Le Mutuz has done it again! Well done king of Bongo social media, Le bebez

Status
Not open for further replies.

Show me your friend I'll tell ur character
 

Hahahahahaha
 
Mi nili mfollow kama wiki kadhaa then ni mu unfollow sababu alikua anapost upuuzi tu mwanzo mwisho
Yaani ni picha na vibinti na kujisifia kwiingi na kusiafia wanaume wenzake
 
Huyu mbwiga nilimuuliza tu mkuu hizi ni fact au opinion zako, kaniblock fasta........Ha haaaaaa
 
Mi nili mfollow kama wiki kadhaa then ni mu unfollow sababu alikua anapost upuuzi tu mwanzo mwisho
Yaani ni picha na vibinti na kujisifia kwiingi na kusiafia wanaume wenzake

hahahahahahahahag
 
Huyu mbwiga nilimuuliza tu mkuu hizi ni fact au opinion zako, kaniblock fasta........Ha haaaaaa
mimi nilimwambia dr slaa hawezi kuwa na account mbili tofauti tweeter aka ni block
 
Hana lolote huyoo,mbabaishaji tuu,nilimpa facts za masuala ya siasa,akani block......
 
Hajiamini hyoo jamaaa,anafikir kila atakalosema et tumsapoti.....kwa akili gani na degree za sebuleni.
 
TCU inabidi wakague vyeti vyake vya degree, anaweza kuwa kanjanja kwa namna anavyo behave.Anawatumia Dada zetu wasiojitambua kupromote wall yake!
 
hahahaa naona kakimbia mwenyewe maana kapewa LIVE STRAIGHT TALK Buhahahaha akilikubwaz jf
 
Dah Yule jamaa usimuite Uko na maboss wako! Kesho unakuta yeye ndo anakutambulisha Wewe tena! Hana lolote kujipendekeza adi aibu! Ofcoz anatusaidia kutukuwadia wanawake nin na nin Afu Hana aibu! Ukiwa na pesa unaweza kumpasua naniluu
 
Nakumbuka siku nilio mtumia le some1 sms ktk inbox yA kumshauri awe mfano kwa jamii kwa kuto kutukana kama anavyodai but kaishia kuniblock. Nilimuambia tu atumia maneno mazuri, anapenda kusema mother fanta!!!! Hilo tusi!!!!!
 
Le mutuz sijamuona kitambo humu au alikula ban?
 
Instagramu wengi wanapenda kusifiwa tu uki comment against wana Ku block. Bora fb kuliko Instagram Wema ni mvumilivu na AME ignore. Jf unakua huru zaidi
 
Kwa nn hajagombea Mtera amtoe aliye mwangusha dingi yake?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…