Juwaine
JF-Expert Member
- Oct 1, 2013
- 624
- 170
Kwanza niseme kwanini mtu ulalamike kublockiwa na mtu kama huyu..wewe mpe ushauri wako akikublock poa maisha yanaenda.
Ila kubwa zaidi jamaa Matajiri wote wa Tanzania atakuambia marafiki zake...wacha tuendelee kuishi tuona vimbwaga vya huyu BABU tupate vya kuwahadithia wanetu.
Show me your friend I'll tell ur character