Uchaguzi 2020 Lazaro Mambosasa ametoa tamko kwa wanaopanga kupinga matokeo ya Urais

Msamee bure.
 
Nw it’s official-Marekani inaweka sanctions kwa viongoz nchini.Madhara yake kiuchumi ni jambo halisia
Vikwazo vyao havina madhara. Magufuli ni jembe la mbegu, atagawa hela kwa kila aliyempigia kura
 
Vikwazo vyao havina madhara. Magufuli ni jembe la mbegu, atagawa hela kwa kila aliyempigia kura
Watuwekee vikwazo vya vidonge vya ukimwi tu tuone wanawake wanavyopukutika maana serikali ya ccm imeshindwa kutoa dawa za maralia bure vya aids wataweza?
 
We mpuuzi nini
 
Watuwekee vikwazo vya vidonge vya ukimwi tu tuone wanawake wanavyopukutika maana serikali ya ccm imeshindwa kutoa dawa za maralia bure vya aids wataweza?
Magufuli anavyopenda wanawake weupe, unadhani atashindwa kuanzisha kiwanda cha kutengeneza Arv hapa hapa Chato ?
 
Ha ha ha maalim alijaribu hizo hatua kumi dah, alichokipata hana hamu babu wa watu.
Maalim hata kusimulia anashindwa confidence zimemtoka....vijana tukatae kutumika tukifanya kazi kwa bidii tutafanikiwa muhimu ni PUMZI kama haufanyi jinai nani atakusumbua?

Hongera Magufuli, Hongera Mwinyi ,Hongera CCM
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…