mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Ufaransa ni weusi, Moroco ni waarabu....chagua mwenyeweBora ufaransa watolewe, na itakua maajabu waafrika waishangilie ufaransa ambayo inawakilisha nchi yake na ulaya kwa ujumla na kuwatema ndugu zao Morocco ambao wanaliwakilisha bara letu la Afrika
Nipo na Morocco [emoji1173]
Nipo na Argentina [emoji1033]
Rangi ya ngozi ya wachezaji si hoja, hoja ni "wanapeperusha bendera ipi?"Ufaransa ni weusi, Moroco ni waarabu....chagua mwenyewe
Morocco ndugu zetu ? Tangu lini?Bora ufaransa watolewe, na itakua maajabu waafrika waishangilie ufaransa ambayo inawakilisha nchi yake na ulaya kwa ujumla na kuwatema ndugu zao Morocco ambao wanaliwakilisha bara letu la Afrika
Nipo na Morocco π²π¦
Nipo na Argentina π¦π·
Tumewasifu kukimbia sasa mmepapita kwenu..,Tuseme ukweli, ufaransa haina cha zaidi kuliko hispania wala ureno!
Siyo muujiza kwa Morocco kuifunga ufaransa kama iliweza kuifunga hispania. Kwanza Ufaransa ndio wako kwenye presha ya mchezo kuliko morocco!
Afrika tujiandae kupokea kombe, maana lazima litembezwe kila nchi ya Afrika!!
Morroco washasema ni kwa waarabu na waislamu. Argentina sijawahi ona mchezaji mweusi.Bora ufaransa watolewe, na itakua maajabu waafrika waishangilie ufaransa ambayo inawakilisha nchi yake na ulaya kwa ujumla na kuwatema ndugu zao Morocco ambao wanaliwakilisha bara letu la Afrika
Nipo na Morocco π²π¦
Nipo na Argentina π¦π·
Ufaransa ni weusi, Moroco ni waarabu....chagua mwenyewe
Kama wa-Morocco ni waafrika , kuna wachezaji wangapi weusi?Nimechagua waafrika wenzangu MOROCCO π²π¦
I wish wakutane final Argentina π¦π· and Morocco π²π¦
Vamos Albiceleste π¦π·
Vamos Simba wa Atlas π²π¦
Nakazia [emoji419]Morocco ndugu zetu ? Tangu lini?
Kwani sisi tunandugu wangapi ? Na kina nani sio ndugu zetu?
Anyway naomba Usiku na mchana
Morocco wasishinde game hio period.
Morroco washasema ni kwa waarabu na waislamu.
Argentina sijawahi ona mchezaji mweusi.
Ni lahisi kwenda ufaransa na ukaishi kwa amani ukapata na mke wakifaransa kuliko arabuni(morroco) na Argentina huwa naona wapumbavu sana wanaoshabikia timu za kibaguzi kama hizo
Haijalishi walichokisema, na wala hakibadilishi chochote.. mimi nitaenda na Wa-Afrika wenzanguKama wa-Morocco ni waafrika , kuna wachezaji wangapi weusi?
France ina black ambao wanatokea Afrika Eg: Senegal
Wamorocco wameshasema wakishinda ni kwa ajili ya Waarabu na Waislamu
Morroco washasema ni kwa waarabu na waislamu.
Argentina sijawahi ona mchezaji mweusi.
Ni lahisi kwenda ufaransa na ukaishi kwa amani ukapata na mke wakifaransa kuliko arabuni(morroco) na Argentina huwa naona wapumbavu sana wanaoshabikia timu za kibaguzi kama hizo
Ana nini ufaransa zaidi ya hispania? kama hispania aling'oka, ufaransa hawezi kuwa na ujanja!Tumewasifu kukimbia sasa mmepapita kwenu..,
Kwanza lazma ujue ufaransa anashinda ndani ya 90min na hategemei VAR apewe penalty ya mchongo.