Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Lazaro Nyalandu alipandisha ndege kwenda ughaibuni hakupandisha ?Vipi wewe unaonaje?
Ni mwizi au si mwizi?
Na ndiyo kilichomuondoa CCM, sasa dhalimu hayupo tena CCM na duniani anayo kila sababu ya kurudi CCM.Si mlisema Nyarandu hataki kumlamba Magufuli viatu?
Mafisadi yanazidi kurejea nyumbani, baada ya kuona nafasi ya kupiga nje ya genge lao la ccm ni ngumu.Siyo wa kumuamini, huenda anamission fulani hivi, wanatakiwa kumuangalia kwa jicho la ziada. Huyo fisadi siyo wa kumuamini hata kidogo.
Huyo ashawakuwa compromised
Fact.Mwizi karudi baada ya kuona mlinzi kaondoka.
Nyalandu aliwahi kuwa "mtia" wa kugombea urais kupitia Uchaguzi Mkuu 2020 kupitia CHADEMA.
Usiseme alinyimwa! Bali alishindwa na Lisu kwenye kura za maoni.Akanyimwa kugombea urais maana ni tapeli kama lile zee Lowassa.
Pumba zinajitenga na mchele siku zoteWakachukua hatua gani?
Tujikite kuimarisha uchumi wa familia zetu tuachane na hawa waganga njaaWatanzani tunajifunza nini kwa wanasiasa kama hawa?
Kuna furaha kubwa mbinguni mwenye dhambi mmoja akitubu!Mbona una haraka ya kupost hata mtu hajamaliza kuongea daaah
Kabisa mkuu Nyarandu sasa atakomaLazaro Nyalandu alipandisha ndege kwenda ughaibuni hakupandisha ?
Sasa ni zamu ya Lazaro kupondwa na CDM na upinzani kwa ujumla na kupata utetezi kwa vijana wa CCM
KUSIFU ,KUSHFU kiongozi kisa hayupo upande wako siyo afya kabisa mtu apewe sifa zake kwa kuzingatia ukweli bila itikadi hii itasaidia vinginevyo vijana wafuata upepo watakimbia mbele na kurudi nyuma sanaaa
Mimi naendelea kusema mchafu ni mchafu na msafi ni msafi haijalishi yupo chama gani
Lazaro Nyalandu wa Chadema amerejea CCM kupitia mkutano mkuu wa CCM leo jijini Dodoma.
Nyalandu aliyekuwa mjumbe wa kamati kuu ya Chadema amesema walikuwa wamechukuliwa na walilazimishwa kumwimbia bwana lakini wao pamoja na mzee Lowassa, Sumaye na Dr Slaa wamegoma kuimba kwani bwana yuko CCM peke yake.
Nyalandu ameiomba radhi CCM na amewashukuru kwa kumpokea tena.
Kadhalika mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Lindi Dr Suleiman Methew naye amerejea CCM alikokuzwa kisiasa.
Kazi Iendelee!
Lazaro Nyalandu wa Chadema amerejea CCM kupitia mkutano mkuu wa CCM leo jijini Dodoma.
Nyalandu aliyekuwa mjumbe wa kamati kuu ya Chadema amesema walikuwa wamechukuliwa na walilazimishwa kumwimbia bwana lakini wao pamoja na mzee Lowassa, Sumaye na Dr Slaa wamegoma kuimba kwani bwana yuko CCM peke yake.
Nyalandu ameiomba radhi CCM na amewashukuru kwa kumpokea tena.
Kadhalika mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Lindi Dr Suleiman Methew naye amerejea CCM alikokuzwa kisiasa.
Kazi Iendelee!
Vipi huko kwa machadema ameacha nini sasa?Na ndiyo kilichomuondoa CCM, sasa dhalimu hayupo tena CCM na duniani anayo kila sababu ya kurudi CCM.
Machadema yatasema amenunuliwa.Ndivyo ninavyosikiliza hapa nikiwa Live kutoka Dodoma.
===
Lazaro Nyalandu amerejea CCM akitokea CHADEMA. Amerejea Aprili 30 katika Mkutano Mkuu Maalum wa CCM ulifanyika Dodoma
Nyalandu aliwahi kuwa mtia wa kugombea urais kupitia Uchaguzi Mkuu 2020 kupitia CHADEMA. Ambapo katika hotuba yake ameshukuru kwa kumpokea
Amesema katika nchi ya Ugenini wimbo hauimbiki
Hahahah.. Bavicha mnapata tabu, sasa hapa itabidi mbadili gia muanze kumnanga Nyarandu?Pumba zinajitenga na mchele siku zote
Huyu amerudi nyumbani bwashee!Mama kaanza kuharibu kama Magufuli, kununua watu kutoka vyama vingine ni dalili ya udhaifu kiuongozi
Kigogo ni prediction, hii ndo imetokea officially kwanini isiwe breaking newsHii sio Breaking news kwani Kigogo alishatangaza toka mwaka jana kuwa Nyarandu anarudi kwao