Lazaro Nyalandu: Tatizo kubwa la CHADEMA ni Uongozi wa juu, CCM imejaliwa mfumo

Lazaro Nyalandu: Tatizo kubwa la CHADEMA ni Uongozi wa juu, CCM imejaliwa mfumo

Nchi hii Dictator number 1 ni Freeman Aikaeli Mbowe huyu siku Mungu akimuita utazuka ugomvi mkubwa sana wa kugombea madaraka Chadema kati ya familia na ukoo wa Mbowe na wanaharakati uchwala kina Lissu na wenzake.
Mungu amjalie afya njema na maisha marefu Mh Mbowe. Hakika wewe ni Jabali.

Jiwe kahangaika na wewe katangulia yeye. Tujenge Chadema yetu Mkuu.
 
Mungu amjalie afya njema na maisha marefu Mh Mbowe. Hakika wewe ni Jabali.

Jiwe kahangaika na wewe katangulia yeye. Tujenge Chadema yetu Mkuu.
Nyumbu wake mnamjaza sifa za kijinga chama kimepukutika hadi kubakiwa na mbunge mmoja
 
Mpuuzi tu huyo. Kwanza Kamati kuu hachagui wagombea, inapendekeza majina... Na wote tunajua CDM walikua na majina 3....Bora angesema kuwa alidhulumiwa kura kwenye baraza kuu.

Hivi hao waandishi wa Habari hawajui kuuliza maswali au ndiyo upeo wao ulipoishia...!?
Ukmuona kobe juu ya mti ujue kapandishwa.
 
Hapana wapo wengi wenye akili kumzidi tatizo wananjaa sana. Visenti kidogo tu wanauza chama imagine Halima Mdee au Bulaya mmoja wapo angepewa uenyekiti ingekuwaje ? Wangeuza sio chama tu wangetuuza mpaka wanachama wenyewe
Kwa hiyo Mbowe akifa inakuwaje?
 
Nae alikua anajifanya kukimbilia Kenya walimdaka mpakani hapo Wakenya walijua sio mpinzani ndio maana walimrudisha upande wa Tanzania wahangaike nae hata hatukujua tena iliishia wapi anakuja na story za kutengeneza kila kukicha hawa ndio wale maisha yao ni siasa tuu bila siasa hakuna maisha...
Kama Tyson [emoji28]
 
Kuna vitu unajiuliza sana kuhusu Watanzania

Nayalandu kama raia ana haki ya kushiriki siasa popote pale alipo bila kuulizwa lolote au chochote
Nyalandu alipohama CCM ilikuwa kwa matakwa yake binafsi

Kinachokera ni kwamba baada ya kurudi CCM sasa anakwenda kueleza katika vyombo vya habari mambo yasisyohusiana na haki yake kama Raia ya kushirikia siasa.

Nyalandu alikuwa na haki ya kueleza hayo akiwa katika chama halafu aondoke. Hili la kueleza baada ya kupokewa ambalo tunajua lina ahadi ni njia ya kujitangaza ili mkono uende kinywani.

Kukaa kimya kunamjengea mtu heshima, haya ya Nyalandu ni kujivua nguo hadharani
Ipo siku tutasikia pia akitueleza ya chumbani sidhani kama anaelewa haki, wajibu na stara.

This is too low Nyalandu, hata kaheshima ulikokuwa nako sidhani kama kapo tena.
Ukimuona alivyo nadhifu hutaamini ..

JokaKuu Pascal Mayalla
Naunga mkono hoja. Niliwahi kusema kitu kuhusu hili...
P
 
CCM yenye mfumo mbona ilishindwa kumfuma jiwe hadi yeye Nyarandu akakimbia.
 
Chadema mmafanyaga makosa sana kuchukua oil chafu toka ccm. Mkimaliza kuisafisha wanawaachia uchafu wanarudi ccm na kuanza kuwachafua.

Nyalandu
Sumaye
Lowassa
Lembeli
Next tym wakija msiwape uongozi wowote. Wawe wanachama wa kawaida.
Hivi vituko vya kuhama hama vyama bila msimamo wa kueleweka vinashangaza sana. Halafu mtu mzima anaondoka tena anarudi alikotoka na bila aibu anarudi na maneno ya kulaumu alikoenda mwenyewe kwa utashi wake wala siyo kwamba alinunuliwa. Na mara zote wakisharudi wanasema uongozi wa Chama walichohamia una matatizo. Jambo hili linaibua fikra za ajabu kidogo. Wakati mwingine inakuwa kama inamaanisha walitaka wakapewe uongozi wa juu wa hicho chama walichohamia ghafla ili wakisambaratishe. Inaposhindikana basi inabidi warudi walikotoka na maneno ya kashfa. Itoshe tu kukiri kwa kusema kwamba siasa zetu zina dosari tena dosari za kijinga sana.
 
Back
Top Bottom