[emoji120][emoji120][emoji120]Umeandika vyema
Kwa tunaomjua Masha taaaangu enzI TULIJUA siasa itamponza. Alipoanza kuhama hama kama ndege aliyekosa kiota vile tu jina lake lilikatwa katika tiketi ya kuwania urais.
Masha ni opportunist if not Selfish
Yametimia
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]ni uongo, uzushi, na ndimi nyingi hakika kuna ukweli ndani yake mfano tosha ni hoja ya asilimia 25, big up on it nakupa good critical na like za kutosha.
Ulipoweka hii thread hukutegemea Hilo? Kwasababu hata thread yako ilivyokaa imemlenga Masha personally ndio maana watu wanamuongelea kwa hisia zao.Binadamu huwawezi kaka, pengine hata wewe unang'ong'wa.... Kuna baadhi hapa wanamkandia but they are so broke
Jr[emoji769]
Mwaka 2005 wakati anafungua kampeni za kugombea ubunge kule Nyamagana nilikuwepo........
Akapata ubunge, akapewa na uwaziri wa wizara muhimu sana nchini.
Wanasiasa bwana!"Masha amenunua ndege kama ndege yaani Aeroplane au ndege kware" - King Joseph Kasheku Msukuma
Binadamu huwawezi kaka, pengine hata wewe unang'ong'wa.... Kuna baadhi hapa wanamkandia but they are so broke
Jr[emoji769]
Huyu dogo alikuwa mpuuzi sana enzi za Kikwete, yaani kipindi alipokuwa waziri. Alitembea sana na wake za watu tena kwa nguvu kutumia madaraka yake. Akafungwe tu, nina ndugu zangu jela wanamsubiri kumvua chupi kwani nilishawapa habari zake. Wapuuzi kama hawa ndiyo wanaopiga kelele kuwa nchi imeharibika wakati wao ndiyo walikuwa wanatuibia na kutufanyia maovu.