kupoa!


Mimi hadi nilisahau huu uzi, ila kwasaabu umeonesha kunifuatilia sana, ikabidi nitafute walau nyuzi zako mbili-tatu. Pole sana kijana.

Nisiache kukuwekea hata niliyowahi kukuandikia kwenye uzi huo, kwa mara nyingine ikikupendeza:

"Ukimaliza kupambana vilivyo na ikikupendeza tuwekee saaa hiyo CV tuone ilichonacho.

Ikituvutia hatuja wahi kuacha kumpa kila mja maua yake hata kama waliojidhania majogoo wangenuna au kukasiirika hadi wakapasuka!

Fanya mavitu ndugu. Hayo hayajifichi mbona tutayaona tu? Huko ndiko wengine huita magomani.


Tuonane kwenye magoma ndugu. Chuki za nini?"

Kwamba makasiriko haya ni kuwa Lissu katajwa mule, ama kweli umekereka!

Pole sana ndugu.

Vipi mitihani yako ya LST umeshafaulu ???

Nilipoandika kuhusu LST wapumbavu waliniita na wengine wao waliniuliza kama nimefeli.

Nilipoandika kuhusu panya road wapumbavu waliniita na wengine wao waliniuliza kama ni panya road.

Nilipoandika kuhusu chadema wapumbavu waliniita na wengine wao waliniulizak ama ni bavicha.

Nilipoandika kuhusu machinga wapumbavu waliniita na wengine wao waliniuliza kama ni machinga.

wapumbavu waliniita na wengine wao waliniuliza kama ni mwislam nilipoandika kuhusu Palestina.

Nina ka list ka wapumbavu wa namna hiyo ambao Kila wanapokereka na nilichoandika hunihusisha kipumbavu na nilichoandika.

Hapa umeongezeka humo na wewe.

Kimsingi kwenye ka list hako huwa hatuendelei Tena kujibizana nao. Baada ya kuwapa vidonge vyao.

Kwani kumbe tofauti yetu nao itakuwa ipi.

Zaidi sana haka ka kupapasa kuulizia taarifa binafsi za watu:

Kwani wewe ni katika wale malaika wasaka watu mitandaoni ndugu.

Tunaambiwa kwa malaika hao kila input kwenye saka saka zao zina umuhimu

Hadi hapa sina haja kweli ya kuendelea kuhangaika nawe.

Message sent, and delivered.

Kama Lissu, Nyerere au Mandela kwako ni vidampa, kwa uzi huo.

Kwetu ni majembe!

Ninakazia:

Utake, usitake ila habari ndiyo hiyo
 
Back
Top Bottom