Le Mutuz naye ampopoa Paul Makonda, amwambia dharau zimemponza

Le Mutuz naye ampopoa Paul Makonda, amwambia dharau zimemponza

Le Generalle, Field Marshall ndivyo Lemubebez aalivuokuwa akimdanganya makonda. Naye makonda akawa anakanyaga watu.

Hela za Rushwa au za Kupiga, ni Lemutuz alikuwa anaenda kumchukulia Makonda kwenye Le super Noah. Leo Makonda kageukwa. Kweli dunia hadaa...

Lemutuz ni mfano hai wa unafiki. Leo ni rafiki ya Amos Makala na siyo Makonda tena....Lemutuz Hafai kabisa kuitwa rafiki
 
Mungu aniepushe kuwa na rafiki mnafiki kama LemuTuz.

Makonda alikuwa anamtuma kumbebea mihela kwenye ma Rambo kwenye Noah yake akitoka kwa wafanya biashara. Leo anamponda hivi..Duh
 
Mjinga tu huyu Le mutuz pamoja na huyo mwenzake Makonda. Uzi mrefu lakini sio wa kumtaka Makonda aombe radhi kwa wananchi, bali anataka aombe radhi viongozi. Kwa mtazamo wake Makonda aliwakosea na kuwadharau viongozi tu.
Umesoma mpk mwisho?
Mbona kasema viongozi na wananchi?
 
Hakuna aliyewahi fanya bifu na Gwajima akabakia salama yupo wapi Job ndugai, bashite alishafutwa kwenye ulimwengu wa roho. Bashite ni gunia la misumari jiwe kalibeba akachemka.
Ni wakati wake wa mavuno asiyakimbie mazao yake.
Kuna yule mwingine nani nae amefutwa simsikii!
Wao huwa wanamchukulia poa hawajui mwenzao anapoongea huwa anakuwa kwenye position ya "ki-kuhani" spiritually!
Na ili utengue lzm na we uwe kwenye nafasi hiyo!
 
Kwa nini hakumwambia wakati ni RC na alikuwa anamuona akiharibu? Huo ni unafiki uliopitiliza mkuu. Bora angekaa kimya tu.
Mbona kajibu!
Amesema mtu aliyekuwa anashindana na mawaziri ,ye angemuweza wapi,angemsikiliza?
Which means alikuwa haambililki
 
Kuna yule mwingine nani nae amefutwa simsikii!
Wao huwa wanamchukulia poa hawajui mwenzao anapoongea huwa anakuwa kwenye position ya "ki-kuhani" spiritually!
Na ili utengue lzm na we uwe kwenye nafasi hiyo!
🤣🤣🤣🤣 Ngoja nisitie neno.
 
Japo simuelewagi Le_ mutuz ,
I'll uongozi dhambi, Hapa kaongea FACT[emoji106]
 
Wabongo tunanafahamika kwq unafki
Ukiwa kwenye nafasi, watu watakujalia...kukuzunguka
Hata kama utakuwa unafanya makosa
Hakuna wa kukuzuia, kukushauri
Ukitembea utajaliwa na wapambe kibao,utaalikwa kwenye kila tukio
Sasa toka madarakani, au poteza washing,filisika
Hapo ndipo utawajua wabongo walivyo!

Ova
Hakuna rangi utaacha kuona
 
Kwakweli Marko alikuwa Marko. Nakumbuka alivyolazimisha mziki pale samaki samaki uzimwe kisa kaja na watu wake utadhani biashara yake ile. [emoji1787]
Alikua wa hovyo Sana uyu kijana[emoji3525]
 
Back
Top Bottom