Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Nyinyi ndio wale vibaraka wake kwenye kile kiblog chake uchwara?

Mtu ameondoka Tanzania kafunga mkanda unasema ni mpambanaji?

Uliza mabaharia kipindi hicho ni lazima uingie mamtoni kwa store away melini, na ukikutana na Warusi wakikutowa chimbo wanakutosa baharini unabaki kuwa historia.

Ok tunasubili part ngapi sijui inayofuata tuone simulizi yeye na mke wake Neema Ngwilulupi walikutana wapi? Ni New York au wapi?

Na je ni kwa nini Neema Ngwilulupi ameajiliwa kwenye Tanzania mission New York wakati hana sifa je ilikuwa ni influence ya nani? Alipata kazi kabla ya kuwa mkwe wa Malecela au baada ya kuwa mkwe wa Malecela.....

Nitarudi, leo tupo hapa.

Nina imani page zimeshafika 10 sasa sauti za umeme zitashuka kuja kutililika hapa.
mkuu, nikiangalia registration yako ni 2010...which means you're so senior kwa madogo walio wengi humu! mbona una-act kama wao? No offense intended though..
 
Anasema zamani kulikua kilikuwa hakuna digree ya leseni ok


Lemutuzi mwisho wa hayo ma digree ilikuwa miaka ya 1972

Kwa hiyo hadi umalize standard 7 na secondary kisha chuoni kwa hiyo umezaliwa mwaka 1956

Huyu jamaa ni babu wa miaka 57 kutokana na story yake ya chuo cha ubaharia


Swissme
Hapo ukumwelewa .zamani hapakuwa na degree za mabaharia.ni kweli.
 
Hapo ukumwelewa .zamani hapakuwa na degree za mabaharia.ni kweli.
Je unajua leseni za ubaharia zilianza mwaka 1971
Na nikuambie wewe mkewe kuwa enzi hizo nikumbuka machenj aliyekuwa na bar pale jangwani na genge lake.



Go back to school Dude


Swissme
 
Le Mutuz kajaribu kujisafisha ila kuna gaps nyingi sana kwenye story yake if one is reading between the lines.

Hustle zake haziendani na uhalisia wa maisha yake ya sasa, ila pia huwezi pinga kuwa jamaa kapita katika bonde la uvuli wa mauti hata kama ni kwa kujitakia.
 
Le Mutuz kajaribu kujisafisha ila kuna gaps nyingi sana kwenye story yake if one is reading between the lines.

Hustle zake haziendani na uhalisia wa maisha yake ya sasa, ila pia huwezi pinga kuwa jamaa kapita katika bonde la uvuli wa mauti hata kama ni kwa kujitakia.
Mpaka sasa kila mtu ana shauku ya kutaka kujua nini kilimpata mpaka akaangukia pua, lol.
Story bado hajamaliza tuvute subira.
 
Episodes ndo nyingi bana! Ila Jestkilla si vizuri unavyofanya. Wacha tuyajue anayotaka tuyajue. La sivyo tutahisi wewe ndo ulimchukua ile video au wewe ni wa mama kambo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yeye ndie alimchukua video hahahaha mbavu zangu mimi jamaniiii kuna mwingine tena anaitwa Matola.... mtu story hajamaliza wanaongea zao walizosikia vichochoroni si wamuache kwanza ahitimishe.
 
so what? kwani kupigwa na maisha ni dhambi? pesa huja na kupotea...i hope yeye (Lemutuz) siyo wa kwanza, na siyo wa mwisho kukumbwa na hizo misfortune. hata hivyo, maisha yake binafsi yanakuhusu nini? kwa nini umushikie bango na kashfa juu? why? sikutaka kujibu your comment, ila imenibidi tu. Records show kuwa unalalamikiwa na kila member humu JF kwa lugha isiyo na staha....kumbuka hakuna mkamilifu hapa Duniani. Yeah, may be Lemutuz ni ombaomba...Coz i don't know the guy in person...but what the fucker are you to judge him?. je wewe unajua future yako? think this way, Kesho ukigongwa na gari or uangukiwe na nyumba na u-paralyze mwili mzima...je hutokuwa ombaomba in one way or another?

THINK TWICE
Me watu wengine nawashangaaga wanamponda lemutuzi hana lolote.wakati wao wenyewe ni shit hole hawana lolote nao wanaganga njaa tu hapa duniani.
Binadamu tukumbuke maisha hayako uniform ndo maana kuna milima na mabonde
Hivyo kufulia kwake n kitu cha kawaida tu
 
so what? kwani kupigwa na maisha ni dhambi? pesa huja na kupotea...i hope yeye (Lemutuz) siyo wa kwanza, na siyo wa mwisho kukumbwa na hizo misfortune. hata hivyo, maisha yake binafsi yanakuhusu nini? kwa nini umushikie bango na kashfa juu? why? sikutaka kujibu your comment, ila imenibidi tu. Records show kuwa unalalamikiwa na kila member humu JF kwa lugha isiyo na staha....kumbuka hakuna mkamilifu hapa Duniani. Yeah, may be Lemutuz ni ombaomba...Coz i don't know the guy in person...but what the fucker are you to judge him?. je wewe unajua future yako? think this way, Kesho ukigongwa na gari or uangukiwe na nyumba na u-paralyze mwili mzima...je hutokuwa ombaomba in one way or another?

