Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

Naona umeanza matusi! Mimi na wewe mtoto wa kike nani?! Hivi mtu anayeshinda mitandaoni kutetea wanaume anaweza kujiweka kwenye kundi la wanaume?! Mtu anayeshinda kupiga picha na watoto wa kike ili awafanyie ukuwadi ndo atakuwa mwanaume??!!!

Utaishia kujipendekeza hivyo hivyo kwa wanaume !!!

That's one but two, wewe mzee ni ju'ha na zuzu kweli kweli!! Hivi kuwa kwenye poster au hata kwenye billboard ndo tayari ushakuwa VodaCom Ambassor?!!

Hebu tuwaangalie hawa hapa chini:



Je, na hao ni VodaCom Ambassadors?!

Rudi Instagram ukawadanganye wale misukule wako lakini sio hapa!!!!
 


- hahahahahha mkuu millard ni balozi wa Vodacom na mimi ni balozi wa ASAS tena wa kudumu, hahahahahahaha hao uliowaweka wametumia picha zao tu kule tupo 3 mimi, diamond na Millard,

- Vodacom wanawatumia watu wengi kupiga picha lakini sio mkataba wa malipo kama wangu, so pole sana unahangaika bure tu

- Ninachokifanya kwenye Social Media ni kazi yangu, wewe sijui kama ni kazi yako hahahahahaha kwani wewe ni mwanaume au mwanamke maana jina lako ni la bandia? so usikasirike maana kwa jina la bandia unaweza kuwa demu pia hahahahahaha

le Mutuz
 
Tatizo lemutumbo anapenda unafiki

- Sijawahi kuwa mnafiki siku zote nipo straight on the line, hahahahahahaha ninafanya kazi ya Social Media ninalipwa sasa nashangaa mkuu mapovu yanamtoka na namba kibao unahangaikia nini mimi sibabaishwi na ujinga hapa ni kazi kazi hahahahaha

le Mutuz
 
We Mburura nishakuambia usijilinganishe na Diamond na Ayo kwa sababu wakati wenzako ni ambassadors wewe ni just a publisher!! Na wapo publishers kibao tu and not necessarily wawe for VodaCom!!!

Utaendelea kupiga picha na watu hivyo hivyo huku ukilazimisha urafiki but none of them wana muda wa ku-post picha walizopiga na wewe!!!!
 


- hahahahhaa huyu ndiye boss wa unachokililia mkuu, Millard na diamond ni wakubwa kwa level yao na mimi ninayo level yangu na ndio maana nipo nao huko, pole sana kwamba hutaki kukubali ila ni fact na huna uwezo wa kubadili anything, amini unachotaka ila mimi i get paid that is all what counts

le Mutuz
 
Simama wima kisha inama kwa mbele kiasi cha kuweza kushika stool iliyopo mbele yako na hapo ndipo utajua kama mimi ni mwanamke au mwanaume!!!!

Umepiga porojo kwenye VodaCom na sasa umehamia kwenye maziwa!!! Utaweka hadi matangazo ya kubebea wanaume viatu



na yale matangazo yako mengine unayotangaza biashara yako ya ukuwadi!!!

Ukitoka hapa nenda kafanye kazi ya kumtetea Bashite... hicho ndicho unachokiweza!!!!
 
Nothing unachoonnesha zaidi ya picha... wewe utakuwa na matatizo ya akili... sio bure!!!!

Wewe huna cha ukubwa wowote among VodaCom partners....!! Nenda kadanganye mazuzu wenzako wa Instagram!!!
 

- hahahahahahhaa mimi huniwezi mkuu na ukitaka naweza kukuajiri, mimi ni Balozi wa ASAS na ninafanya kazi ya matangazo ya Vodacom na makampuni mengi na ndio nia na madhumuni ya kazi yangu ya Social MEdia, mengine baki nayo wala hayanisumbui kazi ya kujenga Studio inaendelea pole sana hahahahahahaha

le Mutuz
 
Unakimbilia 60 years na hakuna chochote ulichonacho zaidi ya blog halafu unashindana na mtu mwenye long life ahead huku bado akiwa na mishe asizohitaji kujipendekeza kwa yeyote!! We kweli zuzu....
 
Unakimbilia 60 years na hakuna chochote ulichonacho zaidi ya blog halafu unashindana na mtu mwenye long life ahead huku bado akiwa na mishe asizohitaji kujipendekeza kwa yeyote!! We kweli zuzu....

- hapana sina hiyo miaka ila nina maisha ambayo huna, umelia mara nyingi kuhusu maisha yangu numekuwekea picha za maisha yangu lakini hujawahi kuweka yako zaidi na kelele tu Mahabharata


- haya ndio maisha yangu hapa ni Ijumaa Serena Hotel na people I grew with, Dinner Party ya Joe kuzaliwa haya ndio maisha yangu, weka yako mkuu hapa Ijumaa ulikuwa wapi tuone kama una maisha hahahahahahaha

le Mutuz
 
Tena bora angekuwa kijana basi... anaenda 60 lakini anajivunia kumiliki blog ambayo ranking yake Tanzania ni [HASHTAG]#326[/HASHTAG].


- hahahahahhaa eti niambie wenye blog wote Tanzania wanasafiri hivi kama mimi? hahahahahhahahahaa

le Mutuz
 
Tatizo wewe ni unashirikiana na fisiem ndio hilo sikupendi kama shetani wa ccm
 
Tatizo wewe ni unashirikiana na fisiem ndio hilo sikupendi kama shetani wa ccm

- hahahahahaha kunipenda au kutonipenda kwako hakubadilishi anything in my life tena infact naomba uendelee kunichukia hahahahahahhaa

le Mutuz
 
Huna hiyo miaka kwahiyo hata umri nao unataka kudanganya?!

Ni mara ngapi umekuwa ukipiga kelele kila mmoja ajue kwamba umeishi majuu miaka 30.... USHAMBA MTUPU! Watu wanazaliwa huko, wanakulia huko, wanasoma huko hadi wanazeekea huko lakini katu haijawahi kuwa repetitive topic kwao!!!

Na ulienda huko bado ukiwa mshamba mshamba uliyemaliza sekondari!! Now let's assume ulimaliza sekondari na miaka 20.... jumlisha na hiyo 30 ni miaka mingapi hiyo kama sio 50?!

Jumlisha miaka uliyoishi Tz tangia urudi... at least 5 years + 50 = at least 55 years!!!

Sasa unachokataa kwamba unakimbilia 60 years nini?!

But I can understand!! Lazima upoteze kumbukumbu ya umri wako cuz' the way you act doesn't reflect your real age... completely like high school kid ndo unasahau kwamba ni mzee unayekaribia 60 years...
 
Akili ndogo sio kubwa.


- hiyo ilikuwa last month safari ya China on business class Quatar Air, ndio maisha yangu mkuu kwa kazi ya Social Media hahahahahhaa wewe jiue tu hapa mwiba huwezi kitu ni kazi kazi tu hahahahahahhaa

- In three weeks naenda South Korea hahahahaha kupiga kazi hahahahahahahhaha

le Mutuz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…