Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

aiseeee hahaaaaa sasa katika huo umri siilipaswa na mimi niwe mmiliki wa apartment zangu ..kama nikweli Nina akili kubwa ...NIMEJARIBU KUYASOMA TU MAWAZO YA Shunie anavyowaza...hahahaaaa
Shunie bwana
 
Niliona ukilalamika sana na kubembeleza nikaona wacha nikuombee kwa Le Kokobanga, Mobimba ili na wewe ufurahie uhondo wa post zake kule Insta. Ha ha ha ha ha haya mkuu Shunie , asante kwa hizo "kiss".
 
Kwa taarifa yako kabla ya kuwa melini nilikuwa BAHARIA wa inchi KAVU.. Nimeanza kusafiri nikiwa na umri wa miaka 20... Now Nina 42,, nishasafiri INDIA, ZPAKISTAN.. IRAN.. TURKY,, GREECE,, SOUTH,, MADAGASCA.. ITALY,, SPAIN,, BELGIUM.. sasa nipo melini nazunguka na MADUDE TU... huyo atawadanganya nyie msiojuwa hata SAFARI NI KITU GN... hayo aliyoongea chumvi ni nyingi kuliko MBOGA... tumepitia MAISHA magumu kuliko huyo anayedanganya watu.. NISHALALA NJE SANA,, INDIA,, ,, nchi ambayo MBWA ana THAMANI kuliko mtu mweusi.NISHALALA saba MAKABURINI PAKISTAN.. . Na nimeishi,, nikapambana nikasafiri kwenda TURKY.. UKAWA NDY mwanzo wa safari zangu... Kwhyo tunapopinga haimaanishi ni wivu au chuki,, tunataka msioelewa kama nyie mpate faida,, msidanganywe.. Na MABAHARIA WA NCHI KAVU
 
aiseeee hahaaaaa sasa katika huo umri siilipaswa na mimi niwe mmiliki wa apartment zangu ..kama nikweli Nina akili kubwa ...NIMEJARIBU KUYASOMA TU MAWAZO YA Shunie anavyowaza...hahahaaaa
Shunie bwana
[emoji15][emoji15][emoji15] khaa me siwazi hivyo nina furaha yangu ya kufunguliwa insta huko ndio ninachowaza usinisababibishie nikala block tena
 
ASANTE
 
Atamfungulia tu msijali kula yake inategemea sana idadi ya followers
 

1. Historia ya maisha yangu inamuhusissha baba yangu mzazi aliyenileta duniani, ningekuwa nina baba baba nisingeenda Majuu kupigana mwenyewe, pole sana inaelekea historia ya maisha yako baba yako hahusiki nayo ni wewe tu mimi Baba yangu ndiye hasa sababu ya kuwepo kwangu hapa Duniani so historia yangu unamuhusisha na ningekua nina njaa ya kuitwa jina lake nisingekua 'LE MUTUZ MOBIMBA" AU LE MUTUZ BOMAYEEEE hahahahaha

2. Nina Watoto 2 ndio maana sijatafuta mtoto tena, ndugu zangu hawajanitenga nini mimi niliamua kujitenga nao kuepusha kuwekeana sumu, ninachofanya ni nina kampuni ya Social Media ambayo inanifanya nijadili ishus na watu wote wa Social Media wawe Wanawake au Wanaume it does not matter.

3. Katika umri nilionao nina kampuni, nina ofisi Posta, nina Apartment Posta, nina nyumba Kinyerezi, na nina Plot nataka kuanza kujenga Mbweni. Ninajiajiri kila mwisho wa Mwaka ninaenda Nje kupumzika Wiki Mbili, niambie kwa mawazo yako ya maendeleo sana ulitaka nifanye nini? hahahahahaha

4. Akili kubwa ni kama sasa tunabishana mimi pesa inaingia wewe unapoteza bando bure na wote tupo humu humu kwenye Social Media ndio maana ya Akili Kubwaz, mimi nalipiwa Bando na my Sponsors kuanzia Ofisini mpaka kwenye simu pamoja na kunipa simu mpya kila mwaka ndio maana ya AKILI KUBWA AMBAYO huna.

Yaani sina hata la kujifunza kwenye ujinga unaoandika, ndio maana wala siku follow ila tizama wewe unavyohangaika, huna life mkuu wenye maisha huwa hawana muda wa kuhangaika na Akili Kubwazz na ukitaka ajira ninaweza kukupatia hapa Le Mutuz Online TV!

le Mutuz
 
Mwenzio hajapandia meli Tz,kwa hiyo hawezi kuwa na hizo babumash za Sumatra ambazo vinapatikana bila msuli
Kajipange urudi tena kwenye mashindano ya kumdiss mwenzako as if ndo kitu kitakachokupa credit ktk maisha uliyonayo sasa
NDY Hapo mnapodanganywa,,, kwani aliyekwambiya ukisoma bongo unapanda meli za bongo ni nani? Mabaharia 90 % wamesoma bongo au south,,,,,, huyo MAKAPTULA ataendelea kuwadanganya... Pasi na kujuwa ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…