HOPECOMFORT
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 3,921
- 6,646
- Well, my mother is great now ndio maana nipo kwenye ndege naruka kurudi bongo, one lesson nimejifunza ni kwamba amepona sio only kwa sababu ya madaktari bali my presence it made a big impact so nimejifunza from now on kuja kumuona mara kwa mara U know, My Dad hayupo huku yupo Arusha anasimamia amani ya wa Sudani na hahusiki na this thread, hahahahahahahaha mimi au wewe anayehitaji meditation Techinique hahahahahahahaa
Le Mutuz
Kweli wewe ni zeee mbururaz!!!! U knw!!! Ivi uyo dad wako kwann asianze na amani ya mamako kabla ya wa sudan kwanza!?!