THINK TWICE
Well Said kaka mkubwa,
watu wanajisahau sana.

Unamuita omba omba mtu mwenye ofisi yake, mwenye umaarufu wake.

Ndio maana nikauliza hii chuki ya wabongo ni sababu ya umaskini au nini maana huwezi kumchukia mtu ambae yupo wazi namna ile.

Inashangaza sana.
 
Well Said kaka mkubwa,
watu wanajisahau sana.

Unamuita omba omba mtu mwenye ofisi yake, mwenye umaarufu wake.

Ndio maana nikauliza hii chuki ya wabongo ni sababu ya umaskini au nini maana huwezi kumchukia mtu ambae yupo wazi namna ile.

Inashangaza sana.
asante dada kwa kuliona hilo. I think umaskini ndo chanzo cha chuki. huwa naangalia hata ikitokea ukaanguka na gari, wengi hufurahia na kusema akome, achilia mbali kuibiwa etc.
 
Le Mutuz kajaribu kujisafisha ila kuna gaps nyingi sana kwenye story yake if one is reading between the lines.

Hustle zake haziendani na uhalisia wa maisha yake ya sasa, ila pia huwezi pinga kuwa jamaa kapita katika bonde la uvuli wa mauti hata kama ni kwa kujitakia.
Niilishahisi Le Mutuz hana uhusiano mzuri na akina Dr. Mwere na kwa simulizi hii, niki-connect na line za mama zao, siwezi kushangaa.

Baadhi ya wamama wa kambo wenye fikra za kimaskini hulea watoto wao kwa namna wawaone watoto wa mama mwingine kama ni threat kwao.

Na kama ni kweli Mama Mwere alimpora mume/bwana mama Le Mutuz wakati walikuwa marafiki, basi ni very possible chuki ya wanawake wawili walionyang'ana bwana kuhamia kwa watoto!!

Na kama baba ukiwa mdwanzi, au kv mshua mwenyewe ndo vile tena huenda alikuwa busy na shughuli za serikali (Le Mutuz been genius enough not to blame his dad) basi possibility ya kukutwa na yaliyomkuta Le Mutuz ni possible kwa sababu huenda mshua alikuwa wala hafahamu nini kilikuwa kinaendelea skani!!

Hayo mengine namwachia mwenyewe lakini kama aliyosema kuhusu family matter ni kweli basi ni possible Le Mutuz ni matokeo ya family bullying!

Hpa akabakiwa na option mbili... ama ageuzwe kuwa like houseboy asiye na mtetezi ndani ya nyumba ya baba yake mwenyewe au asepe!!

Hata hivyo, inawezekana pia Le Mutuz alikuwa Nuda kupita kiasi to the point he's a family shame!! Na kama anamsingizia Mama Mwere, basi Mungu anamuona!
 
Niilishahisi Le Mutuz hana uhusiano mzuri na akina Dr. Mwere na kwa simulizi hii, niki-connect na line za mama zao, siwezi kushangaa.

Baadhi ya wamama wa kambo wenye fikra za kimaskini hulea watoto wao kwa namna wawaone watoto wa mama mwingine kama ni threat kwao.

Na kama ni kweli Mama Mwere alimpora mume/bwana mama Le Mutuz wakati walikuwa marafiki, basi ni very possible chuki ya wanawake wawili walionyang'ana bwana kuhamia kwa watoto!!

Na kama baba ukiwa mdwanzi, au kv mshua mwenyewe ndo vile tena huenda alikuwa busy na shughuli za serikali (Le Mutuz been genius enough not to blame his dad) basi possibility ya kukutwa na yaliyomkuta Le Mutuz ni possible kwa sababu huenda mshua alikuwa wala hafahamu nini kilikuwa kinaendelea skani!!

Hayo mengine namwachia mwenyewe lakini kama aliyosema kuhusu family matter ni kweli basi ni possible Le Mutuz ni matokeo ya family bullying!

Hpa akabakiwa na option mbili... ama ageuzwe kuwa like houseboy asiye na mtetezi ndani ya nyumba ya baba yake mwenyewe au asepe!!

Hata hivyo, inawezekana pia Le Mutuz alikuwa Nuda kupita kiasi to the point he's a family shame!! Na kama anamsingizia Mama Mwere, basi Mungu anamuona!
Umenena vyema mkuu
 
Back
Top Bottom