Le Mutuz naye ampopoa Paul Makonda, amwambia dharau zimemponza

Nature teaches beasts to know their friends.
 

Le Mutuz Mobimba Nye Nye Nyeee umetema Super Facts[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
View attachment 2185858

Nyota ya Makonda ni kali sana....machawa wa family ya Jakaya msimalize maneno
Sasa kwa hiyo picha mnataka wananchi wamueleweje huyu mama? Kumbukeni Rais/ mumewe/ mkewe hatakiwi kuwa na shutuma zitakzovunja heshima yake kwa jamii anayoiongoza!!
Mama amuangalie sana Bashite atamuharibia kazi ni vyema akamuweka mbali sana kama mwenye ukoma!
 
Heshima kwake professor Lemutuzi
 
Jiwe hakustahili kuwa hata baba wa familia. That dude was unstable in every sense of the word. That's a mf you keep on leash, a very tight leash.
Matatizo yanatokea kwenye familia zetu waafrika kwa sababu kama hizi. Kama sio Kila mtu anaweza kuwa kiongozi. Ndivyo hivyo siyo kila mtu anafaa kuwa baba au mama wa familia.
 
Matatizo yanatokea kwenye familia zetu waafrika kwa sababu kama hizi. Kama sio Kila mtu anaweza kuwa kiongozi. Ndivyo hivyo siyo kila mtu anafaa kuwa baba au mama wa familia.

Kweli kabisa, mkuu. Kuna watu wengi sana hawapo sawa, ila tunachukulia mambo kirahisi tu.
 
MAISHA YA KUTEGEMEA CHAWA

⛔Ijapokuwa maisha ya sasa kwa watu maarufu na matajiri suala la kuwa na CHAWA wako wa kukusifu , kuwajibu wanaokushambulia n.k halikwepeki ila kumbuka yafuatayo wewe unayafuga machawa

⛔Kujishikiza chawa kwako ni kama beneficial paracite, kuna watu wamezaliwa wao maisha yao ni uchawa na hawawezi kufanya kazi nyingine yoyote mpaka anazeeka

⛔Kategory kubwa ya machawa wa mjini kwa sasa ni wajasiriatumbo,wameshagundua kuwa wewe ni mpenda sifa, muoga wa migogoro wao wanaifanya hiyo kazi na usidhani sifa wanazokumwagia ni za kweli, ni ili ufurahi wakuchune kiulaini

⛔Sasa wewe unayefuga CHAWA kumbuka kuna siku lichawa litapata akili ya kujitegemea, basi atabadilika kuwa ndio adui yako mkuu , ili apate umaarufu ataanza kukushambulia wewe

⛔Kuna siku CHAWA atanunuliwa au kwenda upande wa mpinzani wako, Hapa ndio utajua ukigeugeu wa chawa atakugeuka na kwa kuwa ana siri zako zote atakushambulia kana kwamba hajawahi kufaidi chochote kwako

OGOPA KUFUGA CHAWA KUNA SIKU ATAKUGEUKA
 
Kama kweli alikua mtu wake wa karibu na aliempambania basi uwezo wa kumshauri alikua nao.

Na si ajabu kwa sasa hawana huo urafiki ndio maana anamuandikia waraka insta. Sasa kwanini sasa hivi hawana urafiki ilhali hadi ana ukuu wa mkoa walikua bado wana.
Huyu lemutuz nae ni wa maslahi tu, hakuna urafiki hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…