Kitimoto
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 6,941
- 7,808
HatariWakat wote walikua wanachumishwa mchicha na jerr muro[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HatariWakat wote walikua wanachumishwa mchicha na jerr muro[emoji23]
Wanafoka in text😅Makonda na Le Mutuz wote wanapenda kuandika in all caps.
Hili ni tatizo la elimu au nini?
Umesoma mpk mwisho?Mjinga tu huyu Le mutuz pamoja na huyo mwenzake Makonda. Uzi mrefu lakini sio wa kumtaka Makonda aombe radhi kwa wananchi, bali anataka aombe radhi viongozi. Kwa mtazamo wake Makonda aliwakosea na kuwadharau viongozi tu.
AlishafutwaView attachment 2185858
Nyota ya Makonda ni kali sana....machawa wa family ya Jakaya msimalize maneno
Hata mi nimeshangaa?Sasa hapo kamsaliti nini,au kumwambia rafiki yako ukweli utakaomwokoa ndio usaliti?
Kuna yule mwingine nani nae amefutwa simsikii!Hakuna aliyewahi fanya bifu na Gwajima akabakia salama yupo wapi Job ndugai, bashite alishafutwa kwenye ulimwengu wa roho. Bashite ni gunia la misumari jiwe kalibeba akachemka.
Ni wakati wake wa mavuno asiyakimbie mazao yake.
Mbona kajibu!Kwa nini hakumwambia wakati ni RC na alikuwa anamuona akiharibu? Huo ni unafiki uliopitiliza mkuu. Bora angekaa kimya tu.
🤣🤣🤣🤣 Ngoja nisitie neno.Kuna yule mwingine nani nae amefutwa simsikii!
Wao huwa wanamchukulia poa hawajui mwenzao anapoongea huwa anakuwa kwenye position ya "ki-kuhani" spiritually!
Na ili utengue lzm na we uwe kwenye nafasi hiyo!
Hana tofauti na shehe wa dar[emoji3525]Lemubebez anapenda watu wenye madaraka tu. Madaraka yakiteleza anakukimbia na kukugeuka....!
Uyo Jamaa misifa too muchKwani makonda alikuwa nani kwa jpm.hadi jpm amtumie le mutuz kumpatanisha na makamu wa raisi??
Kwanini chuma akumpigia makonda simu ampigie le mutuz??
Hakuna rangi utaacha kuonaWabongo tunanafahamika kwq unafki
Ukiwa kwenye nafasi, watu watakujalia...kukuzunguka
Hata kama utakuwa unafanya makosa
Hakuna wa kukuzuia, kukushauri
Ukitembea utajaliwa na wapambe kibao,utaalikwa kwenye kila tukio
Sasa toka madarakani, au poteza washing,filisika
Hapo ndipo utawajua wabongo walivyo!
Ova
Alikua wa hovyo Sana uyu kijana[emoji3525]Kwakweli Marko alikuwa Marko. Nakumbuka alivyolazimisha mziki pale samaki samaki uzimwe kisa kaja na watu wake utadhani biashara yake ile. [emoji1787]
Alikuwa anahisi yuko ontop of the world...Alikua wa hovyo Sana uyu kijana[emoji3525]
Hapendwi mtu mpaka awe na kitu, jamaa hana kitu sasa hivi ni mwendo wa kuraruriwa tu!!Haha Lemutuz leo ni wa kumrarua bashite namna hii tena hadharani [emoji23][emoji23][emoji23]
Mtu akishakuwa marehemu husingiziwa vingi sana....maana hawezi kujibu!!!Le waraka alitaka kutuonyesha alikuwa anaongea na JPM muda wowote anaotaka
Alionekana akiwapigia makofi Watanzania wenye mabango kwa unyenyekevu sana kule duniani.Yule aliyejiandika kwenye mawe nchi nzima naye alikuwa na huu mtindo.
Maisha yanaenda kasi mnooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haha Lemutuz leo ni wa kumrarua bashite namna hii tena hadharani [emoji23][emoji23][emoji23]