Kibaraka amekimbia ameonekana Namanga akivuka mpaka!Mambo yanaanza kuwa mambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibaraka amekimbia ameonekana Namanga akivuka mpaka!Mambo yanaanza kuwa mambo
Msamee bure.Well said!
Inashangaz huend ht hajafikia huo ukuruta wenyw pngne anasotekea kwny uzalendo anakuja kutema cheche ziczo na mantiki jukwaani.
Hakuna anayetamani vurugu wala kuona jamaa ndugu na marafik wakisota in the name of politics lkn sababu ya kutisha nakujichetua watu wetu wamo cjaiona ni ushamba ulopindukia ht km ni police hajaiva arejee kwny msoto ajifunze maadil.
Vikwazo vyao havina madhara. Magufuli ni jembe la mbegu, atagawa hela kwa kila aliyempigia kuraNw it’s official-Marekani inaweka sanctions kwa viongoz nchini.Madhara yake kiuchumi ni jambo halisia
Watuwekee vikwazo vya vidonge vya ukimwi tu tuone wanawake wanavyopukutika maana serikali ya ccm imeshindwa kutoa dawa za maralia bure vya aids wataweza?Vikwazo vyao havina madhara. Magufuli ni jembe la mbegu, atagawa hela kwa kila aliyempigia kura
Nyumba ya ummy mwalimu inawaka moto muda huu.Viongozi wa CHADEMA na ACT kamwe wasilegeze kamba. Kukabiliana na mhuni na wewe nenda kihuni
TangaViongozi wa CHADEMA na ACT kamwe wasilegeze kamba. Kukabiliana na mhuni na wewe nenda kihuni
We mpuuzi niniTunafuatilia Mienendo yenu. Madhara ya kuandamana yatakuwa makubwa kuliko madhara ya kutulia nyumbani.
Uchaguzi umeisha, Rais JPM aungwe mkono , siasa zimeshaisha. Mtatolewa kafara na hakuna Human Rights yoyote itakayoingilia mzozo, acheni hayo mambo.
Miongoni mwa hao mnaopanga nao kuandamana wapo watu wetu hivyo itakuwa ni rahisi sana kuwatia nguvuni kama wale vijana wa IT waliokuwa wanajaribu kuvuruga mifumo ya matokeo mwaka 2015 some of them were our members. So watch out !
Only to advise!
SafiNyumba ya ummy mwalimu inawaka moto muda huu.
Magufuli anavyopenda wanawake weupe, unadhani atashindwa kuanzisha kiwanda cha kutengeneza Arv hapa hapa Chato ?Watuwekee vikwazo vya vidonge vya ukimwi tu tuone wanawake wanavyopukutika maana serikali ya ccm imeshindwa kutoa dawa za maralia bure vya aids wataweza?
Hii ni habari njema kuisoma tangu nimeamka asubuhi ya leo. Japo ningependa achomwe mwenye nyumbaNyumba ya ummy mwalimu inawaka moto muda huu.
Na sisi wananchi wapenzi wa ccm tunajipanga mkiingia barabarani Na sisi tutasaidiana Na vyombo vya dola kuwakabili wajinga nyinyiMambo yanaanza kuwa mambo
Wajinga tu wanatumiwaNendeni tu si mabeberu watawatibua anzeni hata sasa hivi
Wakikamatwa wanavyokuwa wadogo sasa kama piritonKwenye huu utawala hadi wanawake wamebebeshwa kura za wizi
View attachment 1616087
Maalim hata kusimulia anashindwa confidence zimemtoka....vijana tukatae kutumika tukifanya kazi kwa bidii tutafanikiwa muhimu ni PUMZI kama haufanyi jinai nani atakusumbua?Ha ha ha maalim alijaribu hizo hatua kumi dah, alichokipata hana hamu babu wa watu.