Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Ma Rais wote walipindisha kidogo katiba lakini Jiwe aliikunja mfano wa sterling.I hope so, maana wengi bado hawamuoni jamaa alikuwa kituko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ma Rais wote walipindisha kidogo katiba lakini Jiwe aliikunja mfano wa sterling.I hope so, maana wengi bado hawamuoni jamaa alikuwa kituko.
Marafiki ubadilika kulingana na haliSasa makonda aangalie aina ya marafiki aliokuwa nao.
Alimpigia au alimuandikia sms .soma vizuri uone maajabu ya mwaka.kwamba hata chuma alikuwa anamuogopa makonda yaaniHold up, kwamba Jiwe alikuwa anampigia simu Lemutuz kwamba....ah kudadeki walahi. Tanzania iwekwe kwenye mchele tu. Jiwe alikuwa rais wa ovyo sana kuwahi kutokea.
Ma Rais wote walipindisha kidogo katiba lakini Jiwe aliikunja mfano wa sterling.
Alimpigia au alimuandikia sms .soma vizuri uone maajabu ya mwaka.kwamba hata chuma alikuwa anamuogopa makonda yaani
Kama unategemea waganga watakupa hekima gani,wale ni wafanyabiashara pesa yako ndo tiba yakoMadaraka yanataka uwe na hekima na busara !
Musiba sijui ana hali ganiIlikuwa lazma CHUMA AFE ili tuyajue ya sirini
Jamaa angekuwa hai mpaka leo nadhan hakuna rangi tungeacha kuiona
ALLY HAPI jiandae kisaikokojia kinana amerudi swala la muda TU
✌️.....ETI KWANINI HUKUMSHAURI ZAMANI kwa akili yako ndogo sana RC aliyekuwa anashindana na Mawaziri UNAWEZA KUMSHAURI NINI AKAKUSIKIA? WEWE NI NANI? ....AKILI NI MALI KILA MTU NA ZAKE ninamuandikia ndugu yangu SUPER FACTS sio kweli kwamba wote TUNAMCHUKIA ...lakini ni muhimu AKAKUBALI MAKOSA YAKE AMBAYO NDIYO YEMFIKISHA HAPO ALIPO YA KUTAKA KUMALIZWA NA BAADHI YA MAKUNDI YA JAMII KAMA NI KWELI....
Nobody stands for the loserLemubebez anapenda watu wenye madaraka tu. Madaraka yakiteleza anakukimbia na kukugeuka....!
Bado WCB nao walikuwa wanamvumilia baba mlezi.Wabongo tunanafahamika kwq unafki
Ukiwa kwenye nafasi, watu watakujalia...kukuzunguka
Hata kama utakuwa unafanya makosa
Hakuna wa kukuzuia, kukushauri
Ukitembea utajaliwa na wapambe kibao,utaalikwa kwenye kila tukio
Sasa toka madarakani, au poteza washing,filisika
Hapo ndipo utawajua wabongo walivyo!
Ova
Sasa kasome content ya Le Mutuz uone unafiki wa urafiki wake kwa makondaMarafiki ubadilika kulingana na hali
Hata mimi ndio nimeelewa hivyo.wewe ndo mjinga
Lemutuz inawezekana kaangalia kundi ambalo linaweza kumfikia makonda na kumtwanga kirahisi au hata kumtenga hao wakikutenga umekwisha Mana hawezi kua hata mwenyekiti wamtaa wa ACt wazalendo wala balozi kundi hilo akiwaomba msamaha mojakwamoja mfano kikwete akasema tumemsamehe akamwombea nakwenu wanyonge Kama wewe nini kitaendelea hakuna
Hata mimi ndio nimeelewa hivyo.
Wananchi ni fuata upepo tu hawana impact sana wenyewe huwa akianzisha mmoja wanafuatisha tu.
Lakini wananchi ndo mahakimu. Bora uhukumiwe mahakama za kisheria na sio mahakama ya jamii.
Kuna vitu havijifichi, kama uwezo wa kuandika sentensi na maneno kwa ufasaha kwa kuzingatia alama za uandishi. Ndicho nami nilikiona kwa bwana Makonda.At least hata huyu William anachoandika kinasomeka post ya juzi ya Makonda inanipa wasiwasi kuwa ni kweli jamaa alitaga shuleni
Wakati anaandika alikuwa na stress jamaa atakuwa napitia kipindi kigumu akama alichowapitisha wenzake.Kuna vitu havijifichi, kama uwezo wa kuandika sentensi na maneno kwa ufasaha kwa kuzingatia alama za uandishi. Ndicho nami nilikiona kwa bwana Makonda.
Kweli kabisa !Kama unategemea waganga watakupa hekima gani,wale ni wafanyabiashara pesa yako ndo tiba yako