yutu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2013
- 1,668
- 1,017
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ohooooo!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tv station sio msambwanda useme tu kuwa unayo.
Walaa haoni amezeeka?Dogo naona unamatani na lembebez sasa
invest what you are willing to loose
Ng'ombe azeeki maini
Yaani huwa anachekesha kweli anajiona anajua kumbe anangua juaKuna siku nilimuuliza online tv station iko wapi?? Akaanza kunitumia mapicha ya macamera makubwa makubwa sijui aliyachukua wapi hayo macamera... Huyu anatakiwa kupumuzika acheze na wajukuu zake, chakushangaa yeye ndo yuko busy kupiga picha na wasichana nakupost mitandaoni
Haijalishi hazeeki ama lah ajiheshimu bhas aache uchuroNg'ombe azeeki maini
invest what you are willing to loose
Zeeee lile kwa uchuro kama bundi vile
Sema mwanangu uongo mbaya mm sikukubarView attachment 552875
-Ok ujenzi wa Studio umeisha sasa tunaingia awamu ya vifaa so stay tuned, tuliahidi na sasa tunatimiza tumemamilza ujenzi sasa ni kazi kazi
le Mutuz
Utaangalia ww na mabaasha zako wanao kuweka mjini.@lemutuz_nation - THE GOOD NEWS.......LE MUTUZ TV ONLINE (LTO) ....nilianzia Jamiiforums ...nikaingia Facebook ...nikafungua Blog yangu Mwaka 2012....Mwaka 2014 nikajiongeza kwenye all the Social Media tools pamoja na Instagram ...kote humo tulichofanya ni KUJITOFAUTISHA NA WENGINE ndicho kilichotufanya tufikie hapa tulipo na Social Media ...now its about time NIAMEAMUA KUSOGEA MBELE TENA to the Next step ....yaani LE MUTUZ TV ONLINE & STREAMING LIVE ....ni an expensive PROJECT na ndio hasa iliyokuwa sababu ya Safari zangu za hivi Karibuni to CHINA, MACAU, HONG KONG na JOHANNESBURG/SOUTH AFRICA ...ilikuwa ni matayarisho ya kuingia into TV ONLINE ...so now I am ready to go ...kwanza ni makamilisho ya ujenzi wa Studio ambao tayari umeshaanza at the TANCOT HOUSE gorofa ya Tatu pale Posta Mpya ....ujenzi utachukua like Mwezi mzima wa June na by the middle of July tutaanza kuwa rasmi hewani ...na kama kawaida yangu kama nilivyofanya kwenye Social Media I am looking FORWARD TO CHANGE THE GAME sio kisindikiza wengine tu ....NEVER ...so guys huko kwenye Online TV Industry get ready I AM IN.. So help me God!... KAMA UNA USHAURI AU MAONI YA KUSAIDIA PLEASE NITUMIE NAYAPOKEA BILA UBISHI! - le Mutuz Nation -
Ameirusha saa moja iliyopita
View attachment 515599
==========
Hongera sana Mr. W. J. Malecela kwa wengi tunasubiria. Na mimi ni mmoja wa tulioanza kukusoma humu tangu... hadi instagram. Mola azidi kukuongoza na kukusimamia.
==========
Update kwa picha
Kuna siku nilimuuliza online tv station iko wapi?? Akaanza kunitumia mapicha ya macamera makubwa makubwa sijui aliyachukua wapi hayo macamera... Huyu anatakiwa kupumuzika acheze na wajukuu zake, chakushangaa yeye ndo yuko busy kupiga picha na wasichana nakupost mitandaoni
Afadhali ndugu uongeze soko la ajira
IRON LADY!!!!
Kwa umri wake sio kbs,mtu anakimbiza miaka 60yrs tulitarajia awe kwenye level za kina Mbowe,kwa umri huo alitakiwa afanye mambo kimyakimyaAngalau yeye ana copy , ameshaanza, wewe ya kwako IKO WAPI ? WaTZ tunatatizo la ujuaji usiona maana mwenzako anapopiga kahatua na kukushiriksha TUNAPASWA KUMPONGEA NA KUMPA MOYO sio kumbeza