Naona umeanza matusi! Mimi na wewe mtoto wa kike nani?! Hivi mtu anayeshinda mitandaoni kutetea wanaume anaweza kujiweka kwenye kundi la wanaume?! Mtu anayeshinda kupiga picha na watoto wa kike ili awafanyie ukuwadi ndo atakuwa mwanaume??!!!![]()
- hahahahahahahhaa ona hapa na hizo rank zako za kutengeneza mwenyewe unadhani wewe unaweza kuwadanganya Vodacom wakaupa kazi kama hii na wewe sio maarufu? hahahahahahaha leo umeingia choo cha kiume mtoto wa kike wewe hahahahahaha pole sana
le Mutuz
Utaishia kujipendekeza hivyo hivyo kwa wanaume !!!
That's one but two, wewe mzee ni ju'ha na zuzu kweli kweli!! Hivi kuwa kwenye poster au hata kwenye billboard ndo tayari ushakuwa VodaCom Ambassor?!!
Hebu tuwaangalie hawa hapa chini:
Rudi Instagram ukawadanganye wale misukule wako lakini sio hapa!!!!