BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 3,353
- 5,800
tatizo pia vyuo vyao vya undergraduate vinawadanganya na zile Uppersecond na fest classVijana someni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tatizo pia vyuo vyao vya undergraduate vinawadanganya na zile Uppersecond na fest classVijana someni.
-kwa hiyo sheria ni masomo ya kawaida? umewahi kusoma wapi sheria? halafu tena unakiri kiswahili hujui halafu unadharau masomo ya miandiko?Mkuu kiswahili kweli sijui ila hoja kuu ni rushwa ya ngono kwa wanawake mimi ni mtaalamu wa hesabu kiswahili sijui kweli ila hizo hesabu watu wanafanya vizuri kwa level zote iweje hayo masomo yenu ya kawaida tuu...ina maana wewe uliefanya vizuri umewazidi nini hao wengine?
-kama hizo tuhuma zipo basi ni hatari
-kuna rushwa ya ngono halafu bado wanafeli, au unatoa rushwa ya ngono halafu hufaulishwi i.e hupasishwi?
-huyo jamaa hajui tofauti ya L na R
-miongoni mwa majibu mlishapewa na pasco kuwa baadhi ya vyuo vikuu vya sheria vinatoa chini ya kiwango hizo LL.B
Mitihani ni ya kawaida inategemeana na maandalizi yako...mimi niliwaaminisha watoto kuwa Hesabu ni kitu kirahisi kuliko masomo yote ni somo lililokufa yaani niliyosoma mimi na ninyi mtasoma hayo hayo kanuni ni zile zile hakuna mabadiliko na wao kweli wanaamini ni somo jepesi wanafauru kuliko masomo mengine mkiaminishwa kitu kigumu basi mtaendelea kuferi na kuamini ni kigumu bila hata ya kuwa na maandalizi na uoga...-kwa hiyo sheria ni masomo ya kawaida? umewahi kusoma wapi sheria? halafu tena unakiri kiswahili hujui halafu unadharau masomo ya miandiko?
-kama masomo ya kawaida, je mitihani pia ni ya kawaida?
-nakijikita kwenye hoja hiyo ya 5M inakuwaje nahitaji detailed explanationNiseme hadi sasa tuhuma zinazopelekea malalamiko huzijui?
Kama ndivyo, basi ninazi summarize hapa tena kwa ajili yako. Majibu yako tafadhali ikikupendeza:
1. Kutokueleweka kwa mchanganuo wa matokeo na au status ya matokeo ya mwanafunzi.
2. Pana "matokeo hubadilika" kwenye site ya matokeo (yaani siku ya kwanza mtu aliona hana F kwenye component fulani na siku iliyofuata akakuta kuna F).
"Website ya matokeo kuwa inaccessible siku za matokeo kutoka huwa siyo bahati mbaya, bali ni katika kufanikisha nia hii ovu inayojadiliwa hapa."
Rushwa (Ngono na au 5m) hapa ni zinahusika hapa moja kwa moja.
3. Mengine ni changamoto batili zinazopelekea matokeo tunayoyaona na yanayolalamikiwa.
Hapa kuna rushwa, lack of transparency, victimization, udhulumati, uharamu, nk kama yalivyotolewa kwenye orodha ya tuhuma.
Karibu.
-inategemea na maandalizi, Jibu ni inategemea unasoma Level gani, kwa Law School pale ni shule shule haswa!Mitihani ni ya kawaida inategemeana na maandalizi yako...mimi niliwaaminisha watoto kuwa Hesabu ni kitu kirahisi kuliko masomo yote ni somo lililokufa yaani niliyosoma mimi na ninyi mtasoma hayo hayo kanuni ni zile zile hakuna mabadiliko na wao kweli wanaamini ni somo jepesi wanafauru kuliko masomo mengine mkiaminishwa kitu kigumu basi mtaendelea kuferi na kuamini ni kigumu bila hata ya kuwa na maandalizi na uoga...
