Kumbe Mbowe alikula milions kadhaa za Lowassa, na kumbe ndio sababu hatya kumnadi Lissu alishindwa kwasababu ilikuwa sawa na kujitolea kanisani?Inaonekana hujawahi kupitia nyuzi zangu vizuri, hilo la kwamba Lowassa alihonga ili apewe nafasi ya kugombea urais halina mjadala, na nimekuwa nikilisema mara kibao. Sina uhakika na kiwango, ila alihonga...
Kabisa mkuu!Hahahaa ajabu kweli!
Hata hayajui ‘adui’ yao nani!....
Alipokuwa hovyo ulikuwa unamfanyaje?Alikuwa hovyo tupu afadhali ameondoka mapema.
Walikuwa hawampendi?Inaonekana hujawahi kupitia nyuzi zangu vizuri, hilo la kwamba Lowassa alihonga ili apewe nafasi ya kugombea urais halina mjadala, na nimekuwa nikilisema mara kibao. Sina uhakika na kiwango, ila alihonga.
Na Nyalandu pia alihonga ili apate nafasi, bahati mbaya hakuwa na mvuto kwa wanacdm, na tulikuwa tunamponda waziwazi na nyuzi zetu Zipo humu humu jukwaani. Yeye kurudi ccm ni sawa na kuvuja kwa pakacha.
Hahahahaaaaaa.....[emoji23][emoji23][emoji23]Tuwazoee tu.
Sasa hivi wameungana nasi kumsifu Samia eti ili kumkomesha marehemu.
Tehteh😅,mbona husemi huyu naye kanunuliwa na polepole🤣CHADEMA kunahitaji wanasiasa wapambanaji na sio watafuta fursa.
Upinzani upi?!😅,upinzani ulishaondoka na akina Dr. Slaa,waliobaki ni wafaidika na ruzuku, hakuna cha zaidi.Kuwa upinzani haihitaji roho ya kizembezembe, kuwa upinzani lazima uwe umesimama madhubuti .
Alihifadhiwa tuAlipokuwa hovyo ulikuwa unamfanyaje?
Mimi najiuliza,haya mapambio wanayomyomuimbia mama na kumtukana JPM,inamaana 2025 watasimama na mama?Wataanza kusema bora magufuli, laana ya kumtukana marehemu ita yatafuna mbaka yatubu.
Mkuu, hata mimi nimeshindwa kuwaelewa wanasiasa wetu. Hawana utofauti kati ya wasomi na ambao sio wasomi, halikadharika na vyama navyo havinautofauti kwamba hiki ni kikongwe na hiki ni kichanga kwa maana kwamba kikongwe kionyeshe udhabiti wa kusimamia.Upinzani utakuwa na maana pale tutapata katiba mpya, reform ya sheria zinazohusiana na siasa na chaguzi, watu kuwa na vipato binafsi huru na upinzani utakapoacha kuchukua makapi.
Si umesema aliwadhibiti makanjanja au siyo wewe?Hakuna niliposema "magufuli anadhibiti wezi". Nionyeshe tuendelee.
yaani hata hujui basi umechanganyikiwa na nyarandu kuwahamaLini aliwekwa kuwa mgombea urais?
kwani mkuu unaposema maendeleo tutachelewa sana uliambiwa kuwa maendeleo yapo CHADEMA? umefeli sana CCM baba laoMkuu, hata mimi nimeshindwa kuwaelewa wanasiasa wetu. Hawana utofauti kati ya wasomi na ambao sio wasomi, halikadharika na vyama navyo havinautofauti kwamba hiki ni kikongwe na hiki ni kichanga kwa maana kwamba kikongwe kionyeshe udhabiti wa kusimamia...
Mimi najiuliza,haya mapambio wanayomyomuimbia mama na kumtukana JPM,inamaana 2025 watasimama na mama?
Kama hawatasimama naye,watabadili upepo kuelekea wapi?
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
KwakweliNyumbu hao [emoji1787][emoji1787][emoji1787]!
Halafu hivi bado tu hujagundua kwamba hata hao nyumbu ni wapenzi wa CCM?....
Umeishia kusoma hapo au umesoma comment yote?