Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

- Thanks boss, imagine nilipotaka kwenda Majuu ningetafuta ushauri wako ingekuaje? Ndio maana hua sihitaji ushauri wa mtu on anything never!

le Mutuz
Kwa kuwa nimekushauri hivi unafikiri ningekuwa na ushauri unaofanana kwa kila jambo? Hata hivyo wakati unaenda majuu nilikuwa sijazaliwa. Ushauri huu usiwe precedent .
 
Kwa kuwa nimekushauri hivi unafikiri ningekuwa na ushauri unaofanana kwa kila jambo? Hata hivyo wakati unaenda majuu nilikuwa sijazaliwa. Ushauri huu usiwe precedent .

- Point yangu ni sijawahi kusikiliza ushauri wa mtu maana nilijifunza toka nikiwa mtoto kupigana mwenyewe na mambo yangu so pole sana mkuu, ndio maana watu wengi wanaonichukia huwa wanasema ninajifanya ninajua sana hawakosei ni kweli huwa sisikilizi ushauri kama wako.

le Mutuz
 
Hivi Yule mama wa Kihaya akikaa Sinza na akaja kuolewa na Mzee Ramadan Nyamka mama yake Rankeem Ramadhan Mzee wa ndani ya nyumba una undugu naye?
 
HAHAAAAAAA AISEEEE
HALAFU UKIWAGA UNAJIBU COMMENT ZAKO HUMU UWE UNA NITAG MKUU ...MAANA HUWA ZINAONGEZA SIKU ZA KUISHI...DAAAHH HAHAAA
Lione mbona huniiti[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji15] [emoji15]
 
hahaaa wabongo nyokooo ..hiyo line ya mwisho ninecheka mnooo aiseee
 
Huoni tatizo kuwa mtu mwenye akili kubwa na mafanikio kumuacha mama yake mzazi kufariki kwenye kichuguu??? Duh lord have mercy!!

akili huna ndondocha kabisa wewe..umesema maisha uliyoyapata bongo six years back wenzio wa majuu wanasema ni afadhali kuliko ulikokuwa mbele...!!?

Hii inamaana miaka yako tangu uzaliwe, ujana wako yaaani miaka 20- 45 ulikuwa kapuku tu..yaani sasa katika miaka 60+ ndio una hustle??? This is absurd!! Ujana wako wote ulikuwa unatukanana na mama wa watoto wako mitandaoni tu!!

Emu tizama hii picha kosha uniambie ni mtu gani mwenye akili timamu na umri wa uzee kama wako anafanya uzuzu kama huu??



tizama kundi la vijana walioko hapo kisha jiringanishe na ww..alafu uniambie ww kichwani ni mzima kweli??

Umri huo unapigwa PICHA ZA UCHI??? Mzee ulitakiwa uwe unacheza na vitukuu huku ukimeza ka ugoro kidogo sio kuonuesha izwazwa na maumbile yako kama puto mitandaoni eti akili kubwa..idiot labisa
 
Haaaaa haaaaa....si kwa kichambo hichi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji91] [emoji91] [emoji91]

Mtu unaweza kujimurder chaaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…