Mkuu nazungumzia level zote mimi wadogo niliwaandaa CPA wasome muda mfupi tofauti na tulivyokomaa sisi walifanikiwa shida umeaminishwa shule ni kitu kigumu sana sio hivyo mkuu ukiwa na maandalizi mazuri shule ni kawaida sana..mtu akiwa na matokeo mazuri huku chini ndio msingi mzuri wa huko mbele...-inategemea na maandalizi, Jibu ni inategemea unasoma Level gani, kwa Law School pale ni shule shule haswa!
Hongereni sana LST mnafanya kazi nzuri.
Ongezeni jitihada.
Tupo nyuma yenu.
Mmeliwa vichwa mnaanza kulia lia,
Kasapueni, matokeo hayatabadilika.
Hongera LST kwa kuwafyeka hao mavilaza.
WASOMI NI VILAZA HUO NDIO UKWELI PIA MMEZOEA KUTOA RUSHWA NA NGONO NA KUNUNUA MITIHANI
LUGHA PIA NI TATIZO KWENU ACHENI KUICHAFUA SHULE
Ndugu zangu wakati mwingine tuwe serious kidogo tunapojadili mambo kama haya. Kama huna cha kuchangia ni bora ukae kimya kuficha ujinga wako.-Unataka watunge paper rahisi?
-unataka Roll number za mawakili ziwe nyingi sana?
-tatizo pia vyuo vikuu mnavyosoma elimu kiwango cha chini
-umewahi kusoma law school?Ndugu zangu wakati mwingine tuwe serious kidogo tunapojadili mambo kama haya. Kama huna cha kuchangia ni bora ukae kimya kuficha ujinga wako.
Huu upuuzi mliochangia hapo juu usipewe nafasi humu JF, this is a forum for Great Thinkers na kama unaona mjadala unakuzidi kimo, kaa kimya.
Hebu fikiria...katika kila wananfunzi 100, wanaofaulu ni wawili tu. Chuo kinajiteteaje hapa? Hili halikubaliki pahala popote pale isipokuwa labda Tanzania.
Halafu Chuo hicho kinaamuaje kukaa kimya tuhuma nzito kama hizo zinapowakabili? Ni uoga, ujasiri au kiburi tu kama inavyoanza kuzoeleka hapa nchini?
Katika wanafunzi zaidi ya 600 tena wahitimu wa Vyuo vikuu hata kama wapo ambao hawakuhudhuria masomo kabisa, asilimia 98% wasifaulu! Chuo hakigutuki?
Au kuna njama za kuviponda vyuo hivyo na kuonesha kwamba havifai? Kwamba pamoja na vyenyewe kuitwa vyuo vikuu havifikii kiwango kama cha LST?
Once An Accident, Twice A Coincidence, Three Times A Pattern, A trend! Come on Law School of Tanzania , do your homework, find the cause of your failures.
Or to quote Ian Flemming, "Once is happenstance. Twice is coincidence. Three times is enemy action.” Correlation cannot be A cause, and neither should coincidence.
Hii comment inaonesha ufinyu wa akili yako, kwamba inawezekana unaamini kama mtu hajapita Law School hawezi kuchangia chochote hata kwa kuangalia hiyo asilimia ndogo ya ufaulu iliyopo!.-umewahi kusoma law school?
-hapa umeonyesha ww ndiye mwenye ufinyu wa akili, nimekuuliza swali badala ya kutoa majibu, unaandika maelezo marefu yasiyo na maana, na kwa style hiyo ya ujibuji maswali unadhani kama mimi ningekuwa Mwalimu ni supp supp suppHii comment inaonesha ufinyu wa akili yako, kwamba inawezekana unaamini kama mtu hajapita Law School hawezi kuchangia chochote hata kwa kuangalia hiyo asilimia ndogo ya ufaulu iliyopo!.
Wewe unadhani kufeli wengi ni sifa, unaona wengi wakiwa mawakili fani itakosa soko, kama hiyo ndio sababu, basi fungeni hiyo shule ya sheria msiendelee kuibia watu ada zao.
Ila ipo hivi , Kama ni mwalim alafu unakua na matokeo ya namna hii jua pia hu kilaza pia au imefika pale kimchongo that's unawakazia wengine,Mmeliwa vichwa mnaanza kulia lia,
Kasapueni, matokeo hayatabadilika.
Hongera LST kwa kuwafyeka hao mavilaza.
Ni visingizio tu, kwani unataka kusema Mawakili walioko sokoni hawajapitia Mambo tajwa hapo juu, wengine tunajua tulisoma nao nyuma na uwezo tunaujua leo mkikutana anakwambia Mie wakali, unashangaa,WASOMI NI VILAZA HUO NDIO UKWELI PIA MMEZOEA KUTOA RUSHWA NA NGONO NA KUNUNUA MITIHANI
LUGHA PIA NI TATIZO KWENU ACHENI KUICHAFUA SHULE
Kwahiyo wewe ndio una cha kuandika??Ndugu zangu wakati mwingine tuwe serious kidogo tunapojadili mambo kama haya. Kama huna cha kuchangia ni bora ukae kimya kuficha ujinga wako.
Huu upuuzi mliochangia hapo juu usipewe nafasi humu JF, this is a forum for Great Thinkers na kama unaona mjadala unakuzidi kimo, kaa kimya.
Hebu fikiria...katika kila wananfunzi 100, wanaofaulu ni wawili tu. Chuo kinajiteteaje hapa? Hili halikubaliki pahala popote pale isipokuwa labda Tanzania.
Halafu Chuo hicho kinaamuaje kukaa kimya tuhuma nzito kama hizo zinapowakabili? Ni uoga, ujasiri au kiburi tu kama inavyoanza kuzoeleka hapa nchini?
Katika wanafunzi zaidi ya 600 tena wahitimu wa Vyuo vikuu hata kama wapo ambao hawakuhudhuria masomo kabisa, asilimia 98% wasifaulu! Chuo hakigutuki?
Au kuna njama za kuviponda vyuo hivyo na kuonesha kwamba havifai? Kwamba pamoja na vyenyewe kuitwa vyuo vikuu havifikii kiwango kama cha LST?
Once An Accident, Twice A Coincidence, Three Times A Pattern, A trend! Come on Law School of Tanzania , do your homework, find the cause of your failures.
Or to quote Ian Flemming, "Once is happenstance. Twice is coincidence. Three times is enemy action.” Correlation cannot be A cause, and neither should coincidence.
SwadaktaNdugu zangu wakati mwingine tuwe serious kidogo tunapojadili mambo kama haya. Kama huna cha kuchangia ni bora ukae kimya kuficha ujinga wako.
Huu upuuzi mliochangia hapo juu usipewe nafasi humu JF, this is a forum for Great Thinkers na kama unaona mjadala unakuzidi kimo, kaa kimya.
Hebu fikiria...katika kila wananfunzi 100, wanaofaulu ni wawili tu. Chuo kinajiteteaje hapa? Hili halikubaliki pahala popote pale isipokuwa labda Tanzania.
Halafu Chuo hicho kinaamuaje kukaa kimya tuhuma nzito kama hizo zinapowakabili? Ni uoga, ujasiri au kiburi tu kama inavyoanza kuzoeleka hapa nchini?
Katika wanafunzi zaidi ya 600 tena wahitimu wa Vyuo vikuu hata kama wapo ambao hawakuhudhuria masomo kabisa, asilimia 98% wasifaulu! Chuo hakigutuki?
Au kuna njama za kuviponda vyuo hivyo na kuonesha kwamba havifai? Kwamba pamoja na vyenyewe kuitwa vyuo vikuu havifikii kiwango kama cha LST?
Once An Accident, Twice A Coincidence, Three Times A Pattern, A trend! Come on Law School of Tanzania , do your homework, find the cause of your failures.
Or to quote Ian Flemming, "Once is happenstance. Twice is coincidence. Three times is enemy action.” Correlation cannot be A cause, and neither should coincidence.