East Wind
JF-Expert Member
- Jun 17, 2020
- 2,783
- 6,058
Nyarandu kawatangulia mjini na duniani.. toka kitambo 😀😀Ramadhani Ighondu ni mtoa roho, tunakumbuka sana alicho fanya kwa maisha ya Dr. Ulimboka, Nyalandu ajichunge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyarandu kawatangulia mjini na duniani.. toka kitambo 😀😀Ramadhani Ighondu ni mtoa roho, tunakumbuka sana alicho fanya kwa maisha ya Dr. Ulimboka, Nyalandu ajichunge
Nyarandu yupo smart sana.. anawajua nje na kwa ndani..Ina maana Lazaro nae ni wapande zile?!
Kumbukumbu zangu zinaniambia yule mtesaji alikuwa ni Mnyaturu wa Manyoni ...kumbe bado yuo!? Nyalandu tayari ni Mbunge ...Mungu ni Mkubwa!Na mimi hilo jina nimelisoma tu, ya Dr., yakaja. Lakini haya maisha.....akikosa atamwaga damu tu huyo Ighondu
Nyarandu sio kinyongeNyarandu kawatangulia mjini na duniani.. toka kitambo [emoji3][emoji3]
Mkamateni mmpeleke Mahakamani kama mna ubavu huo! ...kama hamjavuana ga....oHawawezi kukujibu
ndo mipango yenyewe.Prof Koboko,
Ighondu ndio yule alikuwa TISS?
Very dangerousHata mimi nilivyosoma tu hilo jina nimemkumbuka Dokta Ulimboka.
Nilivyosoma mimi nikastuka sanaHata mimi nilivyosoma tu hilo jina nimemkumbuka Dokta Ulimboka.
Mwulize Ramadhani IghonduHivi Nyalandu alisharudisha Twiga wetu?
Binafsi nimekuelewa. Hivi mshahara wa TISS hautoshi hadi akimbilie ubunge??????Huyo sijui Ighondu inatakiwa aingizwe kwenye ile orodha ya akina Bashite wanaonyima watu haki ya kuishi na asipewe kabisa Visa ya kwenda kwenye nchi yoyote iliyostaarabika.
Ighondu is a Terrorist Mastermind and a dangerous person who must be kept at the arms length. His rival in the election must be very careful with him.
ahahahahaaaa nimecheka mpaka basiMwulize Ramadhani Ighondu
Alissbabisha gazeti letu pendwa la mwanahalisi lifungweRamadhani Ighondu ni mtoa roho, tunakumbuka sana alicho fanya kwa maisha ya Dr. Ulimboka, Nyalandu ajichunge
Huyo huyo. Ni kijana wangu kuna mwengine Frenki Ila Rama kazidi ukatili Frenki Sasa hivi karudi kutoka ubelgiji alipokuwa stationed.
Haya yote tutayamwaga hadharani ili watu wote waeleweHuyo sijui Ighondu inatakiwa aingizwe kwenye ile orodha ya akina Bashite wanaonyima watu haki ya kuishi na asipewe kabisa Visa ya kwenda kwenye nchi yoyote iliyostaarabika.
Ighondu is a Terrorist Mastermind and a dangerous person who must be kept at the arms length. His rival in the election must be very careful with him.
Frank alimfuata Lissu nini?Huyo huyo. Ni kijana wangu kuna mwengine Frenki Ila Rama kazidi ukatili Frenki Sasa hivi karudi kutoka ubelgiji alipokuwa stationed.