Lazima Ufaransa wang'oke mbele ya MOROCCO kama Hispania na Ureno wameng'oka, hakuna kitakachomuokoa Ufaransa

Unapatikan wap mkuu naona unapita mle mle mtabiri tambi tambi
Naona dawa imekuingia kisawasawa na ndio faraja kwangu,umebaki kuruka ruka tu kama Kuku aliyekatwa kichwa kisha akaachiwa ghafla,

Haya jibu maswali niliyo kuuliza kwenye comment # 29
 
Kwakuwa wewe ni muislamu upo sahihi kuishangilia moroko......kwasababu kwa kinywa chao wanadai ule ni ushindi wa waarabu na waislamu kote duniani
 
Kwakinywa chao wamekiri kuwa ule ni ushindi wa waarabu na waislamu wote duniani sasa iweje mtu abishe?
 
Kwakinywa chao wamekiri kuwa ule ni ushindi wa waarabu na waislamu wote duniani sasa iweje mtu abishe?
Unajua watu wengi wanapenda kujinasibisha na upande wanao ona una nguvu kwao/ au unaofanya vizuri kila mtu anasema Morocco ni waafrica kwa sababu wamenda nusu final ili wajisikie na wao ni sehemu ya ushindi lazma wawape jina hao Morocco ni waafrica.

Nachofurahi wamorocco wamesema hapana wao ni wamorroco, waarabu na waislamu.

Hivyo hivyo hata kwa dini ili mtu aendelee kuamini kuwa yuko upande sahihi lazima aendelee kuamini Mungu wake ni mkuu kuliko chochote awe ni muislamu au ni mkristo akianza kuwa na mashaka basi imani imesha, hata nchi ni hvo hvo ili mmarekani aendelee kujivunia atatafta sababu ya kuamini nchi yake ni special, kwa Tanzania sababu wanayoamini na kujivunia wanasema ni amani sina hakika kama ipo.

Dunia nzima inajua hao ni waarabu
Hizo zote ni fallacy alafu kuna father of all fallacy.
 
Tuache shobo. Morocco wanasema wao sio Waafrika ni Waarabu.
France all the way.
 
Kwa hiyo france ni Afrika???mbna unaweweseka hv????
Kuwa mwafrika si kuwa mweusi na kuwa mzungu si kuwa mweupe!! Mtu anakuwa mwafrika kwa sababu ana uraia katika nchi iliyo afrika bila kujali ni mweusi, mweupe au mwekundu!! Afrika ya kusini ni Afrika lakini ina raia weupe wengi tu!!
 
SAWA NA KUBADILISHA MKOJO KUWA MAVI
KAMA INAWEZEKANA HILI BASI SUBIRI NA MOROCO YAKO USHINDI MKUU...WALIPOFIKA PANATOSHA KAMA HUAMINI WANAPIGWA
HTFT
FRANCE/FRANCE
FT ANASHINDA FRANCE WIN&3+
 
Mimi Niko na Morocco mengine yatakuja baadaye

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Kuwa mwafrika si kuwa mweusi na kuwa mzungu si kuwa mweupe!! Mtu anakuwa mwafrika kwa sababu ana uraia katika nchi iliyo afrika bila kujali ni mweusi, mweupe au mwekundu!! Afrika ya kusini ni Afrika lakini ina raia weupe wengi tu!!
Duuh!!! Kwahiyo ukizaliwa ulaya hatakama ni mweusi unakuwa mzumgu!?
Kuzaliwa Tanzania kutakufanya uwe mtanzania lakin sio muafrica.
Jews wenye uraia wa hapa ni watanzania lakini sio waafrica ni Jews same applies to Arabs, Chinese or Indians.
Hii ni more about race kuliko nationality (uraia).
Huko America black na Latino kila kukicha wanauliwa na ni raia wa mataifa husika.
 
Kwa kweli tunapatwa na "MHAHO" Je!?tushabikie ufaransa kwa kuwa inawachezaji mablack au tushabikie waarabu kwa kuwa wapo Afrika?
 
Morocco Apigwe Tu Kwanza Hana Ubavu Wa Kuizuia Ufaransa Isimufunge
 
Kwakinywa chao wamekiri kuwa ule ni ushindi wa waarabu na waislamu wote duniani sasa iweje mtu abishe?
Unasema uongo na unawasingizia!! Walichosema ni kuwa ushindi wao ni kwa ajili ya AFRIKA yote na mataifa yote ya kiarabu!! (si kwa ajili ya afrika peke yake bali kwa ajili ya mataifa ya kiarabu pia). Hawajaikana Afrika kama unavyotaska kutuambia!! Na hapo wako sahihi maana wao ni waafrika na waarabu kwa pamoja!! Ushahidi huu haspa:

And so to Qatar. Morocco’s players will carry not only the hopes and dreams of Africa when they face Portugal but of the Arab world as well. Having seen his father’s dream of his country becoming the first in Africa to host the World Cup ended after three failed bids, the king of Morocco, Mohammed VI – who congratulated Regragui on the phone after the victory against Spain.
 
Hata Argentina hana cha ziada lazima afungashe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…