Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

Kuna siku nilimuuliza online tv station iko wapi?? Akaanza kunitumia mapicha ya macamera makubwa makubwa sijui aliyachukua wapi hayo macamera... Huyu anatakiwa kupumuzika acheze na wajukuu zake, chakushangaa yeye ndo yuko busy kupiga picha na wasichana nakupost mitandaoni
 
Kuna siku nilimuuliza online tv station iko wapi?? Akaanza kunitumia mapicha ya macamera makubwa makubwa sijui aliyachukua wapi hayo macamera... Huyu anatakiwa kupumuzika acheze na wajukuu zake, chakushangaa yeye ndo yuko busy kupiga picha na wasichana nakupost mitandaoni
Yaani huwa anachekesha kweli anajiona anajua kumbe anangua jua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
@lemutuz_nation - THE GOOD NEWS.......LE MUTUZ TV ONLINE (LTO) ....nilianzia Jamiiforums ...nikaingia Facebook ...nikafungua Blog yangu Mwaka 2012....Mwaka 2014 nikajiongeza kwenye all the Social Media tools pamoja na Instagram ...kote humo tulichofanya ni KUJITOFAUTISHA NA WENGINE ndicho kilichotufanya tufikie hapa tulipo na Social Media ...now its about time NIAMEAMUA KUSOGEA MBELE TENA to the Next step ....yaani LE MUTUZ TV ONLINE & STREAMING LIVE ....ni an expensive PROJECT na ndio hasa iliyokuwa sababu ya Safari zangu za hivi Karibuni to CHINA, MACAU, HONG KONG na JOHANNESBURG/SOUTH AFRICA ...ilikuwa ni matayarisho ya kuingia into TV ONLINE ...so now I am ready to go ...kwanza ni makamilisho ya ujenzi wa Studio ambao tayari umeshaanza at the TANCOT HOUSE gorofa ya Tatu pale Posta Mpya ....ujenzi utachukua like Mwezi mzima wa June na by the middle of July tutaanza kuwa rasmi hewani ...na kama kawaida yangu kama nilivyofanya kwenye Social Media I am looking FORWARD TO CHANGE THE GAME sio kisindikiza wengine tu ....NEVER ...so guys huko kwenye Online TV Industry get ready I AM IN.. So help me God!... KAMA UNA USHAURI AU MAONI YA KUSAIDIA PLEASE NITUMIE NAYAPOKEA BILA UBISHI! - le Mutuz Nation -

Ameirusha saa moja iliyopita
View attachment 515599

==========
Hongera sana Mr. W. J. Malecela kwa wengi tunasubiria. Na mimi ni mmoja wa tulioanza kukusoma humu tangu... hadi instagram. Mola azidi kukuongoza na kukusimamia.

==========

Update kwa picha
Utaangalia ww na mabaasha zako wanao kuweka mjini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna siku nilimuuliza online tv station iko wapi?? Akaanza kunitumia mapicha ya macamera makubwa makubwa sijui aliyachukua wapi hayo macamera... Huyu anatakiwa kupumuzika acheze na wajukuu zake, chakushangaa yeye ndo yuko busy kupiga picha na wasichana nakupost mitandaoni
upload_2017-8-22_15-25-2.jpeg


- Tunaendelea kukamilisha ufungaji wa vifaa leo ni taa, then meza maalum za kazi and then tunaanza kuruka karibu sana mkuu au kama vipi bado tunazo ajira!, ofisi zangu zipo Sokoine Drive & Pamba Road, Tancot House 3fl namba ya simu hapa Studio ni 0717618997 karibu sana muda wa maneno mengi huwa hatuna ni kaaazi juu ya kazzzi!!, na I hope nimesaidia kujibu wengine wote wenye maswali kama yako!!

le Mutuz Nation

le Mutuz
 
Ajira niliyonayo ni nzuri sana na wala sitaki kufanya kazi kwa shida, asante kwa kuonyesha kutaka kuni ajiri, ingawa najua huwezi... ni maneno tu... kama unaweza nilipa 3,500,000M Net poa
 
Angalau yeye ana copy , ameshaanza, wewe ya kwako IKO WAPI ? WaTZ tunatatizo la ujuaji usiona maana mwenzako anapopiga kahatua na kukushiriksha TUNAPASWA KUMPONGEA NA KUMPA MOYO sio kumbeza
 
Angalau yeye ana copy , ameshaanza, wewe ya kwako IKO WAPI ? WaTZ tunatatizo la ujuaji usiona maana mwenzako anapopiga kahatua na kukushiriksha TUNAPASWA KUMPONGEA NA KUMPA MOYO sio kumbeza
Kwa umri wake sio kbs,mtu anakimbiza miaka 60yrs tulitarajia awe kwenye level za kina Mbowe,kwa umri huo alitakiwa afanye mambo kimyakimya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom