Lazima Ufaransa wang'oke mbele ya MOROCCO kama Hispania na Ureno wameng'oka, hakuna kitakachomuokoa Ufaransa

Hivi kuna sehemu Morocco walikataa kuwa wao sio Waafrica, au waliamua tuu kuu dedicate ushindi wao kwa Waarab na Waislam pekee?

Tuache ujinga, kama tunavyoabianaga tutafute jela basi, tukuze vipaji na kuongeza juhudi na sisi tuache makasiriko
 
Hivi kuna sehemu Morocco walikataa kuwa wao sio Waafrica, au waliamua tuu kuu dedicate ushindi wao kwa Waarab na Waislam pekee?

Tuache ujinga, kama tunavyoabianaga tutafute jela basi, tukuze vipaji na kuongeza juhudi na sisi tuache makasiriko
Akufukuzae hakuambii toka
 
Kuwa na akiba ya maneno kaka
 
SAWA NA KUBADILISHA MKOJO KUWA MAVI
KAMA INAWEZEKANA HILI BASI SUBIRI NA MOROCO YAKO USHINDI MKUU...WALIPOFIKA PANATOSHA KAMA HUAMINI WANAPIGWA
HTFT
FRANCE/FRANCE
FT ANASHINDA FRANCE WIN&3+

Kuna waafrika mnatia aibu sana, unaachaje kushabikia timu yako unashabikia wasio kuhusu!
 
Ubaguzi upo huko Argentina, Hispania na kwingineko.
 
Duh dembelee mbona kaowa pisi ya kiMorroco?

Punguza ubaguzi
 
France ni chama langu.wakipita Moroco pia ni sawa tu itakua wamefungua mlango wa timu kutoka Africa kufika WC final💪
 
Ni kweli na endapo Morocco watashindwa kulichukua hili kombe basi litachukuliwa na Tanzania na ndipo tutaweka historia amin amin nawambieni.
 
Duh dembelee mbona kaowa pisi ya kiMorroco?

Punguza ubaguzi
Nan mbaguzi waliosema au mimi!?
Kafuata hela sio kirahisi rahisi jaribu kuoa wewe mwarabu hats wazanzibar kama utawezq.
Wamoroco wamesema wazi wao ni kwaajiri ya waarabu na waislamu mnajipendekeza mkiitwa nyani mnabaguliwa
 
Sinaga tabia ya kujipendekeza Morocco walishatukataa toka game ya Spain nami sina budi kuwasagia kunguni, ......ufaransa piga mbwa haoooo
 
Kwakuwa wewe ni muislamu upo sahihi kuishangilia moroko......kwasababu kwa kinywa chao wanadai ule ni ushindi wa waarabu na waislamu kote duniani

Wewe hushabikii morocco, basi tuache sisi tushabikie

Vamos Argentina
Vamos Morocco

Wawe waarabu, wawe wa Africa wakishinda Africa nzima tutapagawa kwa shangwe, maana tutakuwa tumeshinda.

Umeongea point kamanda
 
Unawasingizia hawajasema!! Weka ushahidi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…