Lazaro Nyalandu arudi rasmi Chama cha Mapinduzi akitokea CHADEMA

Hajawahi kusifiwa na wapinzani, usitake kupotosha. Kwanza Nyalandu hakuwa na swaga za siasa za kipinzani.
 
Kabisa mkuu Nyarandu sasa atakoma
Jamaa aliendaga hadi nje nchi, siasa ni rahisi when you got nothing to lose ni ngumu when you got to much to lose. No wonder Marshall Mathers apigi zile spana zake za early 2000[emoji23][emoji23]
 
Usiseme alinyimwa! Bali alishindwa na Lisu kwenye kura za maoni.

Chadema wangukuwa na akili hata ile kumpa formu agombee wasingempa

Fomu anaweza kupewa mtu yoyote maana ni hela yako na uwe mwanachama. Ila kupitishwa ndio shughuli.
 
Hajawahi kusifiwa na wapinzani, usitake kupotosha. Kwanza Nyalandu hakuwa na swaga za siasa za kipinzani.
Wewe acha zako bhana! Nyarandu mkampa hadi uenyekiti wa kanda alafu unataka kusema nini hapa?
 
Yaani hata kwa kuangalia tu kwa macho mlifikiri Nyalandu ni Chadema kweli? Wataka maslahi tu hawa. Pia nahisi kama Chadema walimshtukia mapema wakamuweka bench kiasi kikubwa. Alishaona ameshakataliwa hivyo amerudi kwao.
 
Hahahah.. Bavicha mnapata tabu, sasa hapa itabidi

Hahahah.. Bavicha mnapata tabu, sasa hapa itabidi mbadili gia muanze kumnanga Nyarandu?
Tukizungumzia unafiki, uchu wa madaraka, matumizi mabaya ya dola, na wizi wa kura vyote unavipata CCM kwa pamoja! So mtu akijaribu kubadili mazingira atashindwa
 
Nyumbu watasingizia nini?
Mbowe ameendelea kupuuzwa
 
Maisha haya 🀣🀣🀣🀣🀣
 
Hata hvyo aliwasaidia sana mgonjwa wao lissu ameonesha utu
 
Fomu anaweza kupewa mtu yoyote maana ni hela yako na uwe mwanachama. Ila kupitishwa ndio shughuli.
Mpaka anaenda kupigiwa kura maana yake kamati kuu ya chama imempitia na kuona anafaa kwahiyo wakaona aende akashindane na wenzie ili yeyote atakae pita awe rais.

Kwa hiyo Nyarandu aliaminiwa mpaka na kamati kuu ya chama.
 
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†Ila kigogo aliwaonya mapema
 
Tukizungumzia unafiki, uchu wa madaraka, matumizi mabaya ya dola, na wizi wa kura vyote unavipata CCM kwa pamoja! So mtu akijaribu kubadili mazingira atashindwa
Si mmesema yote hayo kaondoka nayo Magufuli na mambo yote ni safi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…