Mr Bluetooth
Senior Member
- Aug 23, 2022
- 123
- 230
source #1
source #2
Tunachokijua:
huwa vinamaanisha nini hapa JF ?
source #2
Tunachokijua:
huwa vinamaanisha nini hapa JF ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kabisa, Argentina kuna uwezekano mkubwa sana wa kutolewa na Croatia!Hata Argentina hana cha ziada lazima afungashe
Argentina wanabebwa na umaarufu wa mtu mmoja (Messi) ambaye kwa Croatia ni mdebwedo tu.Ni kweli kabisa, Argentina kuna uwezekano mkubwa sana wa kutolewa na Croatia!
Turudi kwenye muktadha!! Morocco ni moja ya nchi tano zilizoiwakilisha AFRIKA kwenye kombe la dunia!! Ni wawakilishi wa Afrika!! Hilo halina mjadala!! Kataa na hilo kama ubavu unao!!Duuh!!! Kwahiyo ukizaliwa ulaya hatakama ni mweusi unakuwa mzumgu!?
Kuzaliwa Tanzania kutakufanya uwe mtanzania lakin sio muafrica.
Jews wenye uraia wa hapa ni watanzania lakini sio waafrica ni Jews same applies to Arabs, Chinese or Indians.
Hii ni more about race kuliko nationality (uraia).
Huko America black na Latino kila kukicha wanauliwa na ni raia wa mataifa husika.
Mwambie akuoe basi! IdiotMimi nitafurahi kumuona la pulga ...Messi akinyanyua kwapa..
hapa ndipo wazungu walipotuwezaKama wa-Morocco ni waafrika , kuna wachezaji wangapi weusi?
France ina black ambao wanatokea Afrika Eg: Senegal
Wamorocco wameshasema wakishinda ni kwa ajili ya Waarabu na Waislamu
Chagu CAF au UEFA shirikisho gani linakuwakilisha wewe?Washasema wao siyo Waafrika..!!!
Mimi mwafrika bwana tena wa Lituhi hukoo..!! Aliyesema yeye si mwafrika ni MMOROKO. Hivyo swali hilo elekeza kwake.Chagu CAF au UEFA shirikisho gani linakuwakilisha wewe?
Kuwa Africa sio kuwa muafrica, muafrica is more about race, Elon Musk amezaliwa Africa lakini sio muafrica.Turudi kwenye muktadha!! Morocco ni moja ya nchi tano zilizoiwakilisha AFRIKA kwenye kombe la dunia!! Ni wawakilishi wa Afrika!! Hilo halina mjadala!! Kataa na hilo kama ubavu unao!!
Na waislamu nao mbona umesahau kusema hilo?Unasema uongo na unawasingizia!! Walichosema ni kuwa ushindi wao ni kwa ajili ya AFRIKA yote na mataifa yote ya kiarabu!! (si kwa ajili ya afrika peke yake bali kwa ajili ya mataifa ya kiarabu pia). Hawajaikana Afrika kama unavyotaska kutuambia!! Na hapo wako sahihi maana wao ni waafrika na waarabu kwa pamoja!! Ushahidi huu haspa:
And so to Qatar. Morocco’s players will carry not only the hopes and dreams of Africa when they face Portugal but of the Arab world as well. Having seen his father’s dream of his country becoming the first in Africa to host the World Cup ended after three failed bids, the king of Morocco, Mohammed VI – who congratulated Regragui on the phone after the victory against Spain.
Asante mkuu..Mwambie akuoe basi! Idiot
Umeshasema "kupitia Asia na siyokutoka Asia!! Morocco haijashiriki kombe la dunia kupitia Afrilka bali ni kutoka Afrika!! Wanaiwakilisha Afrika!! Wanastahili kushangiliwa na Afrika kwanza!! Muktadha/context ni ushiriki wa kombe la dunia kutoka AFRIKA!!Kuwa Africa sio kuwa muafrica, muafrica is more about race, Elon Musk amezaliwa Africa lakini sio muafrica.
Moroco walishaomba kujiunga umoja wa ulaya wakakataliwa ndio wakaomba AU, wangekubaliwa wangekuwa wazungu, waafrica au waarab!?.
Australia ime-qualify kupitia Asia kwani ipo Asia!?
Au iliend kuiwakilisha Asia!?
Kama unakubali kuwa Australia wamefuzu kupitia Asia, basi wamoroco wamesema wao sio waafrica wamefuzu tu kupitia africa.Umeshasema "kupitia Asia na siyokutoka Asia!! Morocco haijashiriki kombe la dunia kupitia Afrilka bali ni kutoka Afrika!! Wanaiwakilisha Afrika!! Wanastahili kushangiliwa na Afrika kwanza!! Muktadha/context ni ushiriki wa kombe la dunia kutoka AFRIKA!!
Wapenda dezo mmejitokeza, acheni Waarabu washerehekee ushindi wao.Tuseme ukweli, Ufaransa haina cha zaidi kuliko hispania wala ureno!
Siyo muujiza kwa Morocco kuifunga ufaransa kama iliweza kuifunga hispania. Kwanza Ufaransa ndio wako kwenye presha ya mchezo kuliko m
Morocco!
Afrika tujiandae kupokea kombe, maana lazima litembezwe kila nchi ya Afrika.
Hata kesho wanaweza kuamua team ziwe znafuzu kwa utaratibu mwingine na ikaenda vizuri tu.Umeshasema "kupitia Asia na siyokutoka Asia!! Morocco haijashiriki kombe la dunia kupitia Afrilka bali ni kutoka Afrika!! Wanaiwakilisha Afrika!! Wanastahili kushangiliwa na Afrika kwanza!! Muktadha/context ni ushiriki wa kombe la dunia kutoka AFRIKA!!
Mtu kapigwa mbili safi unasema kaponea chupu chupuMorocco wakiweza kumdhibiti Mbape, Ufaransa kwisney!! Kwanza iliponea chupu chupu sana kwa Uingereza!!
Kweli hazina nafasi ila umesahau kusema huo ni mtazamo wako(opinion) sio fact. Ingekuwa hivo basi wasingekuwa wanabagua hao watu weusi kwenye mpira kuanzia huko kwenye vilabu mpaka timu ya taifa.