Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Nae alikua anajifanya kukimbilia Kenya walimdaka mpakani hapo Wakenya walijua sio mpinzani ndio maana walimrudisha upande wa Tanzania wahangaike nae hata hatukujua tena iliishia wapi anakuja na story za kutengeneza kila kukicha hawa ndio wale maisha yao ni siasa tuu bila siasa hakuna maisha...