Le Mutuz has done it again! Well done king of Bongo social media, Le bebez

Le Mutuz has done it again! Well done king of Bongo social media, Le bebez

Status
Not open for further replies.
Alikua analia daimond akata kumfuta machozi sasa zari akaona akifutwa machozi make up itafutika ndio maana akakata!sasa timu ushuzii wameitafsiriii vinginee
alikua analilia nini??mmh mbn kama alikua na hasira?
 
ingia kwenye account ya zingifuri instagram ukajionee videos za Mr na Mrs Chibu za party ya Zari na walipoimba wifi wifi...nietoka kuziangalia

hadi sasa acc ipo public, hakuna haja ya kutuma request
 
ingia kwenye account ya zingifuri instagram ukajionee videos za Mr na Mrs Chibu za party ya Zari na walipoimba wifi wifi...nietoka kuziangaliahadi sasa acc ipo public, hakuna haja ya kutuma request
zingifuri zipo nyingi na zina private waongelea ipi??
 
Jamaa walijipanda sana..pig up kwao...ila ilo la bil 1.8 ni uongo ulio wazi...tale alisema tiketi za milioni 3 zilikuwa 10 na million 1 zilikuwa 12 na ziliisha kitambo..hakuna hesabu itakayoleta kiwango hiko cha pesa...labda waintroduce kanuni nyingine za kujumlisha na kuzidisha ndo tupate hiyo bilion 1.8

- Watu Millioni Moja walijaribu kuingia kwa kutumia online means ya Shillingi 3,000 kati yao Laki Tano walifanikiwa now 500,000 x 3,000 =?

Le Mutuz
 
Ila watanzania tuacheni unafki na kuwa wakweli wa nafsi. Ingetokea mtanzania kaandaa party ya aina hiyo, wangapi wangeenda? Mtu km Wema au Wolper wangeandaa mngeenda au mngeishia kuwapa majina mabaya? Mngewaita malaya na majina mengine mengi mabaya. Mfano mzuri Wema amekuwa anaandaa hizo party lakini hakuna hata mtu mmoja anaeenda sana sana mnaishia kumwita vigodoro, mara anapenda party mara ha act km mwanamke. Kuna muda alipanda jukwaani kumsaidia Diamond kucheza kwa kuwa alikatika viuno, Tanzania nzima mlimuandama, haki ipo wapi hapo? Mm naona watanzania bado washamba na wambea, wengi wameenda kwa kuwa Zari sio Mtanzania ili wapate kumuona, wengine km kumkomoa Wema ili kumuonyesha yy si mali kitu. Na ikumbukwe kuwa Zari anaandaa aina hiyo ya party kwao na hajawahi kupata hiyo response kwao, kwa kuwa anajua watanzania hawajielewi na hawathamini vya kwao. Km watu kujitahidi kimawazo basi tulitakiwa tumpongeze Madam Rita kwa kusaidia vipaji na Bongo star search kwani anasaidia watoto wetu, na wazazi walitakiwa wahudhurie kwa wingi kumpa support. Angalieni nchi za wenzenu walivyo wazalendo.Je, ni wazazi wangapi wameenda kumpa support au nyinyi jamii forum mlishawahi kuandika chochote kuhusu yy kuonyesha mnathamini mchango wa bongo star search. Msiwe wanafki na km watu walokosa fikra nia aibu jamani

- This is nothing but crying wolf wolf, huwezi kuwalinganisha Zari na hao uliowataja ni class tofauti sana unapoongelea Zari unaongelea a smart Woman mwenye malengo ambaye ana nidhamu ya ajabu sana na malengo yake, angalia Instagram yake kabla na hata baada ya wewe kumjua huwezi kukuta ujinga ujinga kwenye Wall yake. Amejenga jina lake kwa kutumia Social Media kwa sababu niambie ni nani ana uhakika kama kweli Zari ni Bilionea zaidi tu ya kumuona na mapicha yake kwenye Isntagram ni lini umewahi kumuona Zari Escape One anacheza juu ya meza tena amelewa chakari? Ni lini umewahi kuisikia Zari ana skendo za kijinga jinga kama hao uliowataja?

- Unafikiri waliotayarisha Show ya juzi ni wajinga? Eti unasema Show za Zari hazijawahi kujaza na wakati ilipofanyika Uganda ilikuwa sold out badala ya kuandika hoja wabongo wajifunze wewe unatetea Ma Star mediocre wanaojiende tu kama kuku wakinyeji wewe umeshawahi kumuona Diamond kwenye mabar amelewa anahangaika hangaika kama kichaa? Ndio maana watu walienda kulipa kuwaona maana ni watu ambao wapo serious na their business hakuna mtu anaweza kulipia kumuona mtu ambaye kila siku yupo mtaani na kwenye party za kujinga jinga,

- Mkuu jipnage tena Zari na Diamond wamefanya party ya juzi sio kwa bahati mbaya ndio maana wameshinda wanaishi kwa nidhamu kubwa sana kuhakikisha hawaonekani kila wakati na public nia na madhumini ni kama hii ya juzi, hakuna watu wenye akili kama wabongo wanajua thamani ya kila kitu na wanjua thamani ya hao uliowataja kwamba hawana kitu ndio maana hakuna mbongo anaweza kulipia kuona mtu anayeajiri watu kutukana watu kwenye Social Media, pole pole mtajifunza tu kutoka kwa kina Zari namna Super Star anavyotakiwa ku behave huwezi kupanda mahindi ukavuna mihogo, Zari ni mfano wa Super Star anavyotakiwa ku behave ndio maana akifanya show watu wataenda kulipa tu maana hata yeye mwenyewe anajithamini watu hawawezi kwenda kulipia watu wasiojithamini!!

Le Mutuz
 
Mkuu mimi nakubaliana na wewe kwamba watanzania tunapenda sana vya nje na kuacha vya kwetu kwa hapo tuko pamoja.

Ila napingana na wewe kusema kwamba watu wengi walikwenda pale kumona Zari kwa mtazamo wangu si kweli kabisa, wengi walioenda pale walienda kwa kivutio cha Diamond na mastaa wengine wa kibongo waliohudhuria.

Sawa show iliandaliwa kwa jina la Zari, na ni kweli inawezekana mnufaikaji mkuu akawa ni Zari. Lakini ukweli huo isiwe kigezo cha kumpa credit kiasi hicho mganda kua yeye ndo alikua kivutio kikuu na kumsahau diamond na mastaa wengine wa kitanzania.

Leo rudi kamuulize mtu aliyehudhuria akwambie katika party ile alivutiwa na nini, naamini wengi watakwambia "nilivutiwa na show ya diamond,yamoto band, weusi na mastaa wengine wa kibongo"

Kuthibitisha embu assume, Zari angekua sio mpenzi wa Diamond na angeandaa party yake hii hapa bongo unadhani ingejaza vile?
Zali hajaanza leo kuandaa hiyo party yake, kipindi cha nyuma mbona alikua haji kuandaa hiyo party yake bongo?

- Sio kweli Wabongo ni watu wenye akili sana tunajua thamani ya kila kitu, ndio maana hatuwezi kwenda kulipa kuona mtu anayeshinda amelewa kwenye mabar kila siku na hatuwezi kulipa kuona mtu asiyekuwa na heshima na wala hajithamini yeye mwenyewe, mpaka mtakapojifunza maana ya Super Star mtaendelea kulia lia huwezi kuwa Super Star kila siku upo kwenye party za vigodoro unatunza mahela, huwezi kuwa Super Star kila siku upo mtaani watu wanakuona ona utegemee siku moja ufanye Show wakubali kulipia kukuona,

- Nitakupa mfano mdogo sana, siku moja nilikuwa na Zari pale Mliman City Diamond na timu yake walitoa order kwamba Zari asipige picha na mtu yoyote mle ndani, watu walifurika ghafla kutaka kumsogelea likini walinzi kibao haikuwezekana tukatoka pale kwenda Fish Market watu wanatufuata nyuma, WHy ni kwa sababu Zari hainekani hovyo so kila mtu alitaka kuona anafananaje na ndio maana watu hawa walipoambiwa kulipa haikuwa ishu, sasa wewe kweli utalipia kuona watu wamelewa chakari kila siku kwenye vilabu vya pombe hapa mjini? Please tumieni akili siku moja mtaona mabadiliko Diamond huwezi kumkuta kwenye mapombe ndio maana watu wapo radhi kulipa kwenda kumuona, badilikeni!!

Le Mutuz
 
Ila watanzania tuacheni unafki na kuwa wakweli wa nafsi. Ingetokea mtanzania kaandaa party ya aina hiyo, wangapi wangeenda? Mtu km Wema au Wolper wangeandaa mngeenda au mngeishia kuwapa majina mabaya? Mngewaita malaya na majina mengine mengi mabaya. Mfano mzuri Wema amekuwa anaandaa hizo party lakini hakuna hata mtu mmoja anaeenda sana sana mnaishia kumwita vigodoro, mara anapenda party mara ha act km mwanamke. Kuna muda alipanda jukwaani kumsaidia Diamond kucheza kwa kuwa alikatika viuno, Tanzania nzima mlimuandama, haki ipo wapi hapo? Mm naona watanzania bado washamba na wambea, wengi wameenda kwa kuwa Zari sio Mtanzania ili wapate kumuona, wengine km kumkomoa Wema ili kumuonyesha yy si mali kitu. Na ikumbukwe kuwa Zari anaandaa aina hiyo ya party kwao na hajawahi kupata hiyo response kwao, kwa kuwa anajua watanzania hawajielewi na hawathamini vya kwao. Km watu kujitahidi kimawazo basi tulitakiwa tumpongeze Madam Rita kwa kusaidia vipaji na Bongo star search kwani anasaidia watoto wetu, na wazazi walitakiwa wahudhurie kwa wingi kumpa support. Angalieni nchi za wenzenu walivyo wazalendo.Je, ni wazazi wangapi wameenda kumpa support au nyinyi jamii forum mlishawahi kuandika chochote kuhusu yy kuonyesha mnathamini mchango wa bongo star search. Msiwe wanafki na km watu walokosa fikra nia aibu jamani

Your Argument is very wrong..

Kwahiyo wewe msimamo wako uko wapi?? Kwamba watu wasiende kwenye party za Diamond na Zari ila waenda kwa Madam Rita na party za kina Wema na Wolper?? Una uhakika gani Madam Rita hapewi support na Watanzania?? Unafikiri kile kipindi BSS kinajiendeshaje??
Kusingekuwa na viewers unadhani kingepata wadhamini?? Hao viewers ni Waganda?? Au wewe unataka support ya aina gani labda?? Tutembeze bakuli kumchangia Madam?? Si ana wadhamini ambao wanatangaza bidhaa na huduma zao kwenye kipindi na sisi kama watazamaji ndio tunampa nguvu..

Tukirudi hapo kwa Wema na Wolper, jijengee heshima, fanya kazi kwa bidii na kuwa mbunifu kila kitu kitaenda kama unavyotaka.. wachana na party, hata mazishi yetu yanatofautiana sana, kuna watu wanazikwa na maelfu na wengine mamia na wengine makumi.. Inategemea ulifanya nini wakati ukiwa hai. Huwezi kuwa na ugomvi na bifu na kila mtu hapa mjini ukapata support pindi unapoihitaji wachilia mbali tabia mbovu za hao watu..

Point sio kupendwa au kutopendwa, watanzania ni malimbukeni. Diamond ana perform kila kikichwa bongo na hajawahi kupata hiyo response,sana sana anaambulia kuzomewa. Kilichokuwepo hapa ni ushabiki wa kuinyesha nani zaidi ya Wema na Zari, watanzania watu wa wivu na malimbukeni. Mfano mzuri ni Mwisho Mwampamba ametoka big brother the same year with Abi yule msouth, lakini Abi ameshikwa na watanzania km nyota ya jaha hadi amekuwa tajiri bongo, ana business za maana, anapewa ulaji kwenye events kibao masikini si Mwisho wala yule Richard anayethaminiwa Bongo. Yani ni aibu kwa kukumbatia wageni. Mifano ipo mingi mno, Mtanzania anaweza akawa more qualified kuliko hao ambao su watanzania lakini hawapewi chances, kwa nini? Jibu ni ilbukeni na kukosa fikra. Hutoeenda nchi yoyote ukute wanathamini wageni over watu wao. Ni wakati now wa kuamkuka na kuacha ushabiki

Wewe una wivu tu, alafu jaribu kuwaomba radhi Watanzania uliowatukana hapa, hata usipofanya hivyo haiondoi dhana kwamba una wivu wa maendeleo..

Mwisho na Richard hawajapata support ya Watanzania?? walipokuwa kule mjengoni walijipigia wao kura?? walijipigia kampeni?? Tena wakati wao wakiwa kule zilikuwa zile kura za SMS tu, 1 vote 600/= na watu walipiga kama vichaa, ulitaka wafanyiwe nini kingine?? Both of them returned home with cash, i mean big cash lakini walizitumiaje?? Mwisho akahama Moro akaenda rent a big house at Mikocheni akaendekeza anasa mpaka pesa ikaisha, unafikiri mtu mwenye akili atataka kufanya kazi na mtu wa namna hiyo?? Same story to Richard.. Abby alikuja Tz as an underdog i mean with nothing at her account, amefanya kazi kwa bidii sasa ana maisha na coverage kuliko hao waliopata pesa akina Richard, alafu ulifikiri ni Tz tu huyu demu anakubalika, mpaka Naija anafika na anapiga mikwanja huko.. Yaani wewe uzembe wa wapuuzi wengine unatuhusisha Watanzania wote?? wacha hiyo tabia kabisa, after all huyo Mwisho si alipewa kipindi Channel 1?? Kafika nacho wapi mpaka sasa??
 
Wanadai mademu walikua wanamshobokea domo na kupiga picha ata kama ni makeup kutoka mi sikupenda ile reaction yake kama ya kumshushua flani hivi.
hata mi nliona kama shushu mmh mambo ya kushushuana mbele ya kadamnasi nsivopenda mie
 
hata mi nliona kama shushu mmh mambo ya kushushuana mbele ya kadamnasi nsivopenda mie

Mwenzangu yani lile shushu la haja aibu uso sijui unaificha wapi. Dai naye aache utoto yani taulo unajifutia jasho unataka kumfutia tena mwenzako hai make sense halafu angesoma alama za nyakati bibie mjamzito sometimes anakua mood less ndo yanatokea hayo kushushuka hadharani.
 
Mwenzangu yani lile shushu la haja aibu uso sijui unaificha wapi. Dai naye aache utoto yani taulo unajifutia jasho unataka kumfutia tena mwenzako hai make sense halafu angesoma alama za nyakati bibie mjamzito sometimes anakua mood less ndo yanatokea hayo kushushuka hadharani.

Zari unaambiwa ana wivu.Hiyo siku alivyoona wadada wa tz walivyo warembo akawa amenuna hata kupiga nao picha hataki.
Sasa ule ni muendelezo wa mood aliyokuwa nayo pia si unajua mambo ya mimba tena? Na hivi nasikia ni mtoto wa kike hatariiii...